Ndoa yangu inateketea

Kwanza namba nikujenge kiimani... Majaribio ktk Maisha ndo sehemu ya Maisha. Haijarishi kubwa kiasi gani lkn Mungu anajua unalimudu.. Katika kipindi hiki unachopitia mtafuta Sana Mungu maana ni kipindi cha kupimwa imani yako. Muda or time healed... Surrender all things to your God. Ndoa ni spiritual connection hivyo mambo Muombe Mungu tu ili ushinde jaribu.. Muda utaongea tu usiangaike kama divorce atatafuta yeye maana Wana washauri wao wa kubomoa.. Naamini soon utarecover na kuona Maisha mapya ya furaha na amani na kumsahau kabisa. Mungu atakujenga utainuka na kuwa na mafanikio makubwa... Maisha ya Mungu. Trust in God.
 
Huu ndio ushauri wa kiafrika. Msilazimishe uzungu na hamuuwezi, mwisho wa siku mnalia tu
 
Tungemsikiliza na yeye tungejua shida iko wapi. Inawezekana kuna kitu umefanya/kimemkera kutoka kwako na hujasema hapa. Au ameona hueleweki. Mtu hawezi fanya maamuzi ya hivo tu from nowhere.
 
Akifukuzwa kazi sasa watakula nini na mkuu hana kazi?Ushauri mbaya huu😅
 
Pole sana kwa changamoto ya ugonjwa na ya Mke wako, jitahidi kushirikisha Wazazi wa pande zote mbili ikibidi viongozi wa dini kutokana na imani yenu ikishindikana ndoa ivunjwe kisheria, Mungu akusaidie.
 
[emoji123][emoji123]
 
Every man's nightmare is losing a job when he has a family to take care of.

Sasa ukutane na mwanamke ambae amebaki anahudumia familia halafu sio muelewa.

The devil in her comes out blaring massive horns.

Kaza moyo, cut her off. Usimpigie usiwe na mawasiliano aina yeyote na yeye. Kubali awalee watoto sababu after all huna kazi na yule ni mama yao sio mtu baki.

Concentrate on afya yako then pambana uinuke tena. Simama na Mungu wako na ujipe time. Its just a matter of time atajirudisha kwako na majuto na kilio huku wewe ushapona.
 
Nani kakuambia siku hizi ukiwa mbali na mke wako, na usiwe na pesa ya kumsaidia na kwenda kumwona mara kwa mara ETI BADO KUNA NDOA. Pole sana. Ameshakuwa mke wa mwingine. Ww ni mme wa cheti tu. Jipange kimaisha sababu hauna mke tena.
 
Si anataka kuachwa muache mzee, usilazimishe kijani kuwa nyekundu, kwanini ubembeleze mapenzi, utakufa bure kwa kufosi mambo. Kwani bila ya yeye wewe hupumui, kifupi hana mpango na ww na ukilazimisha atakuja kukupiga tukio moja uione june-july
Hakuna kitu kama hicho......jamaa kwa sasa anapaswa Ku lay low.....apambane kutafuta fedha atafute mwanamke mwingine hiyo ndio dawa.....
 

Ubaya ubaya au sio mkuu?[emoji28]
 
Wanaume wanaofanya kazi za nyumban kama wewe nawaonaga wa kipekee sana
 
Wanakwake hawanaga akili....
huyu jamaa anayemdharau leo anaweza kuja kuwa tajiri mkubwa sana kesho....
Mungu wetu ana maajabu (full of surprises)
 
Itoshe kusema Pole sana Mkuu. Wanaume tunapambana sana kwa ajili ya familia zetu na ndicho kinachowafanya hawa wanawake wajifanye kutupenda. Haya mapambano ya kipungua au kufa kabisa kwa sababu yoyote ile, iwe kufukuzwa kazi au kuumwa ambako kutapelekea uache kupambana basi ndio mwisho wa mapenzi. Atajifanya kukupenda kwa muda tu kutafuta njia ya kutokea lakini atakuacha tu
 
Aisee, hivi kweli unaoa mwanaMke wa Dar? Huwa hawana akili timamu. Ni wachache sana wanaojitambua. Kama alijiombea uhamisho kwanini aseme umemdump kwao na wakati aliondoka mwenyewe.

Piga chini hilo jinamizi mkuu, najua inauma lakini hakuna namna. Kama BILLGATES na Mkewe waliachana ije iwe wewe.

Muache mwaka mzima, ukiona bado hajielewi, zama Singida kachukue msupuu uoe
 
Hao ndiyo wanawake kaka; hawajali maumivu ya wenzao kwenye jambo lao; wakibadilika wanakuwa wakatili kuliko simba.

nashauri kama ameomba muachane usilazimishe yatakukuta makubwa. Egemea ktk afya yako.. mwenzako amepata mwanaume mwingine.
 
Naunga mkono hoja
 
Acha mawazo ya ulozi wewe
Mkuu hatufahamiani, nakuomba ujiheshimu, na kama wewe ni mtu wa dini bas endelea na imani yako, nimeona mengi sana mpaka hapa nilipo, na katika watu wanaoongoza kwa unafiki ni watu wanaojifanya wameishika sana dini.

Hivi unajua watu wanavutwa kwa madawa kuhudhuria huko kwenye nyumba za Ibada(sio zote)?

Niishie hapa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…