min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Inawezekana mkali mababu zetu hawakufunga ndoa ila kila mtu alikua na mke wakeInawezekana vipi hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana mkali mababu zetu hawakufunga ndoa ila kila mtu alikua na mke wakeInawezekana vipi hii?
Wanawake wengi mnapendaga ndoa kwasababu mnajua mkiolewa, mume atawapa hela ya kula na kuvaa financial servicesWatakuja na madongo ila fresh tu , ndoa ni muhimu bana
Ooh je vipi kwa wanawake wewe vipato vyao na wanapenda ndoa, una lipi la kusema juu yao ?Wanawake wengi mnapendaga ndoa kwasababu mnajua mkiolewa, mume atawapa hela ya kula na kuvaa financial services
naunga mkono hoja
Ni jeuri, kiburi , dharau, wana kosa haiba(sifa) za kuwa mwanamke.Ooh je vipi kwa wanawake wewe vipato vyao na wanapenda ndoa, una lipi la kusema juu yao ?
Ukiwa hujaoa unaona ndoa ni nzuri ila ukiingia ukakutana na madudu ndo unakataa ndoaHaujajua bado watu wanaoa ila wanakataa ndoa .
Mwanamke hawezi muhudumia mwanaume kipesa financial servicesOoh je vipi kwa wanawake wewe vipato vyao na wanapenda ndoa, una lipi la kusema juu yao ?
Ni kweli japo inawezekana pia mambo yasipokuendea vizuri, mwanamke akasaidia familia pia, ila wewe si ulisema wanawake wanaolewa sababu ya kuhudumiwa tena financially ndiyo nikauliza vipi hao wenye uwezo wanahitaji upendo tu, pesa si sana?Mwanamke hawezi muhudumia mwanaume kipesa financial services
Umeolewa au bado unapigapiga misele?Nipo hapa nafatilia pambano hili
Ume assume wanaume wote wana vipato. Mbona wengine wanalelewa na wake zao? Hakuna formula kuhusu maisha ya ndoa.Wanawake wengi mnapenda ndoa kwasababu ya Mnajua mkiolewa mtapewa pesa Za kula na kuvaa, na waume zenu, na si kwasababu ya heshima/ kupata Life time partner Numbisa
Vipi kuhusu MariooMwanamke hawezi muhudumia mwanaume kipesa financial services