Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

Kanye amzidi Jay Z?Unaota
Dr Dre ndo kapagawa akifikiria mpunga atakaolamba aliokua mkewe hao wote Kanye wamemuacha parefu tu.
Kanye Ni bilionaire kijana fuatilia taarifa za Forbes

Dill zake za Yeez brand na Adidas zilimpa mkwanja wa manaa Sana Forbes wenyewe wamekubali so usimchukllie poa
 
Ndoa ni Obama na Michelle tu nyingine zote ni kuishi kwa kuvumiliana tu.
[emoji1][emoji1]
FB_IMG_1610112464840.jpg
 
Alafu Ajabu ile kideo yake ipo mpaka Leo kule pornin,
Mapenzi haya,kashindwa mpaka na zari,yake haipo siku hizi,
Watu wana Moyo sana
Ile ndio iliongeza fame ya hio familia Yao .

Mama yake Kim Ni shangingi la muda mrefu .

Watoto wake wote wanafata humo humo anapopita maza Yao

Maza alikuwa na chepuka na mastaa enzi hizo wakati mzee kadarshian Ni underground lawyer kabla ya case ya OJ Simpson .

Halafu wanapenda mablack Sana.
 
Ndg yangu huyu lusekelo 50 cent alipooana ngoma inaenda sipo akaenda na kibajaji mahakamani na kuandika muflisi mwanamke akaambiwa jamaa muflisi tufanyeje.
Jamaa yuko kitaa anakula bata tu mpk leo[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila 50 mjanja Sana

Hahahahah alikuwaga pia chawa wa Mayweather
 
Maisha siku hizi kuviziana tu,huna chapaa utaleta msongo wa Mawazo tu ndani,
Ukiwa nazo?,jua utaliwa tu,angalia tiger woods mpaka Leo kapotea,
Mahustler hawa jayz pekee ndio mjanja,and cos he’s respected na jamii yote ya blacks,
Maisha Bila pesa ni uongo,na uncle magu ndio anatupeleka huko kwa kasiiii...
Tiger Hana hamu na ndoa Tena [emoji1]

Saivi anachapa tu na utajiri wako umerudi kule kule juu .

Jigga wanasema Ni kitombi wa kimya kimya anakulaga mastripper wa club,na Kuna yule alikuwa manager wa cloth wear yake alikuwa anachepukana nae ,Kama unakumbuka Kuna ile incedent alilabwa vibao na solange Knowles kwenye lift .

Sema Beyonce anampenda Sana jayz maana jamaa kamtoa mbali ,jigga kaanza kumla bey tangu akiwa na Miaka 18 [emoji1]

Hao mastaa huwa namkubali diddy tu jamaa hanaga time na Mambo ya ndoa .

Anakaa wee na mademu anapa Bata zote na kuzalisha wakichoka wanakimbia wenyewe [emoji1]
 
Ile ndio iliongeza fame ya hio familia Yao .

Mama yake Kim Ni shangingi la muda mrefu .

Watoto wake wote wanafata humo humo anapopita maza Yao

Maza alikuwa na chepuka na mastaa enzi hizo wakati mzee kadarshian Ni underground lawyer kabla ya case ya OJ Simpson .

Halafu wanapenda mablack Sana.
Huyo mzee ndio amekuwa mwanamke siku hizi?
 
Kanye Ni bilionaire kijana fuatilia taarifa za Forbes

Dill zake za Yeez brand na Adidas zilimpa mkwanja wa manaa Sana Forbes wenyewe wamekubali so usimchukllie poa
Hamfikie Jize na 50 kasome tena, hata Snoopy ana mkwanja mrefu saana na watoto wake wako parefu saana ila na mkewe wako poa tu jamaa yuko hotelini na deal zake wife nyumbani,huko Hotel ni mibangi tu ila jamaa anampenda mkewe mpk basi.
 
Duh! Shetani kajibu maombi yake; ameanzia kwenye ndoa. Mwisho wa siku ataitaka roho ya Kanye baada ya kumdhoofisha kila idara. Shetani noma sana.
Ila haya mambo mbona hayamkuti jigga chief wa lucifer
 
Ndg yangu huyu lusekelo 50 cent alipooana ngoma inaenda sipo akaenda na kibajaji mahakamani na kuandika muflisi mwanamke akaambiwa jamaa muflisi tufanyeje.
Jamaa yuko kitaa anakula bata tu mpk leo[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivooo??[emoji28][emoji28][emoji1787]
 
Tiger alipigwa pesa ndeeefu na Mswede,Koffi Annan pia mpk karudi kwao, Jayz kamiliki pale ,Kanye iilikua show off tu mwepesi sana.Ndo nimekwambia bro Dre kapigwa za uso juzi mpk leo kalazwa akifkiria investment yote aliyofanya demu anataka dola mil 2 + jamaa kapata heart attack .
Hivi koffi annan ilikuwaje?
 
Tiger Hana hamu na ndoa Tena [emoji1]

Saivi anachapa tu na utajiri wako umerudi kule kule juu .

Jigga wanasema Ni kitombi wa kimya kimya anakulaga mastripper wa club,na Kuna yule alikuwa manager wa cloth wear yake alikuwa anachepukana nae ,Kama unakumbuka Kuna ile incedent alilabwa vibao na solange Knowles kwenye lift .

Sema Beyonce anampenda Sana jayz maana jamaa kamtoa mbali ,jigga kaanza kumla bey tangu akiwa na Miaka 18 [emoji1]

Hao mastaa huwa namkubali diddy tu jamaa hanaga time na Mambo ya ndoa .

Anakaa wee na mademu anapa Bata zote na kuzalisha wakichoka wanakimbia wenyewe [emoji1]
[emoji28][emoji28][emoji1787]

Jiggaa anahonga balaa, mademu zake anawapa magorofa na mabentley...sema kitombi sana jamaa[emoji848]

Cassandra Ventura ' Cassie' ndo alitumika asee kwa Diddy, lile jamaa janja sana
 
Back
Top Bottom