Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Jan 27, 2023 #101 DATAZ said: Hivi Mwaka ni Doctor? Click to expand... PhD au MD?
MwakiIV Member Joined Aug 31, 2018 Posts 79 Reaction score 138 Jan 27, 2023 #103 Tujiulize kwa nini tunaoa/ olewa. Je sababu hiyo itadumu ama ya mpito. Tukipata haya majibu hatutashangwa na matokeo.
Tujiulize kwa nini tunaoa/ olewa. Je sababu hiyo itadumu ama ya mpito. Tukipata haya majibu hatutashangwa na matokeo.
Puncler JF-Expert Member Joined Jul 17, 2017 Posts 1,386 Reaction score 1,888 Jan 27, 2023 #104 Rollin riy said: Hao Bakwata wamepata wapi mamlaka ya kuvunja ndoa? Nachojua nchi hii Mahakama ndio inaweza kuvunja ndoa. Sijui kama kuna chombo au taasisi nyingine inaweza kuvunja ndoa.. Najiuliza hao bakwata wametumia sheria au mamlaka gani kuvunja hiyo ndoa? Click to expand... .
Rollin riy said: Hao Bakwata wamepata wapi mamlaka ya kuvunja ndoa? Nachojua nchi hii Mahakama ndio inaweza kuvunja ndoa. Sijui kama kuna chombo au taasisi nyingine inaweza kuvunja ndoa.. Najiuliza hao bakwata wametumia sheria au mamlaka gani kuvunja hiyo ndoa? Click to expand... .
M24 Headquarters-Kigali JF-Expert Member Joined Jul 9, 2012 Posts 8,199 Reaction score 8,186 Dec 30, 2024 #105 Pesa
Zabron Hamis JF-Expert Member Joined Dec 19, 2016 Posts 7,093 Reaction score 11,377 Jan 12, 2025 #106 MwakiIV said: Ndoa ivunjikapo hata mbingu upasuka. Click to expand... Nimekuja mbio nione tobo la mbingu lipo wapi. Au huko daslam mbingu ina viraka?
MwakiIV said: Ndoa ivunjikapo hata mbingu upasuka. Click to expand... Nimekuja mbio nione tobo la mbingu lipo wapi. Au huko daslam mbingu ina viraka?
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 31,913 Reaction score 65,514 Jan 13, 2025 #107 binti kiziwi said: Usipende kulaumu wanawake kwa kila kitu, haya yeye Mwaka huwaoa na kuwajaza hapo kwa maslahi yake binafsi. Hakuna kitu queen alifuata kwa Mwaka zaidi ya ndoa, Do your research. Click to expand... Nadhani ni mtazamo na hulka ya mtu, mjomba angu ana wake 4. Kaoa akiwa 18, wa pili 21 😂😘
binti kiziwi said: Usipende kulaumu wanawake kwa kila kitu, haya yeye Mwaka huwaoa na kuwajaza hapo kwa maslahi yake binafsi. Hakuna kitu queen alifuata kwa Mwaka zaidi ya ndoa, Do your research. Click to expand... Nadhani ni mtazamo na hulka ya mtu, mjomba angu ana wake 4. Kaoa akiwa 18, wa pili 21 😂😘