Ndoa yaingia matatani baada ya baba wa mtoto kusikia watu wakisema mtoto siyo wa kwake

DNA haina ishu babuu... Hakuna DNA ambayo iko tayari kumuacha mtoto bila baba ama mama kukosa ndoa... Na ndo maana kuna hatua ndefu sana mpaka kupata vipimo vya DNA
Hakuna hatua ndefu mie nishafanya
 
Kwa hiyo ni sifa kulea watoto wa watu hapana ili singing mkono hata kidogo usifanye watu waaishi maisha yasiyo na furaha kisa eti ndoa iendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…