Ndoa ya Dkt. Mwaka yavunjika. Imemaliza upendo kabisa

Ndoa ya Dkt. Mwaka yavunjika. Imemaliza upendo kabisa

Wasukuma wanamatukio ya hatari. Kama unataka kuoa msukuma jiulize mara mbili mbili.

1. Harmo Kalizwa na msukuma
2. Haki Kalizwa na msukuma
3. Mwaka kalizwa na msukuma
4. Mkandamizaji msukuma wake kafanya matukio
5. Msukuma wa bagamoyo hajamzika mumewe kisa hataki maiti kwenye kiwanja chake

Wake wa kisukuma wamekuwa shida.
 
Wasukuma wanamatukio ya hatari. Kama unataka kuoa msukuma jiulize mara mbili mbili.

1. Harmo Kalizwa na msukuma
2. Haki Kalizwa na msukuma
3. Mwaka kalizwa na msukuma
4. Mkandamizaji msukuma wake kafanya matukio
5. Msukuma wa bagamoyo hajamzika mumewe kisa hataki maiti kwenye kiwanja chake

Wake wa kisukuma wamekuwa shida.
Kwa mavyakula yao ya kisukuma lazima ujue kukanyagia haswa kitu ambacho mla biriani hakiwezi.
 
Kuoa wanawake watatu Ina maana kila siku wewe lazima uninihii, Sasa hizi tambi wanazokula watu wa Dar changanya na uzee kwa mshika tatu mbili lazima zichomoke.
One down, two to go.
Alipowatawanyisha kuacha kulala nao kitanda kimoja ndipo tatizo lilipoanzia.

Alivyokuwa akilala nao wote ni rahisi kumpumzisha, maana jitihada zake za kila siku kitandani kila mmoja anakuwa anazielewa kwa kushuhudia, hakuna lawama.

Kila mmoja akiwa kwake, mwanaume hawezi kupumzishwa, hata kama amechoka ataonekana anafanya makusudi na anaegemea upande mmoja kule alikolala jana!
Nguvu za kufanya hayo maujinga ya kitandani kila siku haziwezi kuja kwa wanawake uliowazoea hata kama unakula chakula gani ama dawa gani.
Mkijenga mazoea ile muhu ya kufanyana kila siku inashuka na miaka ikizidi mwishowe mwanamke unamuona kama dada.

Labda kama ingelikuwa anabadilisha na kuleta "wapya" kila siku hapo angeweza kujikweza kitandani!
 
Alipowatawanyisha kuacha kulala nao kitanda kimoja ndipo tatizo lilipoanzia.

Alivyokuwa akilala nao wote ni rahisi kumpumzisha, maana jitihada zake za kila siku kitandani kila mmoja anakuwa anazielewa kwa kushuhudia, hakuna lawama.

Kila mmoja akiwa kwake, mwanaume hawezi kupumzishwa, hata kama amechoka ataonekana anafanya makusudi na anaegemea upande mmoja kule alikolala jana!
Nguvu za kufanya hayo maujinga ya kitandani kila siku haziwezi kuja kwa wanawake uliowazoea hata kama unakula chakula gani ama dawa gani.
Mkijenga mazoea ile muhu ya kufanyana kila siku inashuka na miaka ikizidi mwishowe mwanamke unamuona kama dada.

Labda kama ingelikuwa anabadilisha na kuleta "wapya" kila siku hapo angeweza kujikweza kitandani!
Nilipokua kijana wa fomfoo nilikua nadhani nikioa kila siku itakua Mara tatu. Baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 35, hicho kitu Ni Mara nne tu kwa mwezi japo tunapendana sana Tena Sana. Sasa na imagine ningekua na wake wawili?
Ndoa ya wake wawili au watatu asikudanganye MTU, lazima utachapiwa tu.
 
Muwe mna share mume halafu eti mnapendana Hadi kulala kitanda kimoja mume katikati... 😂😂😂😂
Mi nikajiuliza hii ni ndoa au big brother Africa.
... wanaitaga threesome. Wasema ni mojawapo ya style za kikubwa kwenye hayo mandoa mnaitaga. Pengine waliona inawafaa zaidi wewe ni nani uhoji mambo ya vyumbani mwa watu wazima wenye akili zao timamu?
 
Back
Top Bottom