Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Ngoja Dr. Kigwangalla aje kutujibuHivi Mwaka ni Doctor?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja Dr. Kigwangalla aje kutujibuHivi Mwaka ni Doctor?
Hawa wanawake wenye majina yanayoishia Masanja ni shida.
Muwe mna share mume halafu eti mnapendana Hadi kulala kitanda kimoja mume katikati... 😂😂😂😂Lidada lizuri hiloo hakunaga ukewenza mzurii na ukewenza wanawake hatuupendi tena wa kuongozana hivyo
Eti maajabu hayaMuwe mna share mume halafu eti mnapendana Hadi kulala kitanda kimoja mume katikati... 😂😂😂😂
Mi nikajiuliza hii ni ndoa au big brother Africa.
Kwa hiyo WANAWAKE ndio wanashida au siyo....kama huyo manara ndoa tano (shida WANAWAKE)Hawa wanawake wenye majina yanayoishia Masanja ni shida.
Mwaka huu tabu tupu, huku Manara, huku mwaka, kule Lissu naye kapigwa chini na mkewe
Maajabu ya MusaEti maajabu haya
Two bulls in one domain
bar maids[emoji2960]Hawa wanawake wakishaachika wanaenda wapi nani atawaoa
Asee nmecheka san
Bawasidi na PID Kwa kinamama,Hivi Mwaka ni Doctor?
Labda ndiyo maana kaivunja ndoa fasta fasta nini?? [emoji12] [emoji12]Huyu Sheikh wa Mkoa si walishaparuana before na Mwaka anayejiita doctor wakati ni mtaalamu miti shamba in kigwangala's voice?
Alisomea chuo gani huo udaktari? Kuna wakati Kigwangala alimtimua pale bungoni kwenye ile clinic yake na kuifungia. Baadae nikashangaa kaibukia Ubungo plaza [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii nchi ina comedy aiseeeeHivi Mwaka ni Doctor?