Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Yes dokta tena kasomea vyuo vya mizimuHivi Mwaka ni Doctor?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes dokta tena kasomea vyuo vya mizimuHivi Mwaka ni Doctor?
... hujui; labda. Tuendelee kusubiri!Hujui; labda Mwenyezi Mungu ataleta jambo jengine baada ya haya.
kwahiyo ulitaka wakae hivyo hivyo ilhali hawapendani 😲Ndoa za kiislamu ni ufuska
Ndiyo ndugu yangu.Weee! Sema kweli?
Mashoga yapo Saudi, Oman, Mombasa, tanga na Zanzibar majority ni IslamicVizuri ndoa za kikristo ni safi, si unajua mashoga hawana baya.
😂😂😂🙅Ndiyo ndugu yangu.
Huyu si ndio fundi wa mapenzi na ndoa? Imekuaje tena? 😂😂
Tatizo 'Amani',ikikosekana hii hata upewe dunia utaikimbia tuOk ndoa imevunjika ila nini tatizo ni pesa au nguvu zetu, kama pesa Mwaka ni mpambanaji na kama ni nguvu zetu Mwaka ndio mtengenezaji na muuzaji wa dawa za nguvu zetu.
kwaio uo mshangazi upo huru sio koloni tena la blaza Mwaka?
Yeah alisema hayo mwenyeweThreesome!
Yeah alisema hayo mwenyeweThreesome!
Dah alizingua pakubwaYeah alisema hayo mwenyewe
Wa mitishamba sijui traditional, anasema amesomea hayo mambo 🤣Hivi Mwaka ni Doctor?
Sifa na umaarufu huweza kushushwa saazingine kwa kukosea kupiga hesabu ya jambo sahihi la kulipromote!Halafu alikuwa analala nao wote kitanda kimoja
wanaume wanaonyoa vipara, wenye uwalaza na wenye kichwa kama cha mwaka huwa na matatizo.. am offBaraza la Mashekh wa Mkoa wa Dar es Salaam Chini ya Mwenyekiti wake Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam limevunja rasmi ndoa ya Bi. Queen Masanja ambaye alikuwa Mke wa Dk. Mwaka leo hii Tarehe 25/1/2023.
“Ndoa hii imepoteza malengo na makusudio hakuna upendo wala maelewano baina yao hadi sasa zaidi ya mwaka mmoja sasa” amesema Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam akizungumza na Wanahabari.
View attachment 2495938