sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Me and her we were made for eachother, we laugh at the same joke, she is gorgeous, smart and more importantly, ananiheshimu sana, mwaka wa sita huu lakini kama vile tumekutana jana.
Usikatae ndoa, kataa wahuni wanaotaka ndoa. Na wish watoto wangu wa kiume wapate wake wenye sifa za mama yao, na wakike wapate waume wenye sifa kama zangu. Nikiambiwa nioe tena nitamuoa huyu bint bila kufikiria mara mbili.
Mpaka leo bado nainjoy everything of her.
My dedication to her is "perfect" by Ed sheeran.
Usikatae ndoa, kataa wahuni wanaotaka ndoa. Na wish watoto wangu wa kiume wapate wake wenye sifa za mama yao, na wakike wapate waume wenye sifa kama zangu. Nikiambiwa nioe tena nitamuoa huyu bint bila kufikiria mara mbili.
Mpaka leo bado nainjoy everything of her.
My dedication to her is "perfect" by Ed sheeran.