Ndoa ya Dkt. Mwaka yavunjika. Imemaliza upendo kabisa

Ndoa ya Dkt. Mwaka yavunjika. Imemaliza upendo kabisa

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Baraza la Mashekh wa Mkoa wa Dar es Salaam Chini ya Mwenyekiti wake Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam limevunja rasmi ndoa ya Bi. Queen Masanja ambaye alikuwa Mke wa Dk. Mwaka leo hii Tarehe 25/1/2023.

“Ndoa hii imepoteza malengo na makusudio hakuna upendo wala maelewano baina yao hadi sasa zaidi ya mwaka mmoja sasa” amesema Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam akizungumza na Wanahabari.
Screenshot 2023-01-26 at 09-28-26 KITENGE TV (@kitengetv) • Instagram photos and videos.png
 
Hiyo ilikuwa ndoa au upuuzi fulani hivi? Wale wanawake walijazana pale kwa maslahi yao binafsi, ilitarajiwa muda utafika wataanza kuchomoka moja baada ya mwingine. Haya ndiyo madhara ya ndoa za show off
Usipende kulaumu wanawake kwa kila kitu, haya yeye Mwaka huwaoa na kuwajaza hapo kwa maslahi yake binafsi.

Hakuna kitu queen alifuata kwa Mwaka zaidi ya ndoa, Do your research.
 
Back
Top Bottom