hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,616
- 1,282
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmepata airtime.....Tunaendelea kusisitiza tena na tena NDOA NI UTAPELI, KATAA NDOA
Limeng'oka daraja kwa mafuriko itakuwa ndoa tena ya wafanyabiashara kkoo.Sometime si ndoa tu hata kazi biashara, majengo hudondoka..
Hivyo Haina haja ya kubeza.
Tatizo lipo kwa mwanamke,wanawake hawagandishi.Ingekuwa tatizo lipo kwa mume,angekuwa karopoka kitamboTrust me.
Tatizo lipo kwa mwanaume hapo.
Mwanaume atakuwa ni shoga aka mchicha mwiba.
Ndoa za dizaini hiyo zinaishiaga hivyo,kimya kimya kwa kufichiana aibu
Umejuaje?Biashara za kariakoo zisikie hvyo hvyo kuna uchawi pale hatari usione watu wanapesa jaweza kimbia pesa kwa mambo yake
Unaumwa nini?aisee ninelia sana
Ebony hua ina maana gani?Nilikuwa naziangalizia online tu halafu nafuta browsing history.
Kuna jamaa alikuwa na external hard drive ilikuwa imejaa video za hao jamaa
Hao jamaa ndio waasisi wa kutumia neno ebony na oiled @$$. Jamaa walikuwa serious na commited na kazi yao ya kupeleka moto. [emoji23]
Kifo cha mende chaliMkuu harusi yao ilifana, MC kalipwa pesa kibao, Sendoff na mizawadi kibao
Ndoa imefungwa ROMAN CATHOLIC, lakini yote tisa iko chali!!!
KagugoEbony hua ina maana gani?