Mkuu harusi yao ilifana, MC kalipwa pesa kibao, Sendoff na mizawadi kibao
Ndoa imefungwa ROMAN CATHOLIC, lakini yote tisa iko chali!!!
NAKAZIA HAPA.Na huyo rafiki yako ndio wewe.
Unaweza kukuta tatizo lao ni kwamba usiku jamaa anajamba sana ufuzi wa kuvunda.aisee ninelia sana
There's no vaccine against stupidity.Rafiki yangu ni mfanya biashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.
KILA MTU HAELEZI TATIZO
wasuluhishi wameshindwa kwani kila mtu haongei tatizo ni nini, mwanamke hana nia ya kurudi tena na kaenda kwao!!
Kama watu Hawa hawapendani je waliwezaje kudumu kwa miaka 8?Je kataa ndoa wana point tuwasikilize 😀?
Tusubiri msajili wa vyama ajeaisee ninelia sana
Jamaa kibamia hadindishi mpaka apepewe na GAZETI.Labda jamaa anakisukari nn??!
Ndoa ndoano.Rafiki yangu ni mfanya biashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.
KILA MTU HAELEZI TATIZO
wasuluhishi wameshindwa kwani kila mtu haongei tatizo ni nini, mwanamke hana nia ya kurudi tena na kaenda kwao!!
Kama watu Hawa hawapendani je waliwezaje kudumu kwa miaka 8?Je kataa ndoa wana point tuwasikilize 😀?