Mastaa wengi weusi huko USA wanapoteana sababu ya wanawake wa kizungu.Kanye nae Ni bilionaire na hata huyo Kim nae Ni bilionaire so hapo Kanye ndie ataumia zaidi
Unless huyo kims awe muungwana tu
Mpka hapo shetani kasjindwa kumsaidia[emoji23]Very sad. Kanye si alijiunga na dini ya shetani? Amuombe shetani amsaidie kwenye kipindi hiki kigumu
Ukisoma hizi comment.....
Utadhani wote hunu mnaishi marekani
Hizo story tu,
Kuna kina 50 Cent huku lecheminduroi,kuna Snoop Dogg hawa hawapendi show off ila wana mkwanja mnene sana huyo Kanye Akanye.
Wameinvest na bado wanapiga kazi, sio hip hop tu.wako kila idara, nguo u-Dj, producers, comedians live talkshow, weekend party usiseme. Lakini mademu ni kubumba na kula kona hamna ile tuko pamoja wanajua sio yake ndo mana sa hii wanamcheka tu Kanye,Will Smith nae mpaka akaambiwa live na mkewe ninagongwa na huyu dogo 26 kitambo tu akachill,Dre Ndo kabisaa talaka hii hapa sign akazima
nikajua marehemu.kafufuka, okayJoselyn Cano aka yake ndo ilikuwa hiyo ya Kim K.
Model Joselyn Cano, aka Mexican Kim Kardashian, dies after botched butt-lift surgery
As per New York Post, the report of her death was broken on Twitter by fellow model Lira Mercer on December 16. She wrote, βOmg Joselyn Cano died in Colombia getting surgery. Thatβs wild.βzeenews.india.com
Tuko Los Angeles ya msambweni Tanga[emoji1]Ukisoma hizi comment.....
Utadhani wote hunu mnaishi marekani
Alimkula nani
Tuko Los Angeles ya msambweni Tanga[emoji1]
Her family ni very manipulative inaonekana hata kwenye kpnd chao utawaona tu wana weza mtawala mwanaume kabsaaa
Vipi ndoa ya TrumpNdoa ni Obama na Michelle tu nyingine zote ni kuishi kwa kuvumiliana tu.
Ndiyo ipo.Hivi katika sheria za Bongo kuna prenup pia?
Ukisoma hizi comment.....
Utadhani wote hunu mnaishi marekani
Definitely, for sure watu wanavyocomment yaani kama vile wanafahamiana na hao celebrities wa USA.Utadhan tunaishi mtaa mmoja na kina kim [emoji23][emoji23][emoji23]
Twin kwa mwanaume mwehu kama Kanye acha Kim ashindwe, hata beyonce angeshindwa Kim kajitahidi sana
Kimdolishia beyonce kumeisha
Alidhani ndoa mchezo[emoji57][emoji57]
Mwenzie ana roho ngumu kama jiwe
Aah yule dada ni mfia ndoa...haaachiki mtu
Beyonce ni mbongo yule [emoji23][emoji23][emoji23]
Haachiki
πππMmmh twin humjui Bey kwenye suala zima la ndoa! Yule dada anapenda ndoa kupitiliza!
Tena sasa bora hata Kanye kawa na 'a mere mentally disorder" but sio malaya!
Hov hachagui K yule kichaa twende, malaya choka mbaya twende, washona vyerehani yumoo....yaan ni mchafuu, lile hogoo ndani ya zipu limeficha mengi
NB
Hayo nimemnukuu Solo sijawahi hata kumuona huyo jigga[emoji848]
Hapo kwa language, me sijaelewa, niliishia la 4 BUsiogope kuingia kwenye NDOA kama unazo Mali nyingi eti kisa tu unahofia utapoteza Mali zako ikitokea Migogoro na Talaka.
Cha msingi ni jifunze SHERIA ZA NDOA. Kabla ya kuingia kwenye ndoa.
Tafuta Wanasheria wa Masuala ya Ndoa...
Kisha wewe na mpenzi wako mkubaliane kuandaa kitu kinaitwa PRENUPTIAL AGREEMENT.
Wengi hawazingatii haya ya PRE-NUP AGREEMENT, sababu mapenzi mwanzo ni matamu na Kwa kawaida when youβre getting married, you canβt believe anything could go wrong. ila unfortunately, it often does.
PRENUPTIAL AGREEMENT (pre-nup) itakusaidia sana kukabiliana na unforseen circumstances which may rise during a divorce process.
A prenuptial agreement can help avoid much of the argument (migogoro) and litigation (kesi) which often comes with divorce or death of a spouse.
NB: kama hauna mali nyingi basi hauna haja ya Prenuptial Agreement.
Sababu ni jambo jema kugawana mali na mwanandoa ambaye umeanza naye maisha mkiwa wote Chini Kiuchumi na mkapanda Juu Kiuchumi mkiwa pamoja. (Started from the bottom, now we are here)
Karucee | Sky Eclat | mama D | Culture Me | witnessj | Malcolm X5 | babukijana | desayi | cocastic
Bey wala hana moyo wa kumvumilia Hov kwa uchafu wake.Mmmh twin humjui Bey kwenye suala zima la ndoa! Yule dada anapenda ndoa kupitiliza!
Tena sasa bora hata Kanye kawa na 'a mere mentally disorder" but sio malaya!
Hov hachagui K yule kichaa twende, malaya choka mbaya twende, washona vyerehani yumoo....yaan ni mchafuu, lile hogoo ndani ya zipu limeficha mengi
NB
Hayo nimemnukuu Solo sijawahi hata kumuona huyo jigga[emoji848]
Vipi baeeh, [emoji7][emoji7][emoji7]Unazidi kujiabisha bro,
Ungekaa kimya tu.
Vipi baeeh, [emoji7][emoji7][emoji7]Unazidi kujiabisha bro,
Ungekaa kimya tu.
Hahahahaha wewe ni mwehu Yaan umenifanya nimecheka balaaaDefinitely, for sure watu wanavyocomment yaani kama vile wanafahamiana na hao celebrities wa USA.
Hususani comments zenu Wakuu witnessj na Dinazarde, Comments zenu bana πππ Yaani mnawachamba akina Beyonce, Kanye, Jay Z na Kardashians yaani kama vile mko nao jirani na mnaishi mtaa mmoja.
πππ
Wape ushauri bana najua wewe umejawa na hekima + mke bora [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwisho wa mapenzi ni maumivu kweli. Maumivu kwa watoto wao, kwao wenyewe na kwa wapendwa wao..... ila heri kupeana nafasi kuliko kuishi kwa kuigiza na kuumizana