Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ona mambo yako sasaUnaweza kukuta tatizo lao ni kwamba usiku jamaa anajamba sana ufuzi wa kuvunda.
Ndio maana wanaogopa kusema hadharani tatizo lao.
Mke kauchuna anaona aibu kusema mumewe anajamba mayai viza usiku.
😂😂😂 Dunia inafich ukweli haitaki watu wakajua ila haya mambo ya mwanamke kujitafutia ni risk kweny ndoa...Mkuu nimeshuhudia ndoa tatu za rafiki zangu wa karibu zote zilichukua miezi sita kuvunjika na gharama kubwa zilitumika, wa kwanza mke wake alimfungulia mradi akawa anatembea na wanaume huku kwenye mradi, wa pili kipato kiliyumba na ndoa ikaingia mdudu
Inawezekana utajir wa jamaa wa kutinduliwa, kizibo hakitoi ushirikiano akilala.Khaaa jambo ambalo halijaonekana kwa miaka 8....hahahhah sijui ni mchawi? Au anafuga jini humo kwake
Huenda hawakuonjana, mambo yamekuwa nvyo sivyo...sungura hachezi labdaHadi mwanamke akatae kabisa kurudi, hapo kuna jambo zito la aibu ndio maana hawaongei.
Tatizo letu tunataka mwanamke wa:😂😂😂 Dunia inafich ukweli haitaki watu wakajua ila haya mambo ya mwanamke kujitafutia ni risk kweny ndoa...
simu itakuwa imefichua kituRafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.
KILA MTU HAELEZI TATIZO
Wasuluhishi wameshindwa kwani kila mtu haongei tatizo ni nini, mwanamke hana nia ya kurudi tena na kaenda kwao!!
Kama watu hawa hawapendani, Je waliwezaje kudumu kwa miaka 8?Je kataa ndoa wana point tuwasikilize 😀?
[emoji16]Miaka nane walikuwa hawalali na kuamka pamoja asbuhi mkuu,unajua tunavumilia Mengi harufu za midomo hasa asbuhi,kujambiana,kukoroma kama he jenereta.Na ndio maana mahusiano ya nje yanathaminiwa maana KERO hizi hazipo.
Unaweza oa golikipa lakini ukaishia kutubu.😂😂😂 Dunia inafich ukweli haitaki watu wakajua ila haya mambo ya mwanamke kujitafutia ni risk kweny ndoa...
Ukisoma vizuri andiko la mtoa mada inaonesha waliishi pamoja kwa miaka 8!hiyo miaka 8 yote waliishi pamoja pia?
Kama kweli hii ndo sababu na mke kakimbia, basi maisha yake yapo hatarini.Huenda Mke kaenda kukuta Sasa Siri za biashara ya jama ndani.. Ukute wote wanahitajika kuingiliwa labda!!
Kweli kabisa Kuna demu kaolewa hata miezi sita hajafikisha.Unaweza oa golikipa lakini ukaishia kutubu.
Mwanamke anajua dume unafanya kila kitu kukidhi mahitaji. watoto wapo shule mwisho wa siku anabaki home alone we uko michakatoni, kafua, kaosha vyombo, kapika kinachobaki anakaa kwenye TV idle, na siku zote idle mind hapo ndo nyumba ya shetani anaweza akapita muokota makopo afu bibie akamuita achukue makopo ndani akampa na kopo lake la chini ya kitovu, hii jinsia ishi nayo kwa akili piga pita hivi siku hizi hamna kituo.
Nje na hapo labda ujitoe ufahamu kwamba hata akiliwa acha aliwe, wengine hiyo tumeshindwa tuna ogopa murder case/
Mkuu ni majanga si wenye hasira za mlipuko tumeamua kukaa pembeni, acha malofa waoe si tunasaka mahelaKweli kabisa Kuna demu kaolewa hata miezi sita hajafikisha.
Kashaanza kukukipeleka kwa ex wake.
Na Wana tunajua.
Just imagine
mtoa mada alijibu kuwa hawakuishi pamojaUkisoma vizuri andiko la mtoa mada inaonesha waliishi pamoja kwa miaka 8!