Papaa007
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 1,103
- 1,737
Ma nigga si wana viherehere vya kumiliki ngozi nyeupe wacha wanyookeWazungu wanaolewa na ma nigga kutafuta hela tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma nigga si wana viherehere vya kumiliki ngozi nyeupe wacha wanyookeWazungu wanaolewa na ma nigga kutafuta hela tu
Kanye Ni bilionaire kijana fuatilia taarifa za ForbesKanye amzidi Jay Z?Unaota
Dr Dre ndo kapagawa akifikiria mpunga atakaolamba aliokua mkewe hao wote Kanye wamemuacha parefu tu.
[emoji1][emoji1]Ndoa ni Obama na Michelle tu nyingine zote ni kuishi kwa kuvumiliana tu.
Ile ndio iliongeza fame ya hio familia Yao .Alafu Ajabu ile kideo yake ipo mpaka Leo kule pornin,
Mapenzi haya,kashindwa mpaka na zari,yake haipo siku hizi,
Watu wana Moyo sana
Ila 50 mjanja SanaNdg yangu huyu lusekelo 50 cent alipooana ngoma inaenda sipo akaenda na kibajaji mahakamani na kuandika muflisi mwanamke akaambiwa jamaa muflisi tufanyeje.
Jamaa yuko kitaa anakula bata tu mpk leo[emoji23][emoji23][emoji23]
Tiger Hana hamu na ndoa Tena [emoji1]Maisha siku hizi kuviziana tu,huna chapaa utaleta msongo wa Mawazo tu ndani,
Ukiwa nazo?,jua utaliwa tu,angalia tiger woods mpaka Leo kapotea,
Mahustler hawa jayz pekee ndio mjanja,and cos he’s respected na jamii yote ya blacks,
Maisha Bila pesa ni uongo,na uncle magu ndio anatupeleka huko kwa kasiiii...
Kumbe zari mcheza x?Alafu Ajabu ile kideo yake ipo mpaka Leo kule pornin,
Mapenzi haya,kashindwa mpaka na zari,yake haipo siku hizi,
Watu wana Moyo sana
Mkuu Kanye Ni geniusNilikuwa nashanga huyo dada anawezaje kuishi na huyo mwehu maana Kanye ni mwehu tu sema mwehu mwenye pesa yake
Huyo mzee ndio amekuwa mwanamke siku hizi?Ile ndio iliongeza fame ya hio familia Yao .
Mama yake Kim Ni shangingi la muda mrefu .
Watoto wake wote wanafata humo humo anapopita maza Yao
Maza alikuwa na chepuka na mastaa enzi hizo wakati mzee kadarshian Ni underground lawyer kabla ya case ya OJ Simpson .
Halafu wanapenda mablack Sana.
Hamfikie Jize na 50 kasome tena, hata Snoopy ana mkwanja mrefu saana na watoto wake wako parefu saana ila na mkewe wako poa tu jamaa yuko hotelini na deal zake wife nyumbani,huko Hotel ni mibangi tu ila jamaa anampenda mkewe mpk basi.Kanye Ni bilionaire kijana fuatilia taarifa za Forbes
Dill zake za Yeez brand na Adidas zilimpa mkwanja wa manaa Sana Forbes wenyewe wamekubali so usimchukllie poa
Sio Kim tu ile familia nzima ni nomaKim ana mikosi sana aisee.
Ila haya mambo mbona hayamkuti jigga chief wa luciferDuh! Shetani kajibu maombi yake; ameanzia kwenye ndoa. Mwisho wa siku ataitaka roho ya Kanye baada ya kumdhoofisha kila idara. Shetani noma sana.
Alishamwambia Mayweather una hela?weka hapa mezani then tukupe helaIla 50 mjanja Sana
Hahahahah alikuwaga pia chawa wa Mayweather
Yuko hospital huko sijui brain tumor daah wanawake sisi[emoji848]Dr Dre huko nae anapumulia machine,mkewe kalamba kila kitu tayari
Ni clone ya KimKwan yule waliesema amekufa akiongeza makalio alikuwa ni Nani?[emoji849]
Hivooo??[emoji28][emoji28][emoji1787]Ndg yangu huyu lusekelo 50 cent alipooana ngoma inaenda sipo akaenda na kibajaji mahakamani na kuandika muflisi mwanamke akaambiwa jamaa muflisi tufanyeje.
Jamaa yuko kitaa anakula bata tu mpk leo[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi koffi annan ilikuwaje?Tiger alipigwa pesa ndeeefu na Mswede,Koffi Annan pia mpk karudi kwao, Jayz kamiliki pale ,Kanye iilikua show off tu mwepesi sana.Ndo nimekwambia bro Dre kapigwa za uso juzi mpk leo kalazwa akifkiria investment yote aliyofanya demu anataka dola mil 2 + jamaa kapata heart attack .
Why amekuwa mwehu?Nilikuwa nashanga huyo dada anawezaje kuishi na huyo mwehu maana Kanye ni mwehu tu sema mwehu mwenye pesa yake
[emoji28][emoji28][emoji1787]Tiger Hana hamu na ndoa Tena [emoji1]
Saivi anachapa tu na utajiri wako umerudi kule kule juu .
Jigga wanasema Ni kitombi wa kimya kimya anakulaga mastripper wa club,na Kuna yule alikuwa manager wa cloth wear yake alikuwa anachepukana nae ,Kama unakumbuka Kuna ile incedent alilabwa vibao na solange Knowles kwenye lift .
Sema Beyonce anampenda Sana jayz maana jamaa kamtoa mbali ,jigga kaanza kumla bey tangu akiwa na Miaka 18 [emoji1]
Hao mastaa huwa namkubali diddy tu jamaa hanaga time na Mambo ya ndoa .
Anakaa wee na mademu anapa Bata zote na kuzalisha wakichoka wanakimbia wenyewe [emoji1]
No mume wake Kris jenner ( mama wa akina Kim) ni Robert kardashian famous lawyer kaishadanjaHuyo mzee ndio amekuwa mwanamke siku hizi?