Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

Inaw
Hongera sana kiongozi, ngoja na sisi wengine tuendelee kusubiri wakati wa bwana anaweza tenda. Mi nilishaanza kukata tamaa, lakin post yako imenipa matumaini, kumbe inawezekana
Inawezekana kikubwa ni kumuomba mungu tu.
 
Weka na namba ya kutuma pesa ya supu na mtori kwa shemeji yetu tunataka akimaliza mwezi mmoja awe amebawiri haswa muanze tena kunyanduana mpate mtoto wa pili haraka nchi ijae chap chap.
Onyo, usivutie karibu na choo.

😂 😂
 
Kwanza namshukuru Mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabisa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu.

Ndugu zangu, Allah ameniruzuku mtoto wa kiume jioni ya leo, mke wangu kazaa kwa njia ya operation, namshukuru Mungu mama na mtoto wako salama.

Kuna ndugu zangu walinipa support (kunipa moyo) kwenye jambo hili (kusaka mke JF) si vibaya nikiwapa mrejesho, si rahisi kuwakumbuka wote.

AKILI IKO HOVAS!😂🤣

Thread 'Natafuta mke' Natafuta mke
nilotoka mara 1.....huyo mtoto napendekezwa aitwe verified member
 
Kaka umenifundisha kwamba ukiwa na jambo lako ukaweka nia ya dhati na maelezo mazuri basi litapokelewa vizuri.

Uzi wako wa kutafuta mke uliuandika vizuri sana na haukua na chembe ya ubabaishaji.

Na ndiyo maana ulipata jumbe nyingi sana kutoka kwa wanawake mbalimbali wakitaka stara.

Nikutakie kila la kheri katika maisha yako ya ndoa mkuu.
 
Amin kwa dua zako njema 🤲
Kaka umenifundisha kwamba ukiwa na jambo lako ukaweka nia ya dhati na maelezo mazuri basi litapokelewa vizuri.

Uzi wako wa kutafuta mke uliuandika vizuri sana na haukua na chembe ya ubabaishaji.

Na ndiyo maana ulipata jumbe nyingi sana kutoka kwa wanawake mbalimbali wakitaka stara.

Nikutakie kila la kheri katika maisha yako ya ndoa mkuu.
 
Kwanza namshukuru Mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabisa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu.

Ndugu zangu, Allah ameniruzuku mtoto wa kiume jioni ya leo, mke wangu kazaa kwa njia ya operation, namshukuru Mungu mama na mtoto wako salama.

Kuna ndugu zangu walinipa support (kunipa moyo) kwenye jambo hili (kusaka mke JF) si vibaya nikiwapa mrejesho, si rahisi kuwakumbuka wote.

AKILI IKO HOVAS!😂🤣

Thread 'Natafuta mke' Natafuta mke
Hahaha
 
Mashaallah,
Furaha yako ya kupata mtoto isiwe kichocheo cha usahaulifu wa majukumu na wajibu kama mkuu wa familia.

Mtunze mwanao, mtunze mke wako, watunze wazazi wako kama bado wapo hai.
 
Back
Top Bottom