pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Big up
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
me and her we were yaani mimi na yeye tulitengezwa badala ya my wife and I were......Mkuu kwani Kuna kiingereza gani hapo ambacho hakiwezi kueleweka?
Kakosea padogo tu hapome and her we were yaani mimi na yeye tulitengezwa badala ya my wife and I were......
Bahati yako bro maana ...Me and her we were made for eachother, we laugh at the same joke, she is gorgeous, smart and more importantly, ananiheshimu sana, mwaka wa sita huu lakini kama vile tumekutana jana,
Usikatae ndoa kataa wahuni wanaotaka ndoa,
Na wish watoto wangu wa kiume wapate wake wenye sifa za mama yao, na wakike wapate waume wenye sifa kama zangu.
Nikiambiwa nioe tena nitamuoa huyu bint bila kufikiria mara mbili.
Mpaka leo bado nainjoy everything of her,
My dedication to her is "perfect" by Ed sheeran
Ngoja tukupe muda tutakuja kukushauri hapahapa 🤣🤣🤣🤣Me and her we were made for eachother, we laugh at the same joke, she is gorgeous, smart and more importantly, ananiheshimu sana, mwaka wa sita huu lakini kama vile tumekutana jana,
Usikatae ndoa kataa wahuni wanaotaka ndoa,
Na wish watoto wangu wa kiume wapate wake wenye sifa za mama yao, na wakike wapate waume wenye sifa kama zangu.
Nikiambiwa nioe tena nitamuoa huyu bint bila kufikiria mara mbili.
Mpaka leo bado nainjoy everything of her,
My dedication to her is "perfect" by Ed sheeran
Mwenzenu niko single naenjoy jamani kua single raha.Me and her we were made for eachother, we laugh at the same joke, she is gorgeous, smart and more importantly, ananiheshimu sana, mwaka wa sita huu lakini kama vile tumekutana jana,
Usikatae ndoa kataa wahuni wanaotaka ndoa,
Na wish watoto wangu wa kiume wapate wake wenye sifa za mama yao, na wakike wapate waume wenye sifa kama zangu.
Nikiambiwa nioe tena nitamuoa huyu bint bila kufikiria mara mbili.
Mpaka leo bado nainjoy everything of her,
My dedication to her is "perfect" by Ed sheeran
Bila ya shaka mleta uzi kachagua mke mwenye hekima. Haku chagua trakooo 😂
Uzi wako wa kuamua kuachana na mkeo sababu muonekano haukuvutii ni mke gani huyo? Na huyu vipi?Me and her we were made for eachother, we laugh at the same joke, she is gorgeous, smart and more importantly, ananiheshimu sana, mwaka wa sita huu lakini kama vile tumekutana jana,
Usikatae ndoa kataa wahuni wanaotaka ndoa,
Na wish watoto wangu wa kiume wapate wake wenye sifa za mama yao, na wakike wapate waume wenye sifa kama zangu.
Nikiambiwa nioe tena nitamuoa huyu bint bila kufikiria mara mbili.
Mpaka leo bado nainjoy everything of her,
My dedication to her is "perfect" by Ed sheeran
Haya mtaalam, hata mimi nilikuwa hivohivo lakini I learned the hard way.Everyone will die one day, as long as i enjoy with the relationship i have, i don't worry
Hasa ikitokea akawa mwalimu [emoji16][emoji16]mpwayungu village akiona atakublok