Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 3,135
- 4,306
Ndio tushangae hapa...... 😅😂Kondom nazo zinaathiri uwezo wa kushika mimba baadae?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tushangae hapa...... 😅😂Kondom nazo zinaathiri uwezo wa kushika mimba baadae?
Kwamba isitumiwe kabisaNdio tushangae hapa...... [emoji28][emoji23]
Jamani😳Wanawake wa mjini changamoto sana.
Jamani[emoji15]
Mi p2😔Wanawake wa mjini wengi wamebugia p2,na masindano na vidonge vya majira,ukichangia hawali vyakula asili,ndio basi tena uzazi kwao ni changamoto sana.
Kuna mademu wamekula sana madonge ya P2 unaweza kufungua pharmacy la P2 tumboni
Mwambie anicheck PM nitamsaidia atapata ujauzito. Wengi nimewasaidia.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Group O+...Kwangu Hali tofauti mnoo,nimegonga Mademu wawili ndani ya mwezi mmja...wote wanamimba! Ad nimeogoba mbegu zangu Kali.
Mwanaume ye yote anayesimamisha kama anataka mtoto anione nije nimpe dawa nzuri ya kunywa mara moja tu. Hata mapacha atafyatua hata kama yuko 80 na watoto watakuwa na afya tele bila tatizo lo lote. Nilifundishwa hii dawa na babu yangu aliyekuwa na wake 7 na watoto 38. Mtoto wake wa mwisho alimzaa akiwa na miaka 84!Kwa Wanawake nakubali,lkn kwa Wanaume nakataa,age doesn't matter,ndio Maana Vijana wanasema "Ng'ombe hazeeki maini".Leta Source ya andiko lako with Scientific proof from recognized Academic Institution,ambayo inasema Mwanaume anapungua uwezo kadri ya Umri unavyozidi kuongezeka.Tumeshudia Wazee wa miaka Themanini wakizaa watoto na mabinti wadogo na kupata watoto wazuri tu.
Wewe ni Omari Niachiemimi aka macheni?Mchepuko wangu nafikiria kuupiga Chini ila namuonea huruma. Ndoa haikua na amani kwasababu ya kutokuzaa wakaachana. Mimi nikalibeba jukumu la kumfunga paka kengele lakini naona linaenda kunishinda.
Mwambie anitafute ASAP!Kuna ndg ana miaka 5 kwenye ndoa anahangaika kupata mtoto, amefikia hatua za kupost watoto wanaotrend mitandaoni ili kujifariji, ni maumivu sana
Oyaa sio poaMchumba wa manara anaambiwa ananunua P2 za laki 7
P2 na abortion ni janga kwa mabinti wa sà sa hata hizo dawa zinadundaMwambie anitafute ASAP!
Atakunywa dawa mara moja tu. Asipopata mapacha mje mniue! Labda kama aliharibu kizazi chake kwenye kutoa mimba za ujanani huko!
We jamaa bana,kw hiyo hao mademu unagonga peke yako?hizo mimba mpo wengi na Kila mmoja kaambiwa nina mimba yakoKwangu Hali tofauti mnoo,nimegonga Mademu wawili ndani ya mwezi mmja...wote wanamimba! Ad nimeogoba mbegu zangu Kali.
Dah! nimetumia psychology yangu yotee ilaa nimegundua nikweli zangu. Mimi Nzagambaa kisu kikali Broo!We jamaa bana,kw hiyo hao mademu unagonga peke yako?hizo mimba mpo wengi na Kila mmoja kaambiwa nina mimba yako
Kwa uchunguzi wangu binafsi nimeona ndoa nyingi sana zinapata changamoto ya kupata mtoto.
Hapa mjini wadada karibu wote wameharibika. Ndiyo maana wengi hata wakibahatika kuolewa kupata mtoto inakuwa tabu sana. Na wengi wao hawazai kabisa.
Wanawake wengi wa mjini Mjini wanatumia vizuia mimba tangu wakiwa wadogo sana matokeo wanavuruga mfumo wa uzazi,vijijini hawajui hayo mambo wanazaa mapema
Wadada wengi ujanani kipindi hawajaolewa p2 wanameza kama panadol..siku wakitaka kushika mimba ni mtafutano mara uvimbe..mara pid..mara hormonal imbalance. uzazi Sasa hivi kwa wanawake ni wa kutafuta kwa tochi.
Vidonge vya uzazi wa mpango vimepoteza Sana kizazi Cha wanawake. Matumizi ya p2 ujanani yanaleta balaa sana mbeleni kwenye ndoa.
Familia nyingi siku hizi zinaishia kuwa na mtoto mmoja. Ambaye anapatikana kwa mbinde sana.
Hapa chini ni somo jepesi la Muda sahihi wa kuzaa
1.WANAWAKE(WOMEN)
Wazungu wanasema Fertility is Ageist..ikimaanisha umri ndo unaweza ukaadhiri Afya Ya mtoto wako kwa Wanawake wanazaliwa na mayai kamili ambayo hupungua kiasi na Quality miaka inavyoenda..Mwanamke anavyozeeka uwezekano wa kupata mimbe unapungua chances za kupata risk mbali mbali kama miscarriage zinaongezeka!!
-Akiwa Miaka 32 uwezo wa Kuzaa unapungua ILA KIDOGO sana.
-Akiwa na Miaka 35 uwezo wa kuzaa unapungua kwa SPIDI ya Juu sana
-Akiwa na Miaka 40 uwezo wa kuzaa unakua umepungua kwa Nusu
-Kuanzia Miaka 20-31 uwezo wa kuzaa unakua asilimia 40% kwa kila mwezi ILA above 40 ni 5% sasa ukizaa Late unaweza kupata risks kama still birth(mtoto kufa esp age ya 35 hapo) kuanzia 40 kwenda Juu its a Miscarriage unapata
2.WANAUME(MEN)
As women,quality Ya sperms Inapingua as a man Ages mpka inafikia Point hawezi kumpa mwanamke mimba kabisa!
-Akiwa na Miaka 40 na zaidi uwezo wa kumpa mwanamke unapungua kutokana na kupungua kwa MOTILITY(kukimbia kwa sperms kufuata Yai) akiwa 45 kwenda Juu mtoto atakaemzaa atakua na matatizo kiafia
-Akiwa 20-40 hapa uwezo wa kuzalisha upo vizuri na anaweza kupata watoto kama wote Bila shida Yoyote kabisa!!!!
HIVYO TUJITAHIDI KUFUNGA NDOA MAPEMA. MWANAMKE CHINI YA MIAKA 25 AOLEWE NA MWANAUME KABLA HUJAVUKA 30 UWE UMESHAOA.
Hii itasaidia kutatua hili tatizo la uzazi kwenye ndoa nyingi za kisasa