macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Una maana walikuwa wanaishi wote bila kufunga ndoa, au walikuwa marafiki na kila mtu anaishi kwao?Kama lipi mkuu, na waliwezaje kudumu miaka 8?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana walikuwa wanaishi wote bila kufunga ndoa, au walikuwa marafiki na kila mtu anaishi kwao?Kama lipi mkuu, na waliwezaje kudumu miaka 8?
Utashambuliwa na ma-feministKwenye ndoa ni mahusiano ya lazima. Huyu ni mke wangu, nimemuoa. Nimemtolea mahari. Nimemnunua. Hili jiko langu.
Mhh jamaa wa kariakoo wengi wana siri nzito sana, wachache wanakubali kufanya biashara kwa akili na ujanja wanaishia kukubali shortcut ya uchawi na kuroga ambapo price yake huwa ni mambo yanayoaibisha utu wako. Kuna baba na mtoto pale kkoo ilikua ni mpaka wapigane paipu ndo biashara zinaenda.Rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.
KILA MTU HAELEZI TATIZO
Wasuluhishi wameshindwa kwani kila mtu haongei tatizo ni nini, mwanamke hana nia ya kurudi tena na kaenda kwao!!
Kama watu hawa hawapendani, Je waliwezaje kudumu kwa miaka 8?Je kataa ndoa wana point tuwasikilize 😀?
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 phaller sanakuchanganyachanganya mbele na nyuma, nyumba mbela, mbele nyuma, nyuma mbele, wakimwagia mabao mazitomazito.
Job true true ndio hii sasaNina story inataka kufanana na yako. Bonge la harusi, bonge la ukumbi, bonge la promo, mapichapicha, bonge la honeymoon, mc wa kiwango, bibi harusi ni mzuri sana pisikali mweupe ana shepu namba 8 ya tako kubwa anawaka kweli kweli.
Ndoa waliachana kabla ya mwaka, Ila chanzo cha kuachana ndani ya muda mfupi kilijulikana baadae, ni kuwa. Kuna watu walimtumia bwana harusi sextape mbalimbali za bibi harusi kwenye dm ya Instagram ya bwana harusi (watu walimtag kwenye comments kwenye page ya MC). Video za miamba mbalimbali ikimpiga bonge la pipe "bibi harusi", tena kwa kuchanganyachanganya mbele na nyuma, nyumba mbela, mbele nyuma, nyuma mbele, wakimwagia mabao mazitomazito.
Kumbe yule bibi harusi, alikuwa type ya semibitch. Yaani alikuwa ni mdangaji wa chini kwa chini, Indirect Dangaring. Kumbe wateja walikuwa wanamrecord yeye bila kujua akiwa amelewa.
Ndoa iliyeyuka kabla la mwaka.
Hii kama nilishawahi kuisikia kitambo kidogoNina story inataka kufanana na yako. Bonge la harusi, bonge la ukumbi, bonge la promo, mapichapicha, bonge la honeymoon, mc wa kiwango, bibi harusi ni mzuri sana pisikali mweupe ana shepu namba 8 ya tako kubwa anawaka kweli kweli.
Ndoa waliachana kabla ya mwaka, Ila chanzo cha kuachana ndani ya muda mfupi kilijulikana baadae, ni kuwa. Kuna watu walimtumia bwana harusi sextape mbalimbali za bibi harusi kwenye dm ya Instagram ya bwana harusi (watu walimtag kwenye comments kwenye page ya MC). Video za miamba mbalimbali ikimpiga bonge la pipe "bibi harusi", tena kwa kuchanganyachanganya mbele na nyuma, nyumba mbela, mbele nyuma, nyuma mbele, wakimwagia mabao mazitomazito.
Kumbe yule bibi harusi, alikuwa type ya semibitch. Yaani alikuwa ni mdangaji wa chini kwa chini, Indirect Dangaring. Kumbe wateja walikuwa wanamrecord yeye bila kujua akiwa amelewa.
Ndoa iliyeyuka kabla la mwaka.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nina story inataka kufanana na yako. Bonge la harusi, bonge la ukumbi, bonge la promo, mapichapicha, bonge la honeymoon, mc wa kiwango, bibi harusi ni mzuri sana pisikali mweupe ana shepu namba 8 ya tako kubwa anawaka kweli kweli.
Ndoa waliachana kabla ya mwaka, Ila chanzo cha kuachana ndani ya muda mfupi kilijulikana baadae, ni kuwa. Kuna watu walimtumia bwana harusi sextape mbalimbali za bibi harusi kwenye dm ya Instagram ya bwana harusi (watu walimtag kwenye comments kwenye page ya MC). Video za miamba mbalimbali ikimpiga bonge la pipe "bibi harusi", tena kwa kuchanganyachanganya mbele na nyuma, nyuma mbele, mbele nyuma, nyuma mbele, wakimmwagia maBAO mazitomazito.
Kumbe yule bibi harusi, alikuwa type ya semibitch. Yaani alikuwa ni mdangaji wa chini kwa chini, Indirect Dangaring. Kumbe wateja walikuwa wanamrecord yeye bila kujua akiwa amelewa.
Ndoa iliyeyuka kabla la mwaka.
Actually, I was making a feminist point, so "feminist" atakayenishambulia atakuwa haelewi feminism.Utashambuliwa na ma-feminist
Hizi story zipo nyingi sana siku hizi. Ila huwa zinazimwazimwa. Hasa wanawake ambao wanajihusisha na Indirect Dangaring, watu wanakuwa na videos zao wakiwapelekea moto. Kisha wanamtumia dm bwanaharusi. Unashamgaa harusi inayeyuka ghafla bin Vuu bila sababu ya kueleweka.Hii kama nilishawahi kuisikia kitambo kidogo
Hatari mno.😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 phaller sana
Dangaring 😂😂🙈Nina story inataka kufanana na yako. Bonge la harusi, bonge la ukumbi, bonge la promo, mapichapicha, bonge la honeymoon, mc wa kiwango, bibi harusi ni mzuri sana pisikali mweupe ana shepu namba 8 ya tako kubwa anawaka kweli kweli.
Ndoa waliachana kabla ya mwaka, Ila chanzo cha kuachana ndani ya muda mfupi kilijulikana baadae, ni kuwa. Kuna watu walimtumia bwana harusi sextape mbalimbali za bibi harusi kwenye dm ya Instagram ya bwana harusi (watu walimtag kwenye comments kwenye page ya MC). Video za miamba mbalimbali ikimpiga bonge la pipe "bibi harusi", tena kwa kuchanganyachanganya mbele na nyuma, nyuma mbele, mbele nyuma, nyuma mbele, wakimmwagia maBAO mazitomazito.
Kumbe yule bibi harusi, alikuwa type ya semibitch. Yaani alikuwa ni mdangaji wa chini kwa chini, Indirect Dangaring. Kumbe wateja walikuwa wanamrecord yeye bila kujua akiwa amelewa.
Ndoa iliyeyuka kabla la mwaka.
Job true true pro maxJob true true ndio hii sasa
Unapenda sana kudinya kinyeo we phukari.😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 phaller sana
Indirect DangaringDangaring 😂😂🙈
Kizuri cha mabaharia huwa tuko real.Video za miamba mbalimbali ikimpiga bonge la pipe "bibi harusi", tena kwa kuchanganyachanganya mbele na nyuma, nyumba mbela, mbele nyuma, nyuma mbele, wakimwagia mabao mazitomazito.
Rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.
hahaha, hapana nimecheka alipokazia izo mbele nyuma, nyuma mbeleUnapenda sana kudinya kinyeo we phukari.