Ndoa ya rafiki yangu imedumu miezi miwili tu! -kweli ndoa ni mtihani?

Ndoa ya rafiki yangu imedumu miezi miwili tu! -kweli ndoa ni mtihani?

Rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.

KILA MTU HAELEZI TATIZO
Wasuluhishi wameshindwa kwani kila mtu haongei tatizo ni nini, mwanamke hana nia ya kurudi tena na kaenda kwao!!

Kama watu hawa hawapendani, Je waliwezaje kudumu kwa miaka 8?Je kataa ndoa wana point tuwasikilize 😀?

Binafsi nishaona mahusiano mengi mazuri. Watu wanapendana kweli kweli ila wakifunga ndoa tu kanisani. Wanabadilika.

Nina ndoa ya jamaa yangu ilidumu miezi minne tu..huku mahusiano miaka kibao na watoto wamezaa wawili. Ila ndoa tu ilivyofungwa wakaachana
 
Binafsi nishaona mahusiano mengi mazuri. Watu wanapendana kweli kweli ila wakifunga ndoa tu kanisani. Wanabadilika.

Nina ndoa ya jamaa yangu ilidumu miezi minne tu..huku mahusiano miaka kibao na watoto wamezaa wawili. Ila ndoa tu ilivyofungwa wakaachana
Mwanamke wa kikristo ukifungana nae TU ndoa akapata cheti anageuka kuwa mwanaume mwenzio kwa maana utii unatoweka.
Thus unaweza ishi nae Kwa amani kwa uchumba sugu.
Pili harusi zina mengi waswahili utupia Yao kupitia zawadi
 
Mhh jamaa wa kariakoo wengi wana siri nzito sana, wachache wanakubali kufanya biashara kwa akili na ujanja wanaishia kukubali shortcut ya uchawi na kuroga ambapo price yake huwa ni mambo yanayoaibisha utu wako. Kuna baba na mtoto pale kkoo ilikua ni mpaka wapigane paipu ndo biashara zinaenda.

Labda mke kajua siri nzito za jamaa sababu ndo si mnakaa karibu zaidi kuliko uchumba, au jamaa aliropoka siri yake.
Chanzo cha hao vijana miaka ya nyuma sana walikuwa na mchezo wa kurecord mademu wakifanya nao then wanauza hizo video kweny blog kubwa na mitandao ya porno...Ilikuwa moja hapa bongo ikafungiwa ilikuwa blog kubwa sana.

Watu wanauza mpake nje ila wanaona wazungu tu .Hii michezo ipo sana na biashara wanafanya hawa madon wanavuta pesa ndefu demu akipewa laki 6 anafanyiwa ujinga bila kujijua.
 
Mhh jamaa wa kariakoo wengi wana siri nzito sana, wachache wanakubali kufanya biashara kwa akili na ujanja wanaishia kukubali shortcut ya uchawi na kuroga ambapo price yake huwa ni mambo yanayoaibisha utu wako. Kuna baba na mtoto pale kkoo ilikua ni mpaka wapigane paipu ndo biashara zinaenda.

Labda mke kajua siri nzito za jamaa sababu ndo si mnakaa karibu zaidi kuliko uchumba, au jamaa aliropoka siri yake.
Duuh pesa ngumu sana.
 
Rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.

KILA MTU HAELEZI TATIZO
Wasuluhishi wameshindwa kwani kila mtu haongei tatizo ni nini, mwanamke hana nia ya kurudi tena na kaenda kwao!!

Kama watu hawa hawapendani, Je waliwezaje kudumu kwa miaka 8?Je kataa ndoa wana point tuwasikilize 😀?
Mwamba ameshitukia bidada ana katabia kamjini ka kulegezwa mikunjo ya 0713
 
Sijakuelewa hapo mwisho uligundua nini
Kwa nje alikuwa humble na hofu ya Mungu ila kwa ndani alikuwa jeuri sana.

Kwa nje alionekana mtu wa watu kumbe 95 ya hao watu walikuwa wanaume. Wanaweza kumpigia simu hata saa 8 usiku.

Kwa nje nilikuwa namuona simu ipo busy na simu za kazi, kwa ndani niligundua alikuwa na list ya washikaji kwa hiyo simu inakuwa busy ili kuimarisha kampani.

Kwa nje alionekana singo maza aliyekata mawasiliano na mzazi mwenzie, kwa ndani niligundua wanawasiliana mara kwa mara.

Kwa uchache sana. Mwanamke mlazimishe kujua mambo yake ya ndani sana, itakusaidia kufanya maamuzi
 
Back
Top Bottom