Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
PhD au MD?Hivi Mwaka ni Doctor?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PhD au MD?Hivi Mwaka ni Doctor?
.Hao Bakwata wamepata wapi mamlaka ya kuvunja ndoa? Nachojua nchi hii Mahakama ndio inaweza kuvunja ndoa.
Sijui kama kuna chombo au taasisi nyingine inaweza kuvunja ndoa..
Najiuliza hao bakwata wametumia sheria au mamlaka gani kuvunja hiyo ndoa?
Nimekuja mbio nione tobo la mbingu lipo wapi. Au huko daslam mbingu ina viraka?Ndoa ivunjikapo hata mbingu upasuka.
Nadhani ni mtazamo na hulka ya mtu, mjomba angu ana wake 4.Usipende kulaumu wanawake kwa kila kitu, haya yeye Mwaka huwaoa na kuwajaza hapo kwa maslahi yake binafsi.
Hakuna kitu queen alifuata kwa Mwaka zaidi ya ndoa, Do your research.