Kim Porter ndio alikuwaga kipoozeo Cha jamaa akitibuliwa na akina Jenifer Lopez na Cassie anaenda kujidekeza kwa Kim Porter .
Yaani Kama mdoli wake
Na yule Kim hakuwaga na ishu za kumuingiizia mkwanja carrier yake ilifeli .
So akabaki kuwa kipoozeo Cha Diddy
Infact alikuwa anamuelewa Sana Diddy .
So Kim kadanja Diddy Hana tena kwa kujidekeza kwake mapenzj yakimzingua
Ndio maana unaona anampost Sana Kim eti anamiss
Anajiita Mr love
Sijui anamkula nani saivi labda mastripper au yule manager wake mzungu