Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

Mimi nimeoa ki-old school na naishi kwa furaha sana, na nimeoa mtoto aliyekulia town:

1. I'm the one who make rules ndani ya nyumba. Siyo kwamba nina udikteta! Hapana. Ila nikiamua jambo ndo litafanyika ivoivo.

2. I'm the one providing daily bread. Mke anakaa home na kutekeleza majukumu yake, nami natekeleza yangu.

3. Mimi ni "I dont give a https://jamii.app/JFUserGuide" man. Anajua kabisa sina masihara wala utani juu ya nonsense yoyote atakayoleta. Alishawahi kutingisha kiberiti lkn alikizima mwenyeweee.

Shida ya vijana wa siku hizi mnaleteana mazoea ya kwenye chupi mpaka ndoani. Ndoa ni all about responsibilities. Kuna muda wa kukaza na kuna muda wa kulegeza. Always mwanamke ni mtu legelege, nawe mwanaume ulibweteka umeisha.
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Sehemu gani kwenye maandiko pameandikwa kwamba "mwanamke ni kiumbe DHAIFU"? I wish na mimi nipasome hapo
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Wewe bwana umejichanganya kuoa kambale unataka kila mtu aone ndoa mbaya! Pambana na hali yako wengine tunakula maisha na ndoa zetu miaka na miaka hakuna shida
 
Kama sio watoto,hakuna mwanaume angependa kuendelea kwenye ndoa
Sio kweli.
Sisi kwetu watoto wote tumeondoka wamebaki baba na mama tu. Na kati ya vitu baba hataki ni mama kusafiri na kukaa muda mrefu mbali na nyumbani.
Mimi na wife pia hatuna watoto lakini nafurahia mchango wa wife kwenye maisha yangu.
 
Dhumuni la ndoa ni kulinda masilahi ya mwanamke ndio maana mwanaume anashurutishwa kutimiza wajibu wake lakini kwa mwanamke kutimiza wajibu wake ni hiyali yake.

Unapooa maana yake umefanya risk ya kukabidhi maisha yako mikononi mwa mwanamke
Sio kweli.
Kuna ndoa, wote mwanamke na mwanamume wanafanya kazi na wanarudi nyumbani wamechoka.
Mwanaume anaoga anakaa kuangalia taarifa ya habari huku akisubiri chakula, mwanamke anaingia jikoni kuhangaika kuandaa chakula.
Hapo nani anafaidika na ndoa?.
Ukikosea kuoa ukaoa slay queen ndio utapata taabu.
 
Let's agree to disagree, keep aging and keep in touch bro, nimekuwa hapo, neamini sana hasa na kuheshimu, Imani, maombi na wokovu, niliyokutana nayo siwezi sahau, naamini wokovu, siamini obidience ya watu kwenye misingi ya wokovu!

I will never trust any Woman life time! I believe in forgiveness as a Biblical truth, But I trust God only for protection, never any Woman under the Sun!

Nina kijana wangu wakiume, siku anaoa sita attend, nitatuma mtu aende on behalf, I will never ever believe kwenye commitment to a Woman, life time, I don't even want my worse enermy to go through the experience have had with Women.
Daa!! Pole sana bro, inaonekana ulioa very evil woman.
Lakini lazima ukubali sio kila mwanamke ni evil.
Pia wapo wanaume ambao ni evil, wanasababisha maumivu makubwa kwa familia zao.
 
Back
Top Bottom