Kwakweli.Yaani Daahh acha tu rafiki yangu .. tatizo binaadamu hatutabiriki always niwepesi wakubadilishwa na mazingira pamoja na watu wapya tunaokutana nao ... Kwakweli usiwe na expectations zozote kubwa toka kwa binaadamu mwenzio itakuja iku cost na utapatwa na kichaa bure
Ni kutaka kitu kibaya kisipite karibu nawe(kikupitie mbali)Temea mate chini; huu msemo nimeusikiasikia. Una maana gani na asili yake ni nini?
[emoji120]Kwakweli.
Long overdue.Hii imezidi mda ambao ulitegemewa Ku last.
Wengi walijua haitafika miaka 10
Kumbe imezidi miaka 10
Hivo visu vitakua havina madhara maana watakua wanaigiza kuchomana na pia hata damu zitaigiza kutoka hazitotoka ile ndindindiMkiishi kwa kuigiza mnaweza kuchomana visu bure.
Kanye nae Ni bilionaire na hata huyo Kim nae Ni bilionaire so hapo Kanye ndie ataumia zaidiKatika viumbe wa kuwa nao makini ni wanawake.
Yule wa Jeff's alimlia time mumewe Kisha kaopoa mabilioni ya dollar kwa kinachoitwa talaka. Mke kawa billionaire na mumewe wamempiku.
Kwa sasa hakuna kinachomfurahisha mwanamke Kama kuolewa na mwenye hela maana anajua lazima atoke na mzigo mzito Kama ndoa itaishia kwenye talaka.
Wakristo wa Africa tu ndy hawaachani huko mbele they don't give a damn. Babu Wenger mwenyewe alipiga mzigo chiniSio wakristo hao?
Maana huwa hawaruhusiwi kuachana hata kama ndoa ni kajehanamu kadogo duniani
Kanye amzidi Jay Z?UnaotaDah! kanye ni billionare mjue...anamzidi jayZ huyo...kwahyo wakigawana Kim anapiga pesa kinoma
Kardashian mzungu toka wapi huyo mwenzetu tu katoka Spain au hapo Brazil wote wa Angola hao tunawatafuna kila siku, Kanye kashoboka sana anaenda pigwa mawe ya kufa mtu wakati hata watoto walipandikizwa.Wazungu wanaolewa na ma nigga kutafuta hela tu
Alafu Ajabu ile kideo yake ipo mpaka Leo kule pornin,Black celebrity huwa wanaambiwa wasioe Hawa watasha huwa hawaelewi wanashoboka na rangi
Kuna yule docta Johnson huwa anawachamba Sana hao black celebrity .
Haya sasa kanye anaenda kuachana na huyo pornstar wa zamani
Arudi kwa Kaka yake jayz tunataka mangoma mengine ya "the throne "
Maisha siku hizi kuviziana tu,huna chapaa utaleta msongo wa Mawazo tu ndani,Ndg yangu huyu lusekelo 50 cent alipooana ngoma inaenda sipo akaenda na kibajaji mahakamani na kuandika muflisi mwanamke akaambiwa jamaa muflisi tufanyeje.
Jamaa yuko kitaa anakula bata tu mpk leo😂😂😂
Tiger alipigwa pesa ndeeefu na Mswede,Koffi Annan pia mpk karudi kwao, Jayz kamiliki pale ,Kanye iilikua show off tu mwepesi sana.Ndo nimekwambia bro Dre kapigwa za uso juzi mpk leo kalazwa akifkiria investment yote aliyofanya demu anataka dola mil 2 + jamaa kapata heart attack .Maisha siku hizi kuviziana tu,huna chapaa utaleta msongo wa Mawazo tu ndani,
Ukiwa nazo?,jua utaliwa tu,angalia tiger woods mpaka Leo kapotea,
Mahustler hawa jayz pekee ndio mjanja,and cos he’s respected na jamii yote ya blacks,
Maisha Bila pesa ni uongo,na uncle magu ndio anatupeleka huko kwa kasiiii...
$2mil ni spousal support kwa mwezi mkuu,Tiger alipigwa pesa ndeeefu na Mswede,Koffi Annan pia mpk karudi kwao, Jayz kamiliki pale ,Kanye iilikua show off tu mwepesi sana.Ndo nimekwambia bro Dre kapigwa za uso juzi mpk leo kalazwa akifkiria investment yote aliyofanya demu anataka dola mil 2 + jamaa kapata heart attack .
Najua, sasa ndo hapo ataelewana na Kardashian na watamset vizuri tu$2mil ni spousal support kwa mwezi mkuu,
Kuna mengi yanakuja baada ya hiyo,
Kwan yule waliesema amekufa akiongeza makalio alikuwa ni Nani?[emoji849]