stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Mambo ya ndoa ni siri ya wanandoa mkuu,usione mapicha picha yakakuchanganya hujui ya ndani,kuna watu wanajua kuigiza...Ndoa ni Obama na Michelle tu nyingine zote ni kuishi kwa kuvumiliana tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya ndoa ni siri ya wanandoa mkuu,usione mapicha picha yakakuchanganya hujui ya ndani,kuna watu wanajua kuigiza...Ndoa ni Obama na Michelle tu nyingine zote ni kuishi kwa kuvumiliana tu.
Temea mate chini,hakuna ndoa iliyokosa kuvumilianaNdoa ni Obama na Michelle tu nyingine zote ni kuishi kwa kuvumiliana tu.
Uko sawa. Haiwezekani wengi wa hawa ma celebrity wasione mwingine yeyoye wa kuwaoa zaidi ya ma celeb wenzao!! Kwa hiyo strategy from day one ni kutumia ndoa kukuza brand zao, kuzaa then kila mtu na time yake!! Hata ile ya Will Smith kwa sasa sidhani kama ni ndoa!!Hii imezidi mda ambao ulitegemewa Ku last.
Wengi walijua haitafika miaka 10
Kumbe imezidi miaka 10
Hata wewe na Bamndenyi?Ndoa ni Obama na Michelle tu nyingine zote ni kuishi kwa kuvumiliana tu.
watamfanya nini ?Kanye West itamkosti Sana. Kardashians hawatamuacha salama
Watamfilisiwatamfanya nini ?
Sijui kwanini huwa inakuwaga hivi .. mapenzi Ni ufala Sana [emoji3]Mwisho wa mapenzi ni maumivu kweli. Maumivu kwa watoto wao, kwao wenyewe na kwa wapendwa wao..... ila heri kupeana nafasi kuliko kuishi kwa kuigiza na kuumizana
Mapenzi yanajengwa na yanaboreshwa kila siku kwa matendo ya upendo na shukrani zaidi ili kuongeza thamani yake na ubora.Sijui kwanini huwa inakuwaga hivi .. mapenzi Ni ufala Sana [emoji3]
Hehehe watu ambao Ni very decent huwa tunajitahidi kuwa na utu upendo dhahiriMapenzi yanajengwa na yanaboreshwa kila siku kwa matendo ya upendo na shukrani zaidi ili kuongeza thamani yake na ubora.
Msingi wa mapenzi unapokua kwenye vitu, wapenzi watatumiana ili kupata hivyo vitu vinavyowavutia na sio upendo wa wanandoa. Kidogokidogo kila mmoja anakua mpweke ndani ya mahusiano mapenzi yanakua ya muda mfupi tuu
Eti ee😂😂😂😂Hehehe watu ambao Ni very decent huwa tunajitahidi kuwa na utu upendo dhahiri
Lakini hayanaga formula haya dada yangu [emoji3][emoji3]
Ohoooo shauri yako ... Tuishi tu rafiki yangu hii dunia sio yetuEti ee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa, ila mapenzi buana. Unaweza kuwa unampenda mwenzio 100% halafu yeye akawa ameshaku kinai 100%🙌🙌🙌Ohoooo shauri yako ... Tuishi tu rafiki yangu hii dunia sio yetu
Sio wakristo hao?Ni afadhali kupeana nafasi mambo yakishindikana.
Yaani Daahh acha tu rafiki yangu .. tatizo binaadamu hatutabiriki always niwepesi wakubadilishwa na mazingira pamoja na watu wapya tunaokutana nao ... Kwakweli usiwe na expectations zozote kubwa toka kwa binaadamu mwenzio itakuja iku cost na utapatwa na kichaa bureKabisa, ila mapenzi buana. Unaweza kuwa unampenda mwenzio 100% halafu yeye akawa ameshaku kinai 100%[emoji119][emoji119][emoji119]
Usipoikubali hali utawakilisha Ile usemi wa "mapenzi ni maua tena yanaua"