Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

Katika viumbe wa kuwa nao makini ni wanawake.
Yule wa Jeff's alimlia time mumewe Kisha kaopoa mabilioni ya dollar kwa kinachoitwa talaka. Mke kawa billionaire na mumewe wamempiku.

Kwa sasa hakuna kinachomfurahisha mwanamke Kama kuolewa na mwenye hela maana anajua lazima atoke na mzigo mzito Kama ndoa itaishia kwenye talaka.
Usiogope kuingia kwenye NDOA kama unazo Mali nyingi eti kisa tu unahofia utapoteza Mali zako ikitokea Migogoro na Talaka.


Cha msingi ni jifunze SHERIA ZA NDOA. Kabla ya kuingia kwenye ndoa.
Tafuta Wanasheria wa Masuala ya Ndoa...
Kisha wewe na mpenzi wako mkubaliane kuandaa kitu kinaitwa PRENUPTIAL AGREEMENT.

Prenuptial Agreement ipo kwa ajili ya kumlinda mtu mwenye mali nyingi dhidi ya matapeli wa ndoa ambao wanaoingia kwenye ndoa sababu ya tamaa ya mali, huku wakiwaza kwamba ndoa ikivunjika watapata mali.

PRENUPTIAL AGREEMENT (pre-nup) itakusaidia sana kukabiliana na unforseen circumstances which may rise during a divorce process.

Wengi hawazingatii haya ya PRE-NUP AGREEMENT, sababu mapenzi mwanzo ni matamu na Kwa kawaida when you’re getting married, you can’t believe anything could go wrong. ila unfortunately, it often does.


A prenuptial agreement can help avoid much of the argument (migogoro) and litigation (kesi) which often comes with divorce or death of a spouse.

NB: ila kama hauna mali nyingi basi hauna haja ya Prenuptial Agreement.


Sababu ni jambo jema sana kugawana mali na mwanandoa ambaye umeanza naye maisha mkiwa wote Chini Kiuchumi na mkapanda Juu Kiuchumi mkiwa pamoja. (Started from the bottom, now we are here)



Karucee | Sky Eclat | mama D | Culture Me | witnessj | Malcolm X5 | Mazigazi | babukijana | desayi | cocastic
 
Black celebrity huwa wanaambiwa wasioe Hawa watasha huwa hawaelewi wanashoboka na rangi

Kuna yule docta Johnson huwa anawachamba Sana hao black celebrity .

Haya sasa kanye anaenda kuachana na huyo pornstar wa zamani

Arudi kwa Kaka yake jayz tunataka mangoma mengine ya "the throne "
Alisha kosana na jay z sizani kama bado wanaelewana.
 
Absolutely, mimi pia binafsi sioni shida kugawana mali na mwanandoa ambaye nimeanza naye from the scratch, kipindi nikiwa chokambaya.

Tena kama tuna watoto na tumedumu kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 15+ plus, hapo ndiyo kabisaaa naweza kumpa hata 65% na mie nikabaki na 35% tu.
Umelewa?
 
Hahahah kweli kabisa Kanye namuonaga ana wazimu tu
Jamaa hamnazo huyo ukimix na matatizo yake ya bipolar disorder ndo kabisa anakuwa hizi. Ila sisi watu wa Afrika tuna roho ya paka, mimi kuna magonjwa ya akili nayasikiaka kwa wenzetu yananishangaza full kuwaona wataalam wa saikolojia sisi mtu unazaliwa mpaka unakufa hata hospitali ulikuwa unaenda ukikaribia kukata roho kwa malaria kali sana.
 
Black celebrity huwa wanaambiwa wasioe Hawa watasha huwa hawaelewi wanashoboka na rangi

Kuna yule docta Johnson huwa anawachamba Sana hao black celebrity .

Haya sasa kanye anaenda kuachana na huyo pornstar wa zamani

Arudi kwa Kaka yake jayz tunataka mangoma mengine ya "the throne "
Blacks kuoa hao watasha mbona siyo tatizo.


Divorce za kukomba mali huwa zinatokea hata kwa ndoa za wazungu kwa wazungu... Mfano ndoa ya mwanamuziki Adele. Adele yeye ndiye aliyeamriwa na mahakama kumlipa mumewe mamilioni ya pounds (£) baada ya divorce yao.


Hivyo kuoa watasha siyo tatizo, Tatizo ni kwamba watu wenye Mali nyingi wanapuuzia kujilinda Kisheria kwa PRENUPTIAL AGREEMENT.

Na Prenuptial Agreement huwa inatakiwa mnasaini kabla ya kufunga ndoa. Na siyo lazma kusaini. Na wengi hupuzia hii sababu Ndoa inapoanza ni ngumu kudhani itakuja kutokea kushindwana na kupeana Talaka.
 
Wekeni na hizo zenu tuone.
20210109_145418.jpg
 
Twin kwa mwanaume mwehu kama Kanye acha Kim ashindwe, hata beyonce angeshindwa Kim kajitahidi sana
Mmmh twin humjui Bey kwenye suala zima la ndoa! Yule dada anapenda ndoa kupitiliza!

Tena sasa bora hata Kanye kawa na 'a mere mentally disorder" but sio malaya!

Hov hachagui K yule kichaa twende, malaya choka mbaya twende, washona vyerehani yumoo....yaan ni mchafuu, lile hogoo ndani ya zipu limeficha mengi

NB

Hayo nimemnukuu Solo sijawahi hata kumuona huyo jigga[emoji848]
 
Back
Top Bottom