Binafsi nimeshangaa mpaka kufikia level ya mwisho ya kushangaa.
Kweli nimeamini kuwa UCHAWI UPO
Hivi mtu kama Ki anakosa pisi kali ambayo haijazaa na ina maisha yake kweli? Yaani anaenda kuoa li mshangazi lililozalishwa watoto wawili na midume tofauti tofauti, yeye hajiulizi kwanini wenzao wamemwaga wino na kusepa?
Huyo ki ni bonge la kiazi!
Na hayo ndio madhara ya kutohudhuria vikao vya wanaume mwisho wa siku unakuja kuyatimba
Kweli nimeamini kuwa UCHAWI UPO
Hivi mtu kama Ki anakosa pisi kali ambayo haijazaa na ina maisha yake kweli? Yaani anaenda kuoa li mshangazi lililozalishwa watoto wawili na midume tofauti tofauti, yeye hajiulizi kwanini wenzao wamemwaga wino na kusepa?
Huyo ki ni bonge la kiazi!
Na hayo ndio madhara ya kutohudhuria vikao vya wanaume mwisho wa siku unakuja kuyatimba