Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

Ila Kanye nae anapendaga mademu fyatu fyatu [emoji1787][emoji1787]

Kabla ya Kim si alikuaga Ana mcharaza Amber rose .

Mwanaharakati wa Slut [emoji1]
Amber limetulia sana lile dada hata sikudhania...sasa hivi linalea second kid
 
Atakuwa ana contract na kardashian series zile ila daah...si angetafuta kazi sehemu nyingine
Nani anataka kufanya kazi na chawa [emoji1]wale ndio wanammudu

Kuna siku nilikuwa nacheki kipindi Chao akakatiza mtaani na makamerra yao akatoa mzee mmoja mzungu akamwambia "you are a trash" jamaa akapinic mbaya
 
Atakuwa ana contract na kardashian series zile ila daah...si angetafuta kazi sehemu nyingine
Yes watakuwa wanamlipa
Na wanashoot season ya mwisho
Sijui itakuwaje au atapata contract kwenye makeup na lipstick 😂😂😂
Wanampenda nadhani kwaajili ya watoto wale alozaa na dada yao maana naonaga wanamtreat vizuri kuna kipindi hadi walimpeleka rehab
 
Yes watakuwa wanamlipa
Na wanashoot season ya mwisho
Sijui itakuwaje au atapata contract kwenye makeup na lipstick [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanampenda nadhani kwaajili ya watoto wale alozaa na dada yao maana naonaga wanamtreat vizuri kuna kipindi hadi walimpeleka rehab
Rehab?
Alikuwa anabwia unga kama Lamar Odom?
 
Nani anataka kufanya kazi na chawa [emoji1]wale ndio wanammudu

Kuna siku nilikuwa nacheki kipindi Chao akakatiza mtaani na makamerra yao akatoa mzee mmoja mzungu akamwambia "you are a trash" jamaa akapinic mbaya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]hahaaa
 
Kim Porter ndio alikuwaga kipoozeo Cha jamaa akitibuliwa na akina Jenifer Lopez na Cassie anaenda kujidekeza kwa Kim Porter .

Yaani Kama mdoli wake

Na yule Kim hakuwaga na ishu za kumuingiizia mkwanja carrier yake ilifeli .

So akabaki kuwa kipoozeo Cha Diddy

Infact alikuwa anamuelewa Sana Diddy .

So Kim kadanja Diddy Hana tena kwa kujidekeza kwake mapenzj yakimzingua

Ndio maana unaona anampost Sana Kim eti anamiss
Anajiita Mr love

Sijui anamkula nani saivi labda mastripper au yule manager wake mzungu
Hahaahaahaa

Yule B. Sure sijui mshua wake Quincy ( yule mtoto wa kim porter wa kwanza) anasema kim kauliwa[emoji134]

Sasa sijui kweli, ila Diddy mafia, ukiongelea mambo ya kulipeleka mahakamani sijui udai nini fyokofyoko, linakuondoa bila kuacha blemish
 
Back
Top Bottom