James Gatz
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 301
- 319
Haki yupi?2. Haki Kalizwa na msukuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki yupi?2. Haki Kalizwa na msukuma
Naomba link tafadhali niupitieNatoa angalizo kuwa turudie Ile elimu aliyotupa Mshana kuhusu Mdomo wa mwanamke na maumbile yake.Naona darasa alikukuelewa Mwalimu Mshana vizuri.[emoji1][emoji1]
... alizingua kinoma; hakuna mafundisho ya dini yoyote yanaruhusu hiyo kitu (threesome). Ni kharamu kabisa mmoja kujua sio tu unavyomfanya mwingine bali at any particular moment mmoja hapaswi kujua mwenzangu anaingiliwa muda huu!Dah alizingua pakubwa
Probably he meant Haji.Haki yupi?
Yawezekana nguvu zetu ndo tatizoOk ndoa imevunjika ila nini tatizo ni pesa au nguvu zetu, kama pesa Mwaka ni mpambanaji na kama ni nguvu zetu Mwaka ndio mtengenezaji na muuzaji wa dawa za nguvu zetu.
Kwa kweli hali imekuwa tete! Hata michepuko nayo kwa sasa haikamatiki!! Yaani hali ni mbaya mpaka basi.Wenye wake zaidi ya mmoja huu ni mwaka wenu mkitoboa mpaka June 2023 basi nyie mtadumu. Trailer imeanza January kwa motivesheni supika wenu Dr mwaka na Manara
Safi tu..Baraza la Mashekh wa Mkoa wa Dar es Salaam Chini ya Mwenyekiti wake Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam limevunja rasmi ndoa ya Bi. Queen Masanja ambaye alikuwa Mke wa Dk. Mwaka leo hii Tarehe 25/1/2023.
“Ndoa hii imepoteza malengo na makusudio hakuna upendo wala maelewano baina yao hadi sasa zaidi ya mwaka mmoja sasa” amesema Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam akizungumza na Wanahabari.
View attachment 2495938
Lissu ni kwa ajili ya ushoga?Hawa wanawake wenye majina yanayoishia Masanja ni shida.
Mwaka huu tabu tupu, huku Manara, huku mwaka, kule Lissu naye kapigwa chini na mkewe
🤣 Hio tayari inaeleweka hapo lazima angetoswa tu. Shimo kubwaNatoa angalizo kuwa turudie Ile elimu aliyotupa Mshana kuhusu Mdomo wa mwanamke na maumbile yake.Naona darasa alikukuelewa Mwalimu Mshana vizuri.😄😄
Wanaita kumsitiri 🤣 haya vijana changamkeni huyo hata. EDA hakai utashangaa kuna baharia kajiwekaWacha tujitwalie mwanamke tukampige mbuzi kagoma kwenda au popo kanyea mbingu.
Alafu wahuni watajiweka fasta kwa muda ili kupima Dr Mwaka alikuwa anafaidi nini. Wahuni watu wabaya sana.Wanaita kumsitiri 🤣 haya vijana changamkeni huyo hata. EDA hakai utashangaa kuna baharia kajiweka
Mamlaka Ile Ile inayoifanya Bakwata kufungisha ndoa, ndio hiyo hiyo inayowapa nguvu ya kuvunja.Hao Bakwata wamepata wapi mamlaka ya kuvunja ndoa? Nachojua nchi hii Mahakama ndio inaweza kuvunja ndoa.
Sijui kama kuna chombo au taasisi nyingine inaweza kuvunja ndoa..
Najiuliza hao bakwata wametumia sheria au mamlaka gani kuvunja hiyo ndoa?
We poyoyo kweli km umeamka usingizini vile. Ni sheria ipi imewapa mamlaka kufunga ndoa?Hao Masheikh najiuliza ni sheria gani imewapa mamlaka ya kuvunja hiyo ndoa
Acheni kuoa wasukumaWasukuma wanamatukio ya hatari. Kama unataka kuoa msukuma jiulize mara mbili mbili.
1. Harmo Kalizwa na msukuma
2. Haki Kalizwa na msukuma
3. Mwaka kalizwa na msukuma
4. Mkandamizaji msukuma wake kafanya matukio
5. Msukuma wa bagamoyo hajamzika mumewe kisa hataki maiti kwenye kiwanja chake
Wake wa kisukuma wamekuwa shida.