Yamekukuta nini?Ume assume wanaume wote wana vipato. Mbona wengine wanalelewa na wake zao? Hakuna formula kuhusu maisha ya ndoa.
Tena unakuta kwenye mahusiano ya kawaida bwana anahonga kweli, akishaoa anaanza kuacha buku nyumbani.
Hayajanikuta.Yamekukuta nini?
Bado napuyanga tu mkuuUmeolewa au bado unapigapiga misele?
Njoo upuyangie mitaa ya kwetu tuimbe ndo ndo ndo ndola katileeee ndolaBado napuyanga tu mkuu
[emoji847]Kuoana kuwepo kufunga pingu za maisha hapana
Watu waoe ila wakatae ndoaUkiwa hujaoa unaona ndoa ni nzuri ila ukiingia ukakutana na madudu ndo unakataa ndoa
Hiyo kitu umeijulia wapi mkuumovement's za anti_ndoa zinatujia kwa msaada wa LGBTQ
Mkipatana watu sahihi na kujua wajibu ,haki na mipaka ya wanandoaNdoa tamu
kwanini mkuu?Soon huu uzi utajaa mashoga kuja kujitetea hapa
USSR
duh! mkuu ndo kumaanisha kwamba ndoa ni majanga hivyo?Wale msiyo na nguvu za kiume,mlio na vibamia, endeleeni kutafuta kichaka cha kuficha madhaifu yenu (Ndoa) ....ili
1 :-mlee na kutunza watoto wasiyo wenu
2 :- Muishi maisha ya stress ya kupangiwa chakula na muda wa kurudi home
3 :- Mfukuzwe siku mtakayo wakasirisha wake zenu mkibisha tukutane ustawi wa jamii utuchangie na sisi tunaombea ndoa yenu ivunjike.
4 :- Ukiua tu jela maisha inakuhusu kwa tamaa za kuitwa mme wa fulani kumbe boda boda wanakucheki kwa dharau πππ
SawaUunganishe kwa ule wa ku kataa ndoa,