Una kauzoefu. Mungu akubariki.Awe bandia asiwe bandia ye ndo amekaa na yule mzee wakat hawez hata kujitawaza
Kama mngekuwa na uchungu mngeolewa nyie
Unajua wakat mwingine tuthamin watu wanaokaa na wazee wetu kwenye siku zao za mwisho hamjui wanapitia magumu kias gan
Sisi wazee mnatunyanyapaa mno.basi tu
🧐🧐
Ndugu yangu.Hahah!
Niliweka hiyo comment kudadisi mleta mada kwamba kama kweli huyo mama kweli aliolewa hapo awali, iweje aweke umri mdogo hivyo ambao ni rahisi kabisa kugundulika...
Isijekuwa kuna watu wanampikia zengwe
Mchafu asichafuliwe wakati keshachafuka!! Huyo ni muhalifu jeshi la Polisi limshughulikie, kama matapeli wengine, mgao aende kwa mumewe Fredrick Mushi aliyekula naye kiapo kanisani hadi kifo kiwatenganishe.Doreen asichafuliwe. Apewe haki zake kama mke/mjane halali wa Mrema. K yake imetumiwa na Mrema hivyo ni shururuti apate mgawo wa mali za Mrema
Acheni uwongo na uzushi jamani. Ndoa ya Mrema ilikuwa ya siri na Biharusi aliingia kanisani kwa kujificha kwa kuvaa miwani ya giza. Hakuna aliyejua marehemu anamuoa nani mpaka baada ya ndoa kufungwa ndiyo bi harusi akajulikana, kabla ya hapo hakukuwa na chombo cha habari wala mtandao hata mmoja uliojua bi harusi ni nani haswa, watu walibaki kuzusha tu mara Neema Swai wa CBE mara Bi Halima wa Dar mara wakaokota picha za Mnyarwanda, all in all mume original wa Doreen alijua au hakujua wanasheria wanasema jinai haifi huwezi kuua mtu mwaka juzi usikamatwe ukadhani kosa limefutika. Huyo Doreen ni tapeli na ashughulikiwe kama matapeli wengine.Ndoa ya Doreen mbona ilikuwa ya public kila mtu aliijua. Na pia mara kadhaa alikuwa akihojiwa na mahojiano yake yaliwekwa wazi mitandaoni.
Sasa huyo mume wake alikuwa wapi siku zote mpaka ajitokeze leo baada ya Mrema kufariki?
Acha uwongo ndoa ilitangazwa kila mahali wapi. Hakuna hata chombo kimoja cha habari kilijua Marehemu Babu Mrema anamuoa nani mpaka baada ya kutoka kanisani! hadi wakawa wanazusha mara mwanachuo CBE Neema Swai, mara Halima mara mnyarwanda.Ndoa imetangazwa kila mahali na picha ya Doreen zimewekwa wazi. Huyo Fredrick alishindwa nini kwenda Mahakamani kumdai huyo unaesema alikuwa mke wake? Kwa nini hakwenda hata kwenye kanisa walikofungia ndoa na kuwaambia kuwa huyo waliyemfungisha ndoa alikuwa mke wake? Mtu amekufa ndio mnaleta za kuleta.
Na unaonekana una chuki binafsi na huyu Doreen. Tangu lini umesikia mali ya marehemu anarithi mke ambae alimuacha au aliishafariki? Mali zote za marehemu alizokuta Doreen ni haki yake pamoja na watoto wote wa marehemu. Mngekuwa mnampenda sana marehemu mngemshauri waingie na mkataba wa prenup na Doreen kabla ya ndoa. Au aandike kabisa will yake mapema.
Kwa hivi ilivyo imekula kwenu. Na msipoangalia mtafunguliwa mashtaka ya kumchafua Doreen.
Amandla...
Umeandika upuuzi mtupu. Anyway kila mtu ana stahili yake ya kufunga ndoa. Kuna mtu anapenda akifunga ndoa amwalike kila mtu aidha kwa ajili ya kupata michango au kujinyanyua ili ionekane kuwa harusi yake ilikuwa babkubwa kwa kuhudhuriwa na watu wengi nk.Acheni uwongo na uzushi jamani. Ndoa ya Mrema ilikuwa ya siri na Biharusi aliingia kanisani kwa kujificha kwa kuvaa miwani ya giza. Hakuna aliyejua marehemu anamuoa nani mpaka baada ya ndoa kufungwa ndiyo bi harusi akajulikana, kabla ya hapo hakukuwa na chombo cha habari wala mtandao hata mmoja uliojua bi harusi ni nani haswa, watu walibaki kuzusha tu mara Neema Swai wa CBE mara Bi Halima wa Dar mara wakaokota picha za Mnyarwanda, all in all mume original wa Doreen alijua au hakujua wanasheria wanasema jinai haifi huwezi kuua mtu mwaka juzi usikamatwe ukadhani kosa limefutika. Huyo Doreen ni tapeli na ashughulikiwe kama matapeli wengine.
Sasa wewe ndio unaongea pumba zenye PHD. Rai Mwema waliongea na huyo mume wake na akakubali kuwa Doreen bado ni mke wake. Tafuta hiyo nakala.Umeandika upuuzi mtupu. Anyway kila mtu ana stahili yake ya kufunga ndoa. Kuna mtu anapenda akifunga ndoa amwalike kila mtu aidha kwa ajili ya kupata michango au kujinyanyua ili ionekane kuwa harusi yake ilikuwa babkubwa kwa kuhudhuriwa na watu wengi nk.
Kuna mungine haswa hawa watu wazima ambao walikuwa washafunga ndoa hapo kabla, wengi wao huwa hawapendi ndoa za mbwembwe kutokana na umri lkn pia haoni sababu ya kila mtu kumtangazia ndoa ilihali ndoa yake ya kwanza na ya ujana ilifana sana.
Tuje kwa Mrema na mkewe, anyway inawezekana ndoa yake ilikuwa ya siri kama unavyosema lkn je Mrema alipoanza kuzunguka na mkewe kwenda Dodoma kuonana na mh raisi huyo mumewe hakumuona? Mrema alipoenda kula honeymoon na mkewe huko mbugani mikumi na sehem nyingine za nchi mumewe hakumuona? Waandishi mbali mbali wa habari walipokuwa wanamtembelea Mrema na mkewe na sometimes kukutana nae na kumhoji maeneo mbali mbali ya nchi mumewe hakumuona?
Mimi simjui Doreen na pia nipo nje ya Tanzania, lkn taarifa zote napata, iweje yeye mumewe akose taarifa za mkewe hadi baada ya mumewe (Mrema) kufariki?
Hapa kuna mchezo umepangwa lkn kwa bahati nzuri wengi wetu tunauelewa mpana wa maswala hayo ndo maana imekuwa ngumu kutumezesha propaganda zenu.
Waliongea nae lini baada ya kufa au kabla ya kufa Mrema? Na kwanini mume ndo alingoja Raia Mwema waongee nae?Sasa wewe ndio unaongea pumba zenye PHD. Rai Mwema waliongea na huyo mume wake na akakubali kuwa Doreen bado ni mke wake. Tafuta hiyo nakala.
Swali la msingi kujiuliza Doreen ni kweli aliolewa au hakuolewa. naskia kesi inafunguliwa. Mahakama itachekecha pumba zote za mitandaoni.
So tulia kidogo na porojo zako
Una uhakika kama alikuwa anamsafisha sijui kumuogesha?Awe bandia asiwe bandia ye ndo amekaa na yule mzee wakat hawez hata kujitawaza
Kama mngekuwa na uchungu mngeolewa nyie
Unajua wakat mwingine tuthamin watu wanaokaa na wazee wetu kwenye siku zao za mwisho hamjui wanapitia magumu kias gan
Hivi huelewi kwamba Doreen hakutumia jina Lake la kweli kwenye kutangaza na kufunga ndoa na Mrema?Waliongea nae lini baada ya kufa au kabla ya kufa Mrema? Na kwanini mume ndo alingoja Raia Mwema waongee nae?
Na je kwanini alikimbilia Raia Mwema na sio kwenda kutoa taarifa katika mamlaka husika ya kanisa, mahakama nk?
Wenye mamlaka ya kujua kuwa ndoa ya huyo Doreen ni halali au sio halali ni hao watu wa magazeti au viongozi wa kanisa, mahakama nk?
Je katika dunia ya leo wewe bado unayaamini magazeti kwa 100%?
Kama viongozi wakubwa duniani kama vile Trump, Biden nk huwa hawaamini haya mambo ya wanahabari vipi wewe uyaamini kwa kiasi hicho?
Je kama ni tukio la kupangwa kupitia gazeti wewe utajuaje?
Ninachojua ndoa ya kikristo ina viongozi wake ambao wao ndio wenye uwezo wa kujua kuwa ndoa ya fulani ni ya halali au sio ya halali, swala la kukimbilia kulalamikia swala hili magazetini badala ya kanisani linaonesha ni jinsi gani mpango huu umesukwa maalum kwa lengo maalum.
Sheria ya wapi hii ndugu?Ndoa yeyeto inakufa pale mmoja akiamua kumuacha mwenzake na kuamua kusajiliwa upande wa pili, haijalishi hata kama talaka haijatolewa.
Yani Kwa mujibu wa sheria za ndoa za Tanzania huyu Doreen haha aende wapi, ndoa yake na mrema ni batili, na hatapata chochote anachotegemea. Kama hakuachiwa na mrema kitu mkononi ndo imekula kwake mazima.Hivi huelewi kwamba Doreen hakutumia jina Lake la kweli kwenye kutangaza na kufunga ndoa na Mrema?
Doreen ametumia jina la uongo (fake) ambalo ni Doris Mkandala.
Mtaani na kwa mume wake wa kwanza alijita Doreen Kimba.
Magereza na uhamiaji alijiita Doreen Mkandala.
Unawekaje pingamizi kwenye majina fake?
Ndugu, marafiki na jamaa walijuaje Doreen wanayemjua anaolewa? Tumia akili bwana
Na wewe utafikiri Katika hiyo miezi 4 aliyokaa na Mrema familia na watu wa karibu hawakuwa wanachunguza ukweli wa tuhuma zilizojitokeza ya huyu dada kuwa na ndoa zingine?
Mkuu nakuhakikishia kama Doreen hjupewa talaka na mumewe wa mwanzo ndoa yake na mrema ni batili. Hata afanyeje hatapewa urithu wowote wa bwana mrema, labda kama alikabidhiwa mkononi fedha ama alinunuliwa kitu Kwa jina lake. Hiyo ni haijalishi kama alimwosha ama kumlisha mgonjwa, alipaswa awe na talaka ya ndoa yake ya mwanzo. Na huyu Doreen kama alikuwa kimada wa mrema tangu zaman akapewa nafasi huko magereza na uhamiaji, akamtesa mumewe na mama mrema Kwa umalaya wake na tamaa Sasa haya ndo malipo yakeWaliongea nae lini baada ya kufa au kabla ya kufa Mrema? Na kwanini mume ndo alingoja Raia Mwema waongee nae?
Na je kwanini alikimbilia Raia Mwema na sio kwenda kutoa taarifa katika mamlaka husika ya kanisa, mahakama nk?
Wenye mamlaka ya kujua kuwa ndoa ya huyo Doreen ni halali au sio halali ni hao watu wa magazeti au viongozi wa kanisa, mahakama nk?
Je katika dunia ya leo wewe bado unayaamini magazeti kwa 100%?
Kama viongozi wakubwa duniani kama vile Trump, Biden nk huwa hawaamini haya mambo ya wanahabari vipi wewe uyaamini kwa kiasi hicho?
Je kama ni tukio la kupangwa kupitia gazeti wewe utajuaje?
Ninachojua ndoa ya kikristo ina viongozi wake ambao wao ndio wenye uwezo wa kujua kuwa ndoa ya fulani ni ya halali au sio ya halali, swala la kukimbilia kulalamikia swala hili magazetini badala ya kanisani linaonesha ni jinsi gani mpango huu umesukwa maalum kwa lengo maalum.
Ndugu unapoanza kubishana na mimi katika mambo kama haya, naomba uwe na fact za kueleweka, sio longo longo za maandishi matupu ambayo mtu yeyote anaweza kuyaandika.Hivi huelewi kwamba Doreen hakutumia jina Lake la kweli kwenye kutangaza na kufunga ndoa na Mrema?
Doreen ametumia jina la uongo (fake) ambalo ni Doris Mkandala.
Mtaani na kwa mume wake wa kwanza alijita Doreen Kimba.
Magereza na uhamiaji alijiita Doreen Mkandala.
Unawekaje pingamizi kwenye majina fake?
Ndugu, marafiki na jamaa walijuaje Doreen wanayemjua anaolewa? Tumia akili bwana
Na wewe utafikiri Katika hiyo miezi 4 aliyokaa na Mrema familia na watu wa karibu hawakuwa wanachunguza ukweli wa tuhuma zilizojitokeza ya huyu dada kuwa na ndoa zingine?
Ndugu unapoanza kubishana na mimi katika mambo kama haya, naomba uwe na fact za kueleweka, sio longo longo za maandishi matupu ambayo mtu yeyote anaweza kuyaandika.
Umesema katika ndoa yake na hayati Mrema alitumia jina la "Doris mkandala" badala ya jina lake halisi la Doreen Kimbi? Huu ni uongo ambao hauna maana. Doreen katika ndoa yake na Mrema alitumia majina hayo hayo halisi ya Doreen Kimbi na sio Doris Mkandala kama unavyojaribu kunilisha matango pori mjanja mimi (nakuwekea video hapo usikilize kwa makini jina alilotambulishwa na mtangazaji aliekuwepo kwenye ndoa)
Lkn kingine humu kuna video mbali mbali za kuthibitisha jinsi Doreen alipokuwa akifunga ndoa na hayati Mrema. Leta sasa na wewe kithibitisho cha kuonesha Doreen akifunga ndoa na huyo unaesema kuwa ni mumewe, japo hata picha 1 tu wakiwa kanisani.