Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Best states Kuna pisi Kali haziishiAfu cassie mzuri jamani
Yaan wanaume hawa
Kuna wazuri zaidi ya Cassie ndio hivyo Tena DIDDY nae Ni mzee wa chini sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Best states Kuna pisi Kali haziishiAfu cassie mzuri jamani
Yaan wanaume hawa
MKUU kimu sio billionaire anavipesa Tu vya kawaida ......lakini ye ni balaa sanaaaaaaaKanye nae Ni bilionaire na hata huyo Kim nae Ni bilionaire so hapo Kanye ndie ataumia zaidi
Unless huyo kims awe muungwana tu
Yaliisha didy aliwaalikaga wote kwenye birthday party yake na wakapeana mikono........Alisha kosana na jay z sizani kama bado wanaelewana.
$M.900 ni vipesa vya kawaida, lolMKUU kimu sio billionaire anavipesa Tu vya kawaida ......lakini ye ni balaa sanaaaaaaa
Unaanzaje ku introduce hilo swala kwa mwanamke wa kibongo, atakuuliza ina maana una mpango wa kuniacha au?😂😂😂Usiogope kuingia kwenye NDOA kama unazo Mali nyingi eti kisa tu unahofia utapoteza Mali zako ikitokea Migogoro na Talaka.
Cha msingi ni jifunze SHERIA ZA NDOA. Kabla ya kuingia kwenye ndoa.
Tafuta Wanasheria wa Masuala ya Ndoa...
Kisha wewe na mpenzi wako mkubaliane kuandaa kitu kinaitwa PRENUPTIAL AGREEMENT.
Wengi hawazingatii haya ya PRE-NUP AGREEMENT, sababu mapenzi mwanzo ni matamu na Kwa kawaida when you’re getting married, you can’t believe anything could go wrong. ila unfortunately, it often does.
PRENUPTIAL AGREEMENT (pre-nup) itakusaidia sana kukabiliana na unforseen circumstances which may rise during a divorce process.
A prenuptial agreement can help avoid much of the argument (migogoro) and litigation (kesi) which often comes with divorce or death of a spouse.
NB: kama huna mali nyingi basi huna haja ya Prenuptial Agreement.
Sababu ni jambo jema kugawana mali na mwanandoa ambaye umeanza naye maisha mkiwa wote Chini Kiuchumi na mkapanda Juu Kiuchumi mkiwa pamoja. (Started from the bottom, now we are here)
Karucee | Sky Eclat | mama D | Culture Me | witnessj | Malcolm X5 | babukijana | desayi | cocastic
Hahahahahah anayetoa hio kauli hajui japo hata million 100 tu inafananaje ikiwa kwenye account maana haijawahi kuwepo! 😂😂😂$M.900 ni vipesa vya kawaida, lol
Watanzania mna vitukoooooo
Angemvumilia awaulize kina card b mmewe malaya balaa
Huyo ni mdogo wake anaitwa Kyle ......aliwai kutoka na rappa mmoja anaitwa tiger ...........lakini sio Kim .........$M.900 ni vipesa vya kawaida, lol
Watanzania mna vitukoooooo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anajilipa. Na kweli ukimuambia tu anaanza kuhisi humpendi. Na atajiliza liza vilio vingi.Unaanzaje ku introduce hilo swala kwa mwanamke wa kibongo, atakuuliza ina maana una mpango wa kuniacha au?😂😂😂
Maana hapo mpaka kumuoa tu kashajifulisha sana nguo na kujipikilisha kwako. Na haamini kama ndio umemuoa
Unazidi kujiabisha bro,Huyo ni mdogo wake anaitwa Kyle ......aliwai kutoka na rappa mmoja anaitwa tiger ...........lakini sio Kim .........
Shasahau nakumbuka story za zamaniHuyo anazingua
Huyo mzee karudisha jezi kitambo kweli
Unazidi kujiabisha bro,
Ungekaa kimya tu.
1.Lamar Odom -unga/kufulia NBA
2.Bruce jenner-ushoga
3.Robert Kardashian -kifo
4.Ben Simmons-nyota kufifia NBA (siku hizi hata haeleweki)
5.Ray J-kapotea kimziki
6.Tyga-sijui anafanya Nini Sasa nyota imefifia
7.Travis Scott-ndio anapotea potea kwa mbaaali Sana.[emoji1]
8.Kris Humphries -hana hamu na kim ,akapotea mazima NBA
9.Scott Disick-kageuzwa chawa wa familia Hana carrier yoyote inayoeleweka zaidi ya kukesha na makamera.
10.Tristan Thompson -yupo yupo tu Ila sio kama zamani hata ule urafiki na LeBron umepungua .
11.Kanye west-uchizi umetamalaki
Hao no baadhi tu
The Kardashian kurse is real[emoji1]
Ni kweli maana uasi huanzia ndani 😂😂😂 !!! Kabla ya ndoa aah hamna mwanamke bora na wa mfano kama yeye!🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anajilipa. Na kweli ukimuambia tu anaanza kuhisi humpendi. Na atajiliza liza vilio vingi.
Tatizo mahusiano haya yamekuwa ni kama zile Car Parking Lots zilizoandikwa "PARK AT YOUR OWN RISK"
ila kama unazo mali nyingi (utajiri) basi ni vyema kabla ya ndoa uchukue mwanasheria na uandae PRENUPTIAL AGREEMENT.
Hii itakusaidia sana kufurahia ndoa bila kuwa na mashaka. Maana YAJAYO YANAWEZA YASIFURAHISHE.
akikataa Prenup Agreement basi unakuwa ushamjua ni wa kundi gani... So, Park at your own risk!Ni kweli maana uasi huanzia ndani 😂😂😂 !!! Kabla ya ndoa aah hamna mwanamke bora na wa mfano kama yeye!
Japo namiliki jaba 2 na kajiko ka mchina ila Pre-nup muhimu 😂akikataa Prenup Agreement basi unakuwa ushamjua ni wa kundi gani.
"Prenup Agreement" ipo kwa ajili ya kuwalinda wenye mali nyingi pale wanapotaka kuingia kwenye ndoa.
Kwenye Pre-nup Agreement yenu jitahidi kuandika kuwa Kama ikitokea siku mnaachana kwa talaka, wewe ndiye utakayebaki na majaba yote, ila yeye utampa asilimia 20% ya maji yote yatakayokuwa katika hayo majaba mawili, Lakini majaba yote yatabaki kwako.Japo namiliki jaba 2 na kajiko ka mchina ila Pre-nup muhimu 😂
Sawa kabisa kiongozi, atakabidhiwa utambi na mfuniko wa jaba tuKwenye Pre-nup Agreement yenu jitahidi kuandika kuwa wewe utabaki na majaba yote, ila yeye utampa asilimia 20% ya maji yote yatakayokuwa katika hayo majaba mawili, Lakini majaba yote yatabaki kwako.
Pia hiko Kijiko cha Mchina, andika wewe utabaki na Jiko Lako ila yeye utampa utambi mmoja na asilimia 12% mafuta yatakayokuwepo jikoni kama ikitokea siku mnaachana kwa kutalikiana (talaka).
Ila Kanye nae anapendaga mademu fyatu fyatu [emoji1787][emoji1787]Kanye aliambiwa. “ you cant turn a ho into a wife”