Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

I understand your reservations and concerns, and I appreciate your honesty in sharing your feelings. It's important to remember that every individual is unique and should not be judged based on the actions of others.

While it's natural to feel guarded after past experiences, it's also important to remain open to the possibility of positive relationships in the future. Trust is something that can be rebuilt over time with the right person.

I encourage you to continue following Biblical principles of forgiveness and to keep an open heart towards building healthy and trusting connections.

Remember, while it's wise to be cautious, it's also essential to approach each new relationship with an open mind and a willingness to give others a chance to prove themselves.

uttoh2002 wewe ni ndugu yangu, tuko pamoja!

Shukrani Kaka! Hawa viumbe? They are always looking for what is missing! It is very difficult to be a Man, haswa ukiwa mwaminifu, mtulivu na unayejali, lakini ukiwa player na muhuni mambo sio magumu!
 
Shukrani Kaka! Hawa viumbe? They are always looking for what is missing! It is very difficult to be a Man, haswa ukiwa mwaminifu, mtulivu na unayejali, lakini ukiwa player na muhuni mambo sio magumu!
Hakika na sawa na kusema hawajui wanachotaka!
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Asante kwa ushauri....kwa sie ambao tulikuwa back benchers naona akili za kuishi na mwanamke sina. Wacha nibakie single
 
Usikubali hata siku moja binadamu mwenzako akunyime furaha kwa makusudi. Kuna shida kama ugonjwa na kipato duni, hayo unavumilia lakini sio ujinga ujinga.
Ukiona ndoa inakupa mateso, muache aende. Hamkuzaliwa naye, pia kuna maisha zaidi ya ndoa.
 
Hao vibungo mnawaokotaga wapi??
Ndio shida ya kuoa kwa kutazama trako mnasahau tabia…Na hapo kinachokuuma ile “Imechomoka halafu anairudishia” 😹😹😹

Mpe talaka uje unioe nikuonjeshe pepo ya dunia 😜
😂😂😂ila Lamomy Hii Dunia ndogo jamani ww ndo wakutoa Pepo ya Dunia kwa ndugu yetu
 
We mwenyewe umechukua katika kitabu kitakatifu cha MUNGU kwamba amesema Tuishi nao kwa AKILI

harafu Mwisho umeshauri vijana watafute Pesa, ina maana kuishi na Mwanamke kwa mantiki yako kunahitaji Pesa na Sio Akili 🙆🏻‍♂️

MKUU Kama una WAZO NDANI yako kwamba kuishi na MKE kunahitaji Pesa unajidanganya, utakuwa na hizo Pesa na bado mwanamke atakushinda tu 👉wangapi wanapesa na WANAWAKE wamewashinda

👉 MUNGU aliumuumba MKE kwa MWANAUME mwenye akili na Sio mwenye Pesa
Point makini ,baadhi wajinga yakiwashinda wanapotosha vijana eti Pesa
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Kama analiwa nje achana nayeye mkuu. Usije kufa mapema
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Uko x Huko✓
 
Ile n ibada mkuu kama ibada zingine
Hakuna jinsi
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Na kama ndio sini yetu ukiingia wewee utajuta lakn ukiizoea unaenda nayoooo

Ile hakuna tofauti na wanaobet mkuu ama ule ama uliweeeee
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie
 
Swala la ndoa serikali iingilie kati.
Kuna kitabu kimoja ameandika jamaa mmoja mkenya anaitwa Silas Nyanchwani.

Asee vijana nawashauri kabla ya kuoa someni kitabu cha huyu jirani yetu mkenya.

Huyu jamaa ni kichwa sana halafu anayoandika kuhusu ndoa ni ukweli 100%

Mfano kuna research inasema, ndoa yoyote iliyofungwa na wanandoa waliokutana kimjini mjini(mf chuo) au wanandoa wenye kipato sawa, uwezekano wa kuvunjika kwa ndoa hiyo ni mkubwa sana.

Jamaa kaeleza mengi sana.

Huyu hapa msikilizeni.


View: https://youtu.be/4XWp2vrmRSY?si=uHf2z3S6mpcTqFTL
 
Mwanangu usiwe nice man kwa mwanamke utalizwa Sanaa..
Mwanangu Linda Sana afya yako ya akili mwanamke utaachana nae lakini wewe ukiwa mgonjwa wa akili Mambo yako yatafeli..
Fanya ufanyalo kuwa na backup na ikiwezekana ajue kuwa nawe una mtu...
Ndio maana nawashauri watu wajipende wenyewe kwanza. Ukijipenda hutaruhusu kiumbe chochote kukupa stress za kijinga. Tunaishi mara moja, ni lazima kulinda afya ya mwili na akili.
 
Unapotafuta mtu wa kuishi nae, Lazima uangalie kitu kinaitwa "Values".

Hivi ni vitu ambavyo huwezi mfundisha mtu, Hivyo ni vema ukachagua mtu ambae yuko na values zinazo kufaa.

Kupika, kufua, Kulea watoto kukatika sijui kitandani hivi ni vitu ambavyo mtu anaweza kujifunza.

Mfano: Kuna demu nilishawai kua nae, alikua good tu kwa kiasi flani, ila alishazoea mambo ya kwa mparange na mm sio njia zangu hizo, Ikabidi nimuwekee kikwazo tu tusiende popote lkn tayari values zake ziko chini sana kulingana na zangu
 
Back
Top Bottom