Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

Yaani Daahh acha tu rafiki yangu .. tatizo binaadamu hatutabiriki always niwepesi wakubadilishwa na mazingira pamoja na watu wapya tunaokutana nao ... Kwakweli usiwe na expectations zozote kubwa toka kwa binaadamu mwenzio itakuja iku cost na utapatwa na kichaa bure
Kwakweli.
 
Katika viumbe wa kuwa nao makini ni wanawake.
Yule wa Jeff's alimlia time mumewe Kisha kaopoa mabilioni ya dollar kwa kinachoitwa talaka. Mke kawa billionaire na mumewe wamempiku.

Kwa sasa hakuna kinachomfurahisha mwanamke Kama kuolewa na mwenye hela maana anajua lazima atoke na mzigo mzito Kama ndoa itaishia kwenye talaka.
Kanye nae Ni bilionaire na hata huyo Kim nae Ni bilionaire so hapo Kanye ndie ataumia zaidi

Unless huyo kims awe muungwana tu
 
Black celebrity huwa wanaambiwa wasioe Hawa watasha huwa hawaelewi wanashoboka na rangi

Kuna yule docta Johnson huwa anawachamba Sana hao black celebrity .

Haya sasa kanye anaenda kuachana na huyo pornstar wa zamani

Arudi kwa Kaka yake jayz tunataka mangoma mengine ya "the throne "
 
Black celebrity huwa wanaambiwa wasioe Hawa watasha huwa hawaelewi wanashoboka na rangi

Kuna yule docta Johnson huwa anawachamba Sana hao black celebrity .

Haya sasa kanye anaenda kuachana na huyo pornstar wa zamani

Arudi kwa Kaka yake jayz tunataka mangoma mengine ya "the throne "
Alafu Ajabu ile kideo yake ipo mpaka Leo kule pornin,
Mapenzi haya,kashindwa mpaka na zari,yake haipo siku hizi,
Watu wana Moyo sana
 
Ndg yangu huyu lusekelo 50 cent alipooana ngoma inaenda sipo akaenda na kibajaji mahakamani na kuandika muflisi mwanamke akaambiwa jamaa muflisi tufanyeje.
Jamaa yuko kitaa anakula bata tu mpk leo😂😂😂
 
Ndg yangu huyu lusekelo 50 cent alipooana ngoma inaenda sipo akaenda na kibajaji mahakamani na kuandika muflisi mwanamke akaambiwa jamaa muflisi tufanyeje.
Jamaa yuko kitaa anakula bata tu mpk leo😂😂😂
Maisha siku hizi kuviziana tu,huna chapaa utaleta msongo wa Mawazo tu ndani,
Ukiwa nazo?,jua utaliwa tu,angalia tiger woods mpaka Leo kapotea,
Mahustler hawa jayz pekee ndio mjanja,and cos he’s respected na jamii yote ya blacks,
Maisha Bila pesa ni uongo,na uncle magu ndio anatupeleka huko kwa kasiiii...
 
Maisha siku hizi kuviziana tu,huna chapaa utaleta msongo wa Mawazo tu ndani,
Ukiwa nazo?,jua utaliwa tu,angalia tiger woods mpaka Leo kapotea,
Mahustler hawa jayz pekee ndio mjanja,and cos he’s respected na jamii yote ya blacks,
Maisha Bila pesa ni uongo,na uncle magu ndio anatupeleka huko kwa kasiiii...
Tiger alipigwa pesa ndeeefu na Mswede,Koffi Annan pia mpk karudi kwao, Jayz kamiliki pale ,Kanye iilikua show off tu mwepesi sana.Ndo nimekwambia bro Dre kapigwa za uso juzi mpk leo kalazwa akifkiria investment yote aliyofanya demu anataka dola mil 2 + jamaa kapata heart attack .
 
To be fair, it is impossible to live with someone who is suffering severe mental illnesses,
Kim really deserve and honorary award for that, lol,

And i feel sorry for Kanye too, this is going to hit his pocket very hard, 50% OMG!
 
Tiger alipigwa pesa ndeeefu na Mswede,Koffi Annan pia mpk karudi kwao, Jayz kamiliki pale ,Kanye iilikua show off tu mwepesi sana.Ndo nimekwambia bro Dre kapigwa za uso juzi mpk leo kalazwa akifkiria investment yote aliyofanya demu anataka dola mil 2 + jamaa kapata heart attack .
$2mil ni spousal support kwa mwezi mkuu,
Kuna mengi yanakuja baada ya hiyo,
 
Back
Top Bottom