Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,292
- 2,953
Umeandika mengi sana hata kusoma yanachosha ila una uhakika Mungu aliumba mwananke mmoja kwa adam au umekariri. Adam aliumbiwa wake 2 na mungu eva alikuwa ni mwanamoe wa 2 baada ya mwanamoe wa kwanza kukimbia na kupotelwa mbali ndo akaumba mwingine kutoka katika ubavu
Aliumba 2 mkuu watu wazembe kusomaKwanini Mungu alimpa Adam mke mmoja tu? Kwanini asingempa wake wawili au zaidi ili wamsaidie Adam?
Kwani Mimi nikioa wake wawili itakuaje??? Maana Kila mke ataniita mume wangu so Haina shida!!!Wakristo Sio wayahudi.
1 Wakorintho 7
Neno: Bibilia Takatifu
Kuhusu Ndoa
7 Na sasa kuhusu mambo mliyoniandikia. Ni vizuri mtu asioe. 2 Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
Tamaa ya mwanaume haitosheki kwa kuoa.Kwani Mimi nikioa wake wawili itakuaje??? Maana Kila mke ataniita mume wangu so Haina shida!!!
Mwanamke mmoja tu anakushinda , hao wawili au zaidi utawaweza au unajiongelesha tu hapa
Kwanini Mungu alimpa Adam mke mmoja tu? Kwanini asingempa wake wawili au zaidi ili wamsaidie Adam?
Nakubaliana na wewe 100%Ndoa ya wake wengi inahusu zaidi kumsitiri mwanamke awe na ndoa ajulikane ni mke wa fulani kuzidi mwanaume kuwa na wake wengi.
Leo hii wanawake wengi wa kikristo ni kawaida kuwakuta wanazeekea makanisani huku wakiomba wapata waume kitu ambacho ni kigumu kwasababu wanaume tupo wachache na wenye uwezo wa kuoa wapo wachache zaidi na sheria ni kuoa mke moja, hao wanaume wengine mnategemea watokee wapi?
Wakristo wa kiafrika walikosea sana kufuata mitazamo ya ulimwengu ya wamishonari wa Ulaya walioleta Ukristo barani Afrika na kuacha mitala na mila ambayo ilikuwa imeenea kipindi cha manabii wa kwenye Biblia. kina Esau, Musa, Daudi, Elkana, Mfalme Solomon, n.k.
Kuna sehemu hata moja Mungu alipinga ama kuchukizwa na wao kuoa zaidi ya mke moja ?
wakristo wapitie upya mafundisho ya ndoa ya mke mmoja maana hakuna mstari nabii yoyote alietumwa na Mungu kukataza jambo hili.
Ni muhimu ili "kuokoa kizazi cha wanawake ambao wanazeeka kanisani bila waume"
Mitala ilizoeleka na jamii nyingi za kitamaduni za Kiafrika na tamaduni ya Kiyahudi pia ilikuwa ya wake wengi, ilianza kufifia baada ya kuanzishwa kwa Ukristo ulioegemea zaidi tamaduni za kizungu ambako waligeuza sheria zifuate zaidi tamaduni zao za kuo mke moja.
Wanawake wengi hawaolewi sababu ya tamaa ya mali kanisa likiruhusu kila mwanamke atakuwa anafukuzia mzee mstaafu tutajenga jamii gani italeta mifarakano pale vifo vinavyotokea mwisho kila mtu anataka mgao wake
Hao wanawake ambao wanasema hawaolewi wewe ungewaacha tu wana mapungufu mengi waache tu nazani itakuwa funzo kwa kizazi kijacho
Ni jambo la hatari sana kanisa kuruhusu jambo kama hili kuna kesi nyingi sana za wanandoa huko mahakamani sasa mtu anakuja na wazo hili kuharalisha ndoa za kuoa mke zaid ya mmoja si mahakama zitazidiwaHahahahaaha umesisitiza sana
Ni jambo la hatari sana kanisa kuruhusu jambo kama hili kuna kesi nyingi sana za wanandoa huko mahakamani sasa mtu anakuja na wazo hili kuharalisha ndoa za kuoa mke zaid ya mmoja si mahakama zitazidiwa
"Mwenyewe" ni tofauti na "wa peke yake"! mwenyewe hapa inaonesha uhalali wa umiliki. Ingekuwa neno "wa peke yake" hapo ndo ingemaanisha umiliki wa kipekee.Kuhusu Ndoa
7 Na sasa kuhusu mambo mliyoniandikia. Ni vizuri mtu asioe. 2 Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
Kama mtu unaona sheria za kikristo huziwezi hamia dini unayoiweza uzuri wakristo hatulazimishagi mtu awe mkristo wala hatung'ang'anii watu, walaa anayehama hatishiwi kuuwawa...sheria hatubadilishiNdoa ya wake wengi inahusu zaidi kumsitiri mwanamke awe na ndoa ajulikane ni mke wa fulani kuzidi mwanaume kuwa na wake wengi.
Leo hii wanawake wengi wa kikristo ni kawaida kuwakuta wanazeekea makanisani huku wakiomba wapata waume kitu ambacho ni kigumu kwasababu wanaume tupo wachache na wenye uwezo wa kuoa wapo wachache zaidi na sheria ni kuoa mke moja, hao wanaume wengine mnategemea watokee wapi?
Wakristo wa kiafrika walikosea sana kufuata mitazamo ya ulimwengu ya wamishonari wa Ulaya walioleta Ukristo barani Afrika na kuacha mitala na mila ambayo ilikuwa imeenea kipindi cha manabii wa kwenye Biblia. kina Esau, Musa, Daudi, Elkana, Mfalme Solomon, n.k.
Kuna sehemu hata moja Mungu alipinga ama kuchukizwa na wao kuoa zaidi ya mke moja ?
wakristo wapitie upya mafundisho ya ndoa ya mke mmoja maana hakuna mstari nabii yoyote alietumwa na Mungu kukataza jambo hili.
Ni muhimu ili "kuokoa kizazi cha wanawake ambao wanazeeka kanisani bila waume"
Mitala ilizoeleka na jamii nyingi za kitamaduni za Kiafrika na tamaduni ya Kiyahudi pia ilikuwa ya wake wengi, ilianza kufifia baada ya kuanzishwa kwa Ukristo ulioegemea zaidi tamaduni za kizungu ambako waligeuza sheria zifuate zaidi tamaduni zao za kuo mke moja.