Hata Uvumilivu una mwisho, hakuna haja ya kumvumilia mpumbavu, akavumiliwe na mamake hukoHapo ndio mjue ninyi kaka zetu wa kibongo ni changamoto...wenzetu hata majirani wamewashindwa. Ni sisi tu ndio tunaweza kuvumilia maujinga yenu pumbaf ninyi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ujue jamaa kazaa na wanawake wengine watatu, ukiachana na Amina.Kwa hiyo kama wanawake wote alio zaa nao wakimkalia kooni inaweza ikamtoka mpaka 8-10m kwa mwezi.
Sina la kuongeza mkuuu umeua kila kitu..Ali laiti angekuwa na spirit ya hardworking ya Mond basi wenda angekuwa mara tatu ya Mondi sema ni mtu ambaye anaridhika na hayupo serious katika utafutaji
Kama namsingizia akatae lakini hii ni hulka yake tangu zamani sana na huyo rafiki yangu aliyenambia kuhusu yeye ni rafiki yake wa damu sana from the start japokuwa jamaa kwa sasa ni mlevi lakini Alikiba ataonyesha dharau kwa wengine wote lakini sio huyu[emoji1][emoji1][emoji1] hatari anashinda ndani
Nani wa kumwambia na anashinda Kenya?.Labda ana taarifa kuwa jamaa ni comrade kipepe.
Kwa hiyo akisoma andiko hili atakukumbuka?.Miaka fulani ya zamani kipindi Alikiba anatamba na Cinderella nilikuwa Moro kwenye majukumu ya Kazi sasa jioni nikawa nimetulia maeneo ya home na washkaji wanakata gambe kuna mwana anaitwa Rama ambaye alikuwa rafiki yangu na shemeji yangu kwa dada yangu fulani akanshtua kwa simu kwamba anataka aje nilipo maana amepata taarifa nipo maeneo ambayo yeye yupo..dakika chache tu akafika akiwa na Alikiba na dada yangu katika story story za hapa na pale akanambia Alikiba anamuomba dada yangu awe video queen katika moja ya nyimbo zake ila yeye akakataa nikamwambia sawa uamuzi ni wako kingine ambacho alinambia na ndicho kinanifanya niandike comment hii eti akanambia anajaribu kumzururisha Alikiba na kumpa michongo ya hapa na pale kwa sababu jamaa akiwa kwao anashinda ndani kutwa nzima anaweza asionekane nje hata wiki kila akimoigia simu yupo ndani tu ndio akamwambia basi njoo Moro angalau tupeane kampani moja mbili ndio akaja..Siku ile nikashangaa inawezekana vipi kijana mkubwa kama yule awe anashinda ndani tu wakati mimi nikiwa Advance tu tayari nishaanza kudandia mabasi na kujua uhuni wote wa stendi miaka ya 1996! Hapo ndipo jibu linakuja Alikiba SI MCHAKARIKAJI
Wabongo mnajua sana mambo ya watuKwa kifupi sema Amina alitegemea kukuta spirit ya hardworking ya Mondi kwa Alikiba. Akakuta kumbe Ali ni style zile za bongo movie jina kidogo anataka majimama ndo yamfanyie kazi yeye ale tu na kufanya kazi anapojiskia tu
Uongo tu,
Kiba angekua mvivu angeweza kudumu kwenye mziki kwa miaka yote hio,? wasanii wangapi kaanza nao hawapo wamechoka mbaya ... mambo ya ndoa ni magumu wao wanajua wameachana kwa sababu gani hizi zingine ni ramuli chonganishi mnafanya humuAna silka ya uvivu, na. Muda ndio sasa miaka mitano mbele kwishaa kazi, maana hana matangazo hana show, hata kama ni akiba inakwishney anabaki na pumbuziii tu
Hiyo ni assumption tu kutokana na tunavowajua wakenya....ngoja siku ufanye nao hata kazi utawajuaWabongo mnajua sana mambo ya watu
Mapicha picha ya mitandaoni na mademu. Mara kakumbatiwa.Nani wa kumwambia na anashinda Kenya?.
Mmh masikini Katika kauli zao hata hela ya vocha umepiga bomu !!!!Wapi nimeandika nahitaji kuhongwa ujakunwa kijambio mimi nauwezo wa kukodi wanaume wakusugua then nawalipa
Umemaliza kila kitu mkuu...ndoa ni swala nyeti sana...na lenye complications nyingi.Kama hujawahi kuishi ktk ndoa kwa miaka walau 5 kwa uchache usichangie chochote maana hujui chochote we tulia utajifunza kwa vitendo muda ukifika.
Bongi??;;;!!! Duh unakimbizwa???Maisha anayoishi UWOYA kwa sasa ndio ambayo aliyaishi Wema sepetu miaka michache iliyopita..Bongi Movie sijui nani kawaroga hawajifunzi kutokana na makosa ya wenzao kabisa
Hujielewi usitaje uislamuMkurupukaji on fleek au ni ID yako nyingine?umeanzia kwanza kwa niliemjibu? au unawashwa washwa
Toeni ulevi wenu kwanza mnatokea shamba ndo mkifika dar shobo kavaeni mitumba kuna watafutaji hao 🤣🤣🤣🤣🤣 tangu linBado wataendelea kuwa the best kwenyev utafutaji na tabia,na mkiendelea kutuletea shombo ss kaka zao tunawaoa na nyie