Ndoa yangu imetengenezwa mbinguni, nafurahia sana

Ndoa yangu imetengenezwa mbinguni, nafurahia sana

Yote hayo uliyo orodhesha ni sababu zinazopelekea wengi wetu kujaa sumu kuhusu love relationship, vile wanadamu hatuna uwezo wa kuona ya mbeleni ama kumjua mtu kiundani mpaka siku mabalaa yatukute. Mapenzi ya kweli naamini bado yapo shida ni kukutana na watu sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sawa kabisa.
Personally hua nafkiria its best kujaribu kujua kwanza jindi ya sisi wenyewe on a personal level kuhakikisha sisi ni watu sahihi.
Then kuangalia vigezo ambavyo mtu tunaetaka kuwa nae anatakiwa kuwa navyo, na pia kama vinaendana na sisi.
Then hapo ni rahisi kujua mbivu na mbichi.
But worse enough tunakua tumebeba mizigo ya dissapointments kibao then unaenda kujarb kutengeneza another relationship ambayo bila kujua unakua unambebesha mwenzako matatizo na insecurities ulizotoka nazo huko nyuma ambayo si sawa.
Nadhani ingekua vyema if people would get muda wa kutosha just to date and get to know each other on a depper level. Problem yetu wabongo n kua tukishaanza kudate in like 2 weeks tayar tunataka kupigana miti
 
Mungu akiwakutanisha hata kwenye tendo la ndoa mnaenjoi
Mwanamke anakojoa haraka
 
Hapo ni maslahi tu yanayoshikilia yakiyumba ndipo utaona rangi za ukweli.
 
Kwa lugha yetu hiii, hata akikosea ni sawa, nyinyi ndio mnadhanigi kila ngozi nyeupe inajua kiingereza na kila mweusi akikosea anachekwa
Ni mawazo yako na janja ya kuficha ujinga wako. Sijaongelea rangi mie. Nimeongelea makosa. Hata ukikosea kihaya bwana Kaijage nshomile wa Rweyeyeyeyoyoyo nitakupa ukweli tu mwanangu
 
Ngeli ya genge!..ungeandika tuu kiswahili mkuu..btw hongera kumpata mnayeendana
 
Sasa usijaribu kuchepuka maana utaharibu.

It is hard to build a trust and easy to destroy.

Cheating is a choice!
 
Me and her we were made for eachother, we laugh at the same joke, she is gorgeous, smart and more importantly, ananiheshimu sana, mwaka wa sita huu lakini kama vile tumekutana jana.

Usikatae ndoa, kataa wahuni wanaotaka ndoa. Na wish watoto wangu wa kiume wapate wake wenye sifa za mama yao, na wakike wapate waume wenye sifa kama zangu. Nikiambiwa nioe tena nitamuoa huyu bint bila kufikiria mara mbili.

Mpaka leo bado nainjoy everything of her.

My dedication to her is "perfect" by Ed sheeran.
Hongera kaka,endelea kumshikilia Mungu kwani kinyume cha hapo usitegemee muujiza...
 
Sasa usijaribu kuchepuka maana utaharibu.

It is hard to build a trust and easy to destroy.

Cheating is a choice!
I wish everyone would stick to this advice, we men tend to think that we can cheat and our wives take it easy while the opposite happen. Binafsi, sina sababu ya kucheat. Thank for this gold advice
 
Kaoa juzi huyu dogo hajajua fitina za binadamu ambaye hajaumbwa kwa udongo,tofauti kubwa ya mwanamke na mwanamume Ni kuwa wao wameumbwa kwa nyama na wewe kwa vumbi
La kongo au la kule idodomya kwa spika msemaji wa familia ya mwana wa Adam.??
 
Back
Top Bottom