Ndoa ya Jacqueline Wolper yavunjika

Mtonyo sio sababu ya kuvunjika ndoa yao, Rich bado ana mambo mengi ujana mwingi anaruka sana.

Hata ukimsoma vizuri hapo Wolper, utaona kabisa anaongelea hilo mara nyingi.
Asingekua na mtonyo angeruka ruka na nini hata kumpata yeye ni sehemu ya kuruka ruka alidhani ataweza kumfuga kunguru mweusi kitu ambacho hakiwezekani wapo watu wakipata pesa ndio zinawaendesha waishi vip na wapo wengine pesa ndio wanaziendesha na muda mwingine anasahau kuwa ana mzigo huyu kwenye maisha atakua na furaha ya kweli kwenye familia yake..huyo Wolper muda wote kumtangaza mume wake mtandaoni wakati wapo majambazi zaidi yake unategemea nini..
 
China Huko ana kitembeza hatari
 
Niliona, mmenifurahisha sana.

Haya, niambie unataka kusemaje? Maana nyie watu ndio maana tunapenda muendelee kufungwa ndio kama hivi mkiinuka kidogo tu tayari mnapiga kelele.
Mbona umeniwahi mapema ?
Umefanya analysisi, hio timu inashida mahali sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…