Wanaogopa kuzaa[emoji55]
Ajabu wanao kushtukia anakuwa kama huyuana lactogen safi sana aisee, daah
anishtukize Mvuti huku, mlangoni, kweli tena kopo la bebikea tupa kule
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 phaller sanaAjabu wanao kushtukia anakuwa kama huyuView attachment 2660735
🤭Siyo hayo
Kuna yale ya kuongeza utamu na joto
NDOA SIYO UTAPELI. Ndoa ni mpango wa Mungu. Isipokuwa baadhi ya watu wanaoingia kwenye hizo ndoa ndio matapeli.Ulichoongea yote ni sahihi lakini ukweli usemwe
NDOA NI UTAPELI
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 phaller sana
ila kwa ngwakwa nilizonazo huyu bado mkali sana pia
Ndoa ni Utapeli,NDOA SIYO UTAPELI. Ndoa ni mpango wa Mungu. Isipokuwa baadhi ya watu wanaoingia kwenye hizo ndoa ndio matapeli.
😅 swali chonganishi hiliUnaruka nae
[emoji1787][emoji1787]Ndoa ni Utapeli,
vitabu vimesema mje mzaliane, siyo mnunuane kisha mfugane ndani kama misukule
kizazi hiki cha p2 na Mo energy-kvant lazima watoto wakimbie
Nawashauri wanawake wenzangu
Tupunguze kuweka mavitu kwa bibi[emoji119]
Tafiti zako haiwezi kamilika kama huja yaishi unayotafiti.
Experience ni zaidi ya tafiti.
Tuache wanawake waongelee jambo hili kwa engo kubwa mana kuna vyanzo vingi ila wengi kwa tulipo sasa sio biological tena Bali wanapigwa na wasivyoviona.
Kuna mafala wamekaa sehemu wanakupangia usizae hadi ufe.
So painful mke niliezaa nae pedi alizokuwa akitupa ndio walizo Tumia kumpiga tukio.
Walimengu kumamamke zao.
Mkuu uko sawa!Kwa uchunguzi wangu binafsi nimeona ndoa nyingi sana zinapata changamoto ya kupata mtoto.
Hapa mjini wadada karibu wote wameharibika. Ndiyo maana wengi hata wakibahatika kuolewa kupata mtoto inakuwa tabu sana. Na wengi wao hawazai kabisa.
Wanawake wengi wa mjini Mjini wanatumia vizuia mimba tangu wakiwa wadogo sana matokeo wanavuruga mfumo wa uzazi,vijijini hawajui hayo mambo wanazaa mapema
Wadada wengi ujanani kipindi hawajaolewa p2 wanameza kama panadol..siku wakitaka kushika mimba ni mtafutano mara uvimbe..mara pid..mara hormonal imbalance. uzazi Sasa hivi kwa wanawake ni wa kutafuta kwa tochi.
Vidonge vya uzazi wa mpango vimepoteza Sana kizazi Cha wanawake. Matumizi ya p2 ujanani yanaleta balaa sana mbeleni kwenye ndoa.
Familia nyingi siku hizi zinaishia kuwa na mtoto mmoja. Ambaye anapatikana kwa mbinde sana.
Hapa chini ni somo jepesi la Muda sahihi wa kuzaa
1.WANAWAKE(WOMEN)
Wazungu wanasema Fertility is Ageist..ikimaanisha umri ndo unaweza ukaadhiri Afya Ya mtoto wako kwa Wanawake wanazaliwa na mayai kamili ambayo hupungua kiasi na Quality miaka inavyoenda..Mwanamke anavyozeeka uwezekano wa kupata mimbe unapungua chances za kupata risk mbali mbali kama miscarriage zinaongezeka!!
-Akiwa Miaka 32 uwezo wa Kuzaa unapungua ILA KIDOGO sana.
-Akiwa na Miaka 35 uwezo wa kuzaa unapungua kwa SPIDI ya Juu sana
-Akiwa na Miaka 40 uwezo wa kuzaa unakua umepungua kwa Nusu
-Kuanzia Miaka 20-31 uwezo wa kuzaa unakua asilimia 40% kwa kila mwezi ILA above 40 ni 5% sasa ukizaa Late unaweza kupata risks kama still birth(mtoto kufa esp age ya 35 hapo) kuanzia 40 kwenda Juu its a Miscarriage unapata
2.WANAUME(MEN)
As women,quality Ya sperms Inapingua as a man Ages mpka inafikia Point hawezi kumpa mwanamke mimba kabisa!
-Akiwa na Miaka 40 na zaidi uwezo wa kumpa mwanamke unapungua kutokana na kupungua kwa MOTILITY(kukimbia kwa sperms kufuata Yai) akiwa 45 kwenda Juu mtoto atakaemzaa atakua na matatizo kiafia
-Akiwa 20-40 hapa uwezo wa kuzalisha upo vizuri na anaweza kupata watoto kama wote Bila shida Yoyote kabisa!!!!
HIVYO TUJITAHIDI KUFUNGA NDOA MAPEMA. MWANAMKE CHINI YA MIAKA 25 AOLEWE NA MWANAUME KABLA HUJAVUKA 30 UWE UMESHAOA.
Hii itasaidia kutatua hili tatizo la uzazi kwenye ndoa nyingi za kisasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kizazi hiki cha p2 na Mo energy-kvant lazima watoto wakimbie
1.vijana walioharibika watazaa watoto walioharibika zaidi.Kwa uchunguzi wangu binafsi nimeona ndoa nyingi sana zinapata changamoto ya kupata mtoto.
Hapa mjini wadada karibu wote wameharibika. Ndiyo maana wengi hata wakibahatika kuolewa kupata mtoto inakuwa tabu sana. Na wengi wao hawazai kabisa.
Wanawake wengi wa mjini Mjini wanatumia vizuia mimba tangu wakiwa wadogo sana matokeo wanavuruga mfumo wa uzazi,vijijini hawajui hayo mambo wanazaa mapema
Wadada wengi ujanani kipindi hawajaolewa p2 wanameza kama panadol..siku wakitaka kushika mimba ni mtafutano mara uvimbe..mara pid..mara hormonal imbalance. uzazi Sasa hivi kwa wanawake ni wa kutafuta kwa tochi.
Vidonge vya uzazi wa mpango vimepoteza Sana kizazi Cha wanawake. Matumizi ya p2 ujanani yanaleta balaa sana mbeleni kwenye ndoa.
Familia nyingi siku hizi zinaishia kuwa na mtoto mmoja. Ambaye anapatikana kwa mbinde sana.
Hapa chini ni somo jepesi la Muda sahihi wa kuzaa
1.WANAWAKE(WOMEN)
Wazungu wanasema Fertility is Ageist..ikimaanisha umri ndo unaweza ukaadhiri Afya Ya mtoto wako kwa Wanawake wanazaliwa na mayai kamili ambayo hupungua kiasi na Quality miaka inavyoenda..Mwanamke anavyozeeka uwezekano wa kupata mimbe unapungua chances za kupata risk mbali mbali kama miscarriage zinaongezeka!!
-Akiwa Miaka 32 uwezo wa Kuzaa unapungua ILA KIDOGO sana.
-Akiwa na Miaka 35 uwezo wa kuzaa unapungua kwa SPIDI ya Juu sana
-Akiwa na Miaka 40 uwezo wa kuzaa unakua umepungua kwa Nusu
-Kuanzia Miaka 20-31 uwezo wa kuzaa unakua asilimia 40% kwa kila mwezi ILA above 40 ni 5% sasa ukizaa Late unaweza kupata risks kama still birth(mtoto kufa esp age ya 35 hapo) kuanzia 40 kwenda Juu its a Miscarriage unapata
2.WANAUME(MEN)
As women,quality Ya sperms Inapingua as a man Ages mpka inafikia Point hawezi kumpa mwanamke mimba kabisa!
-Akiwa na Miaka 40 na zaidi uwezo wa kumpa mwanamke unapungua kutokana na kupungua kwa MOTILITY(kukimbia kwa sperms kufuata Yai) akiwa 45 kwenda Juu mtoto atakaemzaa atakua na matatizo kiafia
-Akiwa 20-40 hapa uwezo wa kuzalisha upo vizuri na anaweza kupata watoto kama wote Bila shida Yoyote kabisa!!!!
HIVYO TUJITAHIDI KUFUNGA NDOA MAPEMA. MWANAMKE CHINI YA MIAKA 25 AOLEWE NA MWANAUME KABLA HUJAVUKA 30 UWE UMESHAOA.
Hii itasaidia kutatua hili tatizo la uzazi kwenye ndoa nyingi za kisasa