Ndoa ya wake wengi iruhusiwe kwenye ukristo kuokoa kizazi cha wanawake ambao wanazeeka makanisani bila waume

Ndoa ya wake wengi iruhusiwe kwenye ukristo kuokoa kizazi cha wanawake ambao wanazeeka makanisani bila waume

Fantastic[emoji257]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Umeandika mengi sana hata kusoma yanachosha ila una uhakika Mungu aliumba mwananke mmoja kwa adam au umekariri. Adam aliumbiwa wake 2 na mungu eva alikuwa ni mwanamoe wa 2 baada ya mwanamoe wa kwanza kukimbia na kupotelwa mbali ndo akaumba mwingine kutoka katika ubavu
. Nimesoma sana bibil8a ila jimesoma na vitabu vinginw vingi vywnye maarifa kuliko bibilia. Utashangaa nikikwambia mungu hakuumba binadam, and hakuna kitu kinaitwa mungu

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Wakristo Sio wayahudi.

1 Wakorintho 7​

Neno: Bibilia Takatifu​

Kuhusu Ndoa​

7 Na sasa kuhusu mambo mliyoniandikia. Ni vizuri mtu asioe. 2 Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
Kwani Mimi nikioa wake wawili itakuaje??? Maana Kila mke ataniita mume wangu so Haina shida!!!
 
Ulichoongea ni uhalisia haswaa, kinyume na hapo ni kupingana na maumbile tuliyoumbwa.
Usikute mtu anakuja kubisha hapa kwa mihemko yake lkn hajaoelewa na nanga inapaa, au kaoa ila nje anavimada wa3+ na hawezi kuwaoa tena zaid ya kuwatilia usiku.
Athari yake ktk jamii kundi kubwa la wanawake wasioolewa wanakuja kuvuruga ndoa za watu utulivu unakosekana.
HAKUNA MWANAUME DUNIANI ANAETOSHEKA NA MWANAMKE MMOJA(lbd kama hayupo sawa kiafya au kiuchumi)
 
Ndoa ya wake wengi inahusu zaidi kumsitiri mwanamke awe na ndoa ajulikane ni mke wa fulani kuzidi mwanaume kuwa na wake wengi.

Leo hii wanawake wengi wa kikristo ni kawaida kuwakuta wanazeekea makanisani huku wakiomba wapata waume kitu ambacho ni kigumu kwasababu wanaume tupo wachache na wenye uwezo wa kuoa wapo wachache zaidi na sheria ni kuoa mke moja, hao wanaume wengine mnategemea watokee wapi?

Wakristo wa kiafrika walikosea sana kufuata mitazamo ya ulimwengu ya wamishonari wa Ulaya walioleta Ukristo barani Afrika na kuacha mitala na mila ambayo ilikuwa imeenea kipindi cha manabii wa kwenye Biblia. kina Esau, Musa, Daudi, Elkana, Mfalme Solomon, n.k.

Kuna sehemu hata moja Mungu alipinga ama kuchukizwa na wao kuoa zaidi ya mke moja ?

wakristo wapitie upya mafundisho ya ndoa ya mke mmoja maana hakuna mstari nabii yoyote alietumwa na Mungu kukataza jambo hili.

Ni muhimu ili "kuokoa kizazi cha wanawake ambao wanazeeka kanisani bila waume"

Mitala ilizoeleka na jamii nyingi za kitamaduni za Kiafrika na tamaduni ya Kiyahudi pia ilikuwa ya wake wengi, ilianza kufifia baada ya kuanzishwa kwa Ukristo ulioegemea zaidi tamaduni za kizungu ambako waligeuza sheria zifuate zaidi tamaduni zao za kuo mke moja.
Nakubaliana na wewe 100%
 
Hahahahaaha umesisitiza sana
Wanawake wengi hawaolewi sababu ya tamaa ya mali kanisa likiruhusu kila mwanamke atakuwa anafukuzia mzee mstaafu tutajenga jamii gani italeta mifarakano pale vifo vinavyotokea mwisho kila mtu anataka mgao wake

Hao wanawake ambao wanasema hawaolewi wewe ungewaacha tu wana mapungufu mengi waache tu nazani itakuwa funzo kwa kizazi kijacho
 

Kuhusu Ndoa​

7 Na sasa kuhusu mambo mliyoniandikia. Ni vizuri mtu asioe. 2 Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
"Mwenyewe" ni tofauti na "wa peke yake"! mwenyewe hapa inaonesha uhalali wa umiliki. Ingekuwa neno "wa peke yake" hapo ndo ingemaanisha umiliki wa kipekee.

Hiyo chini ni same verse from English bible:-

"...7 Now for the matters you wrote about: “It is good for a man not to have sexual relations with a woman.” 2 But since sexual immorality is occurring, each man should have sexual relations with his own wife, and each woman with her own husband."

Na hapo ni kabla hatujaenda deep zaidi kuangalia nani alikuwa anazungumza na kumwambia nani.
 
Ndoa ya wake wengi inahusu zaidi kumsitiri mwanamke awe na ndoa ajulikane ni mke wa fulani kuzidi mwanaume kuwa na wake wengi.

Leo hii wanawake wengi wa kikristo ni kawaida kuwakuta wanazeekea makanisani huku wakiomba wapata waume kitu ambacho ni kigumu kwasababu wanaume tupo wachache na wenye uwezo wa kuoa wapo wachache zaidi na sheria ni kuoa mke moja, hao wanaume wengine mnategemea watokee wapi?

Wakristo wa kiafrika walikosea sana kufuata mitazamo ya ulimwengu ya wamishonari wa Ulaya walioleta Ukristo barani Afrika na kuacha mitala na mila ambayo ilikuwa imeenea kipindi cha manabii wa kwenye Biblia. kina Esau, Musa, Daudi, Elkana, Mfalme Solomon, n.k.

Kuna sehemu hata moja Mungu alipinga ama kuchukizwa na wao kuoa zaidi ya mke moja ?

wakristo wapitie upya mafundisho ya ndoa ya mke mmoja maana hakuna mstari nabii yoyote alietumwa na Mungu kukataza jambo hili.

Ni muhimu ili "kuokoa kizazi cha wanawake ambao wanazeeka kanisani bila waume"

Mitala ilizoeleka na jamii nyingi za kitamaduni za Kiafrika na tamaduni ya Kiyahudi pia ilikuwa ya wake wengi, ilianza kufifia baada ya kuanzishwa kwa Ukristo ulioegemea zaidi tamaduni za kizungu ambako waligeuza sheria zifuate zaidi tamaduni zao za kuo mke moja.
Kama mtu unaona sheria za kikristo huziwezi hamia dini unayoiweza uzuri wakristo hatulazimishagi mtu awe mkristo wala hatung'ang'anii watu, walaa anayehama hatishiwi kuuwawa...sheria hatubadilishi
 
Kuoa mchezo?

Huo uislamu wenyewe unaoruhusu kuoa wanawake wa4 wanaume wameshindwa kutekeleza.

Mke mmoja tu anakutoa jasho zaidi ya hapo utaweza wapi?

Dini na ziheshimiwe na watu wote.
 
Back
Top Bottom