Ndoa yaingia matatani baada ya baba wa mtoto kusikia watu wakisema mtoto siyo wa kwake

Ndoa yaingia matatani baada ya baba wa mtoto kusikia watu wakisema mtoto siyo wa kwake

Wanawake ni washenzi sana sema wao ubaya wote wanautupia kwa mwanaume baada ya reaction ya mwanaume ili waonekane innocent.

We jiulize Hawa wanawake tunaokula kila siku na Wana mabwana zao Ila wakikaa utadhani hawapanuliwi Hadi makalio.

Shenzi sana jamaa apime DNA mambo ya kitanda hakizai haramu huo ni ufala wa wanaume wa zamani

Heri kama nijue kabisa kwamba sina uwezo wa kuzalisha Ila sio kutunza shahawa za mwanaume mwenzangu na mwanamke anakung'ong'a tu eti anakuwekea heshima, yaani heshima ipi? Ngoja siku umzingue na mtoto ameshakua umeshamsaidia kusomesha utaipata fresh.

Men should stop entertaining these daughters of Jezebel.
Mkuu mbona umeandika kwa ghadhabu sana? Hivi ingekuwa wanaume ndiyo wanabeba mimba, hahaahah sipati picha hao watoto wangechanganywaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi najuaga sifa ya wanaume ni kulisikia jambo na kulifanyia uchunguzi + maamuzi taratibu sasa mwanaume hadi unaacha familia kisa maneno ya kusikia tena kibarazani. Inafikirisha sana. 🤔

Haya akafanye hiyo DNA japo asisahau kuwa wenye hiyo ndoa ni yeye na Mke wake na sio hao majirani.
Hamjui tuu maumivu yake nyie....
 
Ili muendelee kutubambikia tuu watoto kisa mnajua dna wataichakachua.
Aisee...bora tule mbususu na kusepa tuu sio kuwaweka ndani
Wanaume::::: Wanawake ambao awajaolewa watafute mabwana waolewe. Wanawake:::::Si lazima tuolewe, si lazima tuolewe
 
Kwa uzoefu wangu, kama anapima DNA basi akapimie Kenya huko, lakini akipima hapa kwetu nakuhakikishia ataambiwa NI WA KWAKE HATA KAMA SI WAKE!
Sheria yetu inamtaka mtoa majibu kuzingatia "MASLAHI MAPANA YA USTAWI WA MTOTO"

Nimeshuhudia kabisa jamaa akipata majibu ya kuwa MTOTO ni wake ilhali mdau anajua fika mkewe aliteleza akiwa safari ya mbali!
nchi imekaa kitapeli tapeli hii
 
Wanasema kitanda hakizai haramu, sku hizi ndoa n muunganiko wa wasaliti wawili walioumizwa na kujeruhiwa mioyo yao na wapenz wao wa awali walio wapenda sana.

Hakuna tena upendo wa dhati, wamama wanazaa na wapenz wao wa zaman walio wapenda sana ikatokea tu wakashndwa kuoana lkn uhusiano baina yao haujawah kufa waliweka maagano ya kutokuacha na kuzaa pamoja. Unaweza kuta baba una watoto wa3 lkn wote s wako au ukaonewa huruma akakuzalia mtoto moja.

Kwa wababa nao n vivyo hivyo, na hatuwez badili hili maana kila sku watu wanajeruhiwa na kuumizwa mioyo na waliyoumizwa wanawaumiza wengne yaan ww mshukuru Jah kwa kila kitu.

Usjipe presha kupima maana itakupa smanz na huzuni tele, unaeza kuta una watoto sita na wote s wako umewalea na kuwasomesha pia . 😔😔😔😔
 
Kuzingatia "MASLAHI MAPANA YA USTAWI WA MTOTO NA KUEPUSHA MIGOGORO YA NDOA."
 
Back
Top Bottom