Ndoa ya Dkt. Mwaka yavunjika. Imemaliza upendo kabisa

Ndoa ya Dkt. Mwaka yavunjika. Imemaliza upendo kabisa

kwaio uo mshangazi upo huru sio koloni tena la blaza Mwaka?
images%2B-%2B2023-01-25T180717.828.jpeg.jpg
 
Natoa angalizo kuwa turudie Ile elimu aliyotupa Mshana kuhusu Mdomo wa mwanamke na maumbile yake.Naona darasa alikukuelewa Mwalimu Mshana vizuri.😄😄
 
Halafu alikuwa analala nao wote kitanda kimoja
Sifa na umaarufu huweza kushushwa saazingine kwa kukosea kupiga hesabu ya jambo sahihi la kulipromote!

Mambo mengi hapo sasa watu wataanza kujihoji, hata ule usahihi wa dawa zake za nguvu za kiume, tayari client wataanza kujiuliza uliza!

Maisha ya kwenye media yanaweza yakakuinua sana na kisha yakakuporomosha kabisa!
 
wana
Baraza la Mashekh wa Mkoa wa Dar es Salaam Chini ya Mwenyekiti wake Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam limevunja rasmi ndoa ya Bi. Queen Masanja ambaye alikuwa Mke wa Dk. Mwaka leo hii Tarehe 25/1/2023.

“Ndoa hii imepoteza malengo na makusudio hakuna upendo wala maelewano baina yao hadi sasa zaidi ya mwaka mmoja sasa” amesema Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam akizungumza na Wanahabari.
View attachment 2495938
wanaume wanaonyoa vipara, wenye uwalaza na wenye kichwa kama cha mwaka huwa na matatizo.. am off
 
Back
Top Bottom