fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Hawezi kuishi na mke mwenye staha mcha Mungu,ni mshenzi,mwenye majivuno,malaya,anafanta 3some,ana kuburi,hajali mkeMambo ya utu na utulivu yameshindwa kumtuliza Bi.Amina?
Ally Kiba na mashauzi ataweza kukaa na mke gani sasa?
Huyo dada ni mcha mungu,msomi kwa dini ya kiislanu na elimu dunia,alikuwa na kazi nzuri sana benki moha huko kenya,ila mumewe hajatulia kabisaKwani huyo Amina hakua na utu na utulivu?
Mke wa kumfanya hivyo awe wa bushHawezi kuishi na mke mwenye staha mcha Mungu,ni mshenzi,mwenye majivuno,malaya,anafanta 3some,ana kuburi,hajali mke
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732]
Nna wafahamu vizuri , nmeishi nao ila swala la mahusiano lina complications nyingi hasa mnapo oana watu wa culture tofauti no one knows nini hasa kinawatenganisha hapa tuna assume tuHiyo ni assumption tu kutokana na tunavowajua wakenya....ngoja siku ufanye nao hata kazi utawajua
Eeenh hata km wa bush hana roho yakhe.Mke wa kumfanya hivyo awe wa bush
Kuna mtu kacomment juu huko kiba kinachofuata ni ITV(kufilisika) coz hana washabiki!mtu yuko kwenye muziki miaka 20 sasa then anapigiwa ramli ya kuishiwa kimuziki!Kiba angekua mvivu angeweza kudumu kwenye mziki kwa miaka yote hio,? wasanii wangapi kaanza nao hawapo wamechoka mbaya ... mambo ya ndoa ni magumu wao wanajua wameachana kwa sababu gani hizi zingine ni ramuli chonganishi mnafanya humu
Kiba aliingia kichwa kichwa,ajifunze kwa mond,jamaa habari za kuoa anazikwepa kwa ajili ya mambo kama hayo ya kugawana mali,hii inaweza kumtokea hata harmonize kwenye ile ndoa yake,dogo ajiandae kupigwa na kitu kizito cha utosi na yule dada wa kitalianoHuyo dada yupo kimaslahi hapo kabisaa
Kweli na hao wansingoza kuolewa na vibabu vya kizungu.Mademu wa kikenya ni ma gold digger. Wakiona hawapati walichokusudia lazima waanze mbele.
Unajua wao walijua kuwa umaarufu kama wa Ali Kiba au Ben Paul ni lazima watakuwa na Mshiko wa Maaana sana. Baadae wanakuja kugundua kumbe ule ni umauurufu tu - hakuna mshiko wa maana; maisha yao ni ya kawaida sana. Hapo ndio kunaleta tatizo.Ukweli ambao haujulikani ni kwamba wanawake wengi wa Kenya wanaona fahari kuolewa na watanzania wakidai watanzania wana swagga kuliko wanaume wao wa Kenya,sasa baada ya hapo ndipo unapokuja ule msemo wa mjasiri haachi asili..Kiasili wanawake wa Kenya na wanaume wao ni wachapakazi kuliko watanzania na wanawake wa Kenya wanapenda mwanaume mchakarikaji hili waishi maisha ya kigold digger sasa wale ambao wamejikuta wameingia kwenye mitego ya ndoa na watanzania baadae hujuta na kusema bora wanaume wa Kenya kutokana na uvivu tulionao,Amina alichotegemea kukikuta kwa Ali kiba ni tofauti na mategemeo yake thus why yamemshinda the same kwa Annelisa na Ben paul,Annelisa baada ya kugundua ben paul ni Marioo akaamua kufata asili yake
Sasa kama ni mvivu means hana kitu anafilisika vipi? waswahili tuna mambo yetu tunayajua wenyeweKuna mtu kacomment juu huko kiba kinachofuata ni ITV(kufilisika) coz hana washabiki!mtu yuko kwenye muziki miaka 20 sasa then anapigiwa ramli ya kuishiwa kimuziki!
Just like bushmami hapaMke wa kumfanya hivyo awe wa bush
Huyo dada ni mcha mungu,msomi kwa dini ya kiislanu na elimu dunia,alikuwa na kazi nzuri sana benki moha huko kenya,ila mumewe hajatulia kabisa
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Ndoa bwana, upewe haki ya kuoa wanawake wengi kama waislam,au ufungwe na mke mmoja kwa wakristo,Haina garantiii kama itadumu,Adai anaishi kwa stress baada ya kutelekezwa.
=========
The wife of Tanzanian Superstar Ali Kiba has filed for divorce in Mombasa Kadhi's court after three years of marriage.
Amina Khalef wants to dissolve her marriage with Ally Salehe Kiba, claiming stress and neglect.
The two married under Islamic Law on April 19, 2018, in a glamorous wedding held in Mombasa and later proceeded to live as a couple in Dar es Salam Tanzania.
Hawa harusi yao si ndiyo ilirushwa liveMambo ya utu na utulivu yameshindwa kumtuliza Bi.Amina?
Ally Kiba na mashauzi ataweza kukaa na mke gani sasa?
Wanawaonea gere tu wachaga haoHivi unaweza ukachukia kitu lakini kila siku unakiwaza na kukiongelea? Uzi unamuhusu Ali Kiba na mkewe kunawatu wanawasema Wachagga. Mtu hujui hata maisha yako yanamuelekeo gani unawaza Wachagga.
Wengine mpo hovyo hovyo mkashindwa kupata wanawake wakichagga mnabaki kulia lia humu.
Wachagga nye nye wachagga nyi nyi nyi. Wachagga ndo waume zenu?
Hahaha kabisaaa. Mtu huwezi kuchukia kitu lakini muda wote unataka kukifuatilia na kukiongelea.Wanawaonea gere tu wachaga hao
Ova