Amber limetulia sana lile dada hata sikudhania...sasa hivi linalea second kidIla Kanye nae anapendaga mademu fyatu fyatu [emoji1787][emoji1787]
Kabla ya Kim si alikuaga Ana mcharaza Amber rose .
Mwanaharakati wa Slut [emoji1]
Yule chawa tu wa Ile familia .Lakin scott nae ana vipindi vyake pia naona ana pesa tu pia
Amber mibangi yule demu sema liko sexyAmber limetulia sana lile dada hata sikudhania...sasa hivi linalea second kid
Hana hela,kabaki kunusa tu ushuzi wa KIMHana?
Kurse=CurseInaitwa the Kardashian kurse[emoji1][emoji1]
Nani anataka kufanya kazi na chawa [emoji1]wale ndio wanammuduAtakuwa ana contract na kardashian series zile ila daah...si angetafuta kazi sehemu nyingine
Aah yule dada ni mfia ndoa...haaachiki mtuBeyonce ni mbongo yule [emoji23][emoji23][emoji23]
Haachiki
Ndio wenyewe wanavyopenda Wana maneno yaoKurse=Curse
yupo kapunwa katulia yupo kwao ila bado yupo nae mkewe waghana wastaarabu sana
😂😂😂😂Na akimpost tumablacks wanamchamba balaaa kinoma!
Upendo wake wa kimagumashi[emoji848]
Yes watakuwa wanamlipaAtakuwa ana contract na kardashian series zile ila daah...si angetafuta kazi sehemu nyingine
Lakin anaishi vizuri ana bonge la mjengoYule chawa tu wa Ile familia .
Hivyo vipindi huwa wanavikatisha coz havina.views nyingi huko E!
Yeah Ana mjengo mzuri iLakin anaishi vizuri ana bonge la mjengo
Ooooh ok ok[emoji848][emoji848]Ndio wenyewe wanavyopenda Wana maneno yao
Mfano eti Christmas wanaita khristmas
Rehab?Yes watakuwa wanamlipa
Na wanashoot season ya mwisho
Sijui itakuwaje au atapata contract kwenye makeup na lipstick [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanampenda nadhani kwaajili ya watoto wale alozaa na dada yao maana naonaga wanamtreat vizuri kuna kipindi hadi walimpeleka rehab
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]hahaaaNani anataka kufanya kazi na chawa [emoji1]wale ndio wanammudu
Kuna siku nilikuwa nacheki kipindi Chao akakatiza mtaani na makamerra yao akatoa mzee mmoja mzungu akamwambia "you are a trash" jamaa akapinic mbaya
Kyle anauza mikorogo ana hela chafuKim Yuko vzuri kuliko wote ile ya kyle sijui biashara kuwa bilion ilikuwa uongo Forbe walikanusha
HahaahaahaaKim Porter ndio alikuwaga kipoozeo Cha jamaa akitibuliwa na akina Jenifer Lopez na Cassie anaenda kujidekeza kwa Kim Porter .
Yaani Kama mdoli wake
Na yule Kim hakuwaga na ishu za kumuingiizia mkwanja carrier yake ilifeli .
So akabaki kuwa kipoozeo Cha Diddy
Infact alikuwa anamuelewa Sana Diddy .
So Kim kadanja Diddy Hana tena kwa kujidekeza kwake mapenzj yakimzingua
Ndio maana unaona anampost Sana Kim eti anamiss
Anajiita Mr love
Sijui anamkula nani saivi labda mastripper au yule manager wake mzungu
Huyo Ray J hata ndoa imemshindaRay j saiivi atakuwa matopeni huko mziki ulishamkaaga[emoji1]
Mmmh unaona hizo mimba anavyozibeba,full kubemendaAfu cassie mzuri jamani
Yaan wanaume hawa