Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hata walooa walijua watatumia wataachaNatumia ila sioi pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata walooa walijua watatumia wataachaNatumia ila sioi pale
DuuhOnce a whore always a whore
No matter what hiyo iko hivyo toka zamaniDuuh
Sasa Mondi naye mwanaume yule? Dume la ku Kiss na mamake nalo utasema janaume hilo?Ndoa za mastaa nazo ni ndoa au show off tu? Ni suala la muda tu hamisa ataacha kufanya uasi. Demu gani yule mwenye tamaa? Hana utulivu kwenye ndoani. Nini kilimtoa kwa mond? Na huyo msela mwingine waliyezaa mtoto naye nako ilikuaje? Vipi lile jibaba sanii la marekani halikuwahi kula mzigo? Azizi ke yeye ale mzigo tu kisha apite zake, tena ahakikishe anapata mtoto naye ili akitemwa isiwe hasara, hakuna mke hapo japo ni mzuri na anavutia kimahaba
Kwamba Kilomita ni nyingi sana? Harafu aliyewambia Watanzania kwamba Mobeto ni mzuri ni nani?No matter what hiyo iko hivyo toka zamani
Body count ni kubwa paleKwamba Kilomita ni nyingi sana? Harafu aliyewambia Watanzania kwamba Mobeto ni mzuri ni nani?
Ameshtuka akawahi mapema yasimkuta yakina Sepeti na Uwoya.Body count ni kubwa pale
Aziz k amekuja hapa lin? Mbona watu wanaona kwa kujuana mwezi tu na ndoa zinadumu .For how long?
Aziz ni SIMP 😡Ameshtuka akawahi mapema yasimkuta yakina Sepeti na Uwoya.
Wanawake huwa wana Deadline
GENTAMYCINE unakumbuka kisa cha mchezaji wenu wa zamani Ndiku?Watu wanaopenda publicity ngumu sana kuishi nao au wao kwa wao kuishi pamoja muda mrefu.
Hamisa anapenda umaarufu na mahusiano na watu maarufu wenye kipato kikubwa.
Aziz anatakiwa awe makini sana vinginevyo maisha yake ya furaha yatakuwa ya muda mfupi sana. Na vile yupo fragile sana emotionally sijui itakuwaje.
Namkumbuka marehemu Selemani Ndikumana na Uwoya wake.
😂😂😂 Chaliifrancisco ana makasiriko, asisikilizwe.Hannah unahitajika huku