Ndoa ya Aziz Ki ni maisha yake binafsi, lakini Wacha nitie neno kidogo

Ndoa ya Aziz Ki ni maisha yake binafsi, lakini Wacha nitie neno kidogo

Binafsi nimeshangaa mpaka kufikia level ya mwisho ya kushangaa.

Kweli nimeamini kuwa UCHAWI UPO

Hivi mtu kama Ki anakosa pisi kali ambayo haijazaa na ina maisha yake kweli? Yaani anaenda kuoa li mshangazi lililozalishwa watoto wawili na midume tofauti tofauti, yeye hajiulizi kwanini wenzao wamemwaga wino na kusepa?
Huyo ki ni bonge la kiazi!

Na hayo ndio madhara ya kutohudhuria vikao vya wanaume mwisho wa siku unakuja kuyatimba
 
Hongera Aziz Ki &Hamisa Mobeto.
Msisikilize watanzania, wao majungu ni daily life yao, wata sema lile watasema hilo, wamekuwa na Hamisa miaka yote na walishindwa kuoa, wanaume wa Tz ni too inferior kwa wana wake walembo, tuna wakaribisha wageni mje mchukue dada zetu, acheni kuwa makocha kwa ndoa za watu.
Kazalishwa na wageni?
Kwanini hawakutaka kumuoa?
Wakishindwa au walikataa kumuoa?
 
Huyu Aziz k huenda kufanya maamuzi yake based on HISIA sio mbaya......But kuwa na hamisa kaingia Cha kike, naona kiwango chake kinaenda kuporomoka vibaya mno, then Nini kifuata??

Mshahara wa mil 20+ unapuputika, baada ya hapo unahisi Bado ndoa itakuwepo??

Hapo Aziz k atakuwa kashapigwa knockout ndoa hakuna+ carrier ya mpira ndio imeisha hiyo...

Na hapa ndio unaamini Ile kauli ya adui zako hawatoki mbali wapo hapo hapo kwenye mizunguko yako ya maisha ya Kila siku,,, adui zake ni kina nani??? Mimi sijui
What if akapata Nyota zaidi hadi kununuliwa na club za Ulaya?
 
Yanga wanatapeli maisha ya jamaa!!

Kifupi ,Yanga wanatumia mbinu ya economic hitman kummaliza Azizi!

Azizi anaumizwa lakini hajui kabisa kinachotokea coz asali anayolambishwa inampofusha asione uhalisia!!
 
Hongera Aziz Ki &Hamisa Mobeto.
Msisikilize watanzania, wao majungu ni daily life yao, wata sema lile watasema hilo, wamekuwa na Hamisa miaka yote na walishindwa kuoa, wanaume wa Tz ni too inferior kwa wana wake walembo, tuna wakaribisha wageni mje mchukue dada zetu, acheni kuwa makocha kwa ndoa za watu.
Hata kwa Wema, Wopa na Uwoya mlisema hivi hivi kiko wapi?

Zile mishe zao za kwenda Uturki na Dubai kununua Makontena ya biashara ziliishia wapi?

Watanzania wakawaida wako Realistic na maisha. Hawajawahi kusema Uongo.

Juzi nimemsikia Irene akisema anatamani Mwanaume yeyote wa kumuoa. Unajiuliza ina maana wale Mapedejee wote aliolala nao hakuna hata mmoja alimpenda?
 
Binafsi nampongeza Aziz ki Kwa kupata jiko, ila Nina haya

1. Wazee wanasema kuwa anayeona laZima aulize,
Sina uhakika kama kijana wetu Aziz ki aliuliza na kuchakata kuhusu mkewe.
Au alikutana na machawa wakamjaza akajikuta ameingia cha kike.
Nadhani Kwa maisha ya football ingekuwa njema akapata mke wa kumpa utulivu tofauti na Mobeto

2. Wazazi au ndugu wa Aziz ki kutoonekana siku ya kutoa mahali.
Eng Hersi ndo alisimama kama mzazi,
Hili halikuwa jema
Mama yake Aziz ki yupo Burkina Faso sio mbali ni kufika na kumpa heshima hiyo

Kumbuka hii ndoa ni ya mataifa mawili,
Eng Hersi ni Mtanzania na Mobeto ni Mtanzania, Kwa maana hiyo Eng Hersi anatokea umamani hawezi kusimama upande wa Aziz ki

3. Maisha yatakuwaje baada ya ustaa wa Aziz ki kufika Kikomo
Football ni Kazi ya muda mfupi mno
Labda Mobeto kampenda Aziz ki kisa ni staa lakini nina uhakika Aziz hana misimu 3 mbele akiwa katika form hii

4. Kwanini asingefunga ndoa mwisho wa msimu
Ligi inaendelea key players wanafunga ndoa na wachezaji waandamizi wote wako kwenye harusi na tarehe 17 Kuna mchezo dhidi ya Mashujaa, hapa nawaza

Mapenzi mapya yanahitaji muda, huwezi kuwa na mke mpya uwaze vyema kazi ya physical kama football na ufanye katika form nzuri

Washauri wa Aziz ki hawakukaa nae vyema kumpa madini ya msingi nadhani alikutana na machawa wakampoteza

Mchezaji wa Simba Valentine Nouma alifungwa ndoa ligi ikiwa inaendelea na Sasa sijamuona hata bench Nina Imani Simba itamwacha tu
Omba mungu akupe hitaji la.moyo wako ila hujui hamisa hajaolewa kama ndoa ameolewa ili aziz ki apate ruhusa yakukaa huku bila kusumbuliwa na vibali vya hapa napale wakaingia mkataba na hamisa kuwa wazae mtoto kuonekana wanafamilia so maisha ya matajiri ni ujanja. So umalaya unini hakuna mkamilifu dunia hii.
Kwani aziz k mpaka anamtoto na watoto je umamchunguza kitu yake imeingiza mara ngapi??? Nayeye nimalaya kama hamisa ni bora ndoa yamchongo kushinda upweke na kutanga tanga
 
Huyo jamaa kaingizwa chaka na atalia sana muda si mrefu. Yani pakashume la bar unataka ulifuge ndani?

Najua hapa akina dada mtani attack ila huo ndio ukweli huyu Azizi kaingizwa mkenge.
Kwa kweli wana vitu vingi ambavyo ni tofauti kuweza kuishi pamoja....

Lakini plse usimwite Hamisa paka shume,utu wake plse,kila mtu ana upande wake wa pili
 
Binafsi nampongeza Aziz ki Kwa kupata jiko, ila Nina haya

1. Wazee wanasema kuwa anayeona laZima aulize,
Sina uhakika kama kijana wetu Aziz ki aliuliza na kuchakata kuhusu mkewe.
Au alikutana na machawa wakamjaza akajikuta ameingia cha kike.
Nadhani Kwa maisha ya football ingekuwa njema akapata mke wa kumpa utulivu tofauti na Mobeto

2. Wazazi au ndugu wa Aziz ki kutoonekana siku ya kutoa mahali.
Eng Hersi ndo alisimama kama mzazi,
Hili halikuwa jema
Mama yake Aziz ki yupo Burkina Faso sio mbali ni kufika na kumpa heshima hiyo

Kumbuka hii ndoa ni ya mataifa mawili,
Eng Hersi ni Mtanzania na Mobeto ni Mtanzania, Kwa maana hiyo Eng Hersi anatokea umamani hawezi kusimama upande wa Aziz ki

3. Maisha yatakuwaje baada ya ustaa wa Aziz ki kufika Kikomo
Football ni Kazi ya muda mfupi mno
Labda Mobeto kampenda Aziz ki kisa ni staa lakini nina uhakika Aziz hana misimu 3 mbele akiwa katika form hii

4. Kwanini asingefunga ndoa mwisho wa msimu
Ligi inaendelea key players wanafunga ndoa na wachezaji waandamizi wote wako kwenye harusi na tarehe 17 Kuna mchezo dhidi ya Mashujaa, hapa nawaza

Mapenzi mapya yanahitaji muda, huwezi kuwa na mke mpya uwaze vyema kazi ya physical kama football na ufanye katika form nzuri

Washauri wa Aziz ki hawakukaa nae vyema kumpa madini ya msingi nadhani alikutana na machawa wakampoteza

Mchezaji wa Simba Valentine Nouma alifungwa ndoa ligi ikiwa inaendelea na Sasa sijamuona hata bench Nina Imani Simba itamwacha tu
Kwa hiyo wewe huyo mke ndio wa kwanza kumtoa bikra

Maana kelele nyingi kumbe na wewe umeoa jitu tayari lipo wazi

Muangalie mke wewe ndie ulimtoa bikra,kama hukumtoa kaa kimya

Tambua kuna watu wamemchakata sana mpaka wewe ukamuoa
 
Nilisema hii ni project ikikamilika mtaona mengi na mtasema mengi.
Mara nyingi maishani unajifunza zaidi kupitia makosa, na inapendeza makosa hayo uyaone kwa wengine yasikukute wewe mwenyewe!
Hakuna kanuni za ndoa .kila ndoa na style zake wengine wanalala uchi ,wengine na nguo

Wengine wanazama chumvini,wengine wanaogopa chumvi wanaona uchafu

Sasa usielezee ndoa yako ukadhani wote wanakula tigo
 
Jamaa wa kule wengi wanakuwaga mambulula, we subiri mpaka siku umsikie anaongea ndio utajua kuwa ni easy target. Hawa wadada wanaforce issue lbalaa. Unalazimishwa kuwa boyfriend hata kama hutaki
 
Back
Top Bottom