Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha..!Mr right wako every whereeee 😍 ngoja nikae vizuri hapa naweza patamo ka HB kamoja 😂
Fungueni PM hizo my zanguu jamani tushonae sareee
Darlin
Lenie
Joanah
Carleen
Mkuu Makaveli, mimi na my zangu tunakutakia kila la Kheri katika familia yako.. anko wetu akuzwe katika kimo na afya njema na ampendeze Mungu na wanadamu.
Ah yule alinifumania na kamchepuko akakasirika naye akaenda kuchepuka.... Sasa yaelekea kanogewa kwa mchepuko kaniacha mazima.... Wakati mimi mchepuko wangu ulishaniacha hivi sasa natafuta mke mwingine na kamchepuko kengine....🤣🤣🤣 Labdwa ulikuwa my skulimeti.. nikiwa la kwanza inamaliza la saba..
Upo Kaka, mke wako humu.. yupo wapi siku hizi?
Ah yule alinifumania na kamchepuko akakasirika naye akaenda kuchepuka.... Sasa yaelekea kanogewa kwa mchepuko kaniacha mazima.... Wakati mimi mchepuko wangu ulishaniacha hivi sasa natafuta mke mwingine na kamchepuko kengine....
Ningeweza hivyo hivi sasa ningeshakuwa Paroko wa Parokia kuu...Yaani huu mzunguko umeniacha mataa.. kaa mwenyewe hivyo hivyo 😂
Daaah!! Basi tena!Upo, kwani huyu si ni wa kwanza na dini inaruhusu zaidi ya mmoja, we kama unataka
kwenye foleni, mmoja ndio mpango,
😂 😂
Aah! Hawezi fanya kitu, kishakukubali hivyo hivyo na ushindikana wako.😅😅😅 Goja nikupe namba ya whatsapp ila ndoa itabaki salama akijua hii ID 🤣🤣🤣
Ningeweza hivyo hivi sasa ningeshakuwa Paroko wa Parokia kuu...
Haka kajamaa huku chini ni kasumbufu sana.... Kana njaa kali mno
Acha nikape kitu kanataka....
Ahsante mkuuWow hongera sana mkuu
Ashukuriwe Mungu
Ahsante SophyHongera Sana
Usikate tamaa, subira haivuti bangi, subira yavuta heri.Daaah!! Basi tena!
Aaah mzee mwenzangu naona umeamua kunipa moyo sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usikate tamaa, subira haivuti bangi, subira yavuta heri.
Kwamba ulipata mke jamii forumsKwanza namshukuru Mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabisa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu.
Ndugu zangu, Allah ameniruzuku mtoto wa kiume jioni ya leo, mke wangu kazaa kwa njia ya operation, namshukuru Mungu mama na mtoto wako salama.
Kuna ndugu zangu walinipa support (kunipa moyo) kwenye jambo hili (kusaka mke JF) si vibaya nikiwapa mrejesho, si rahisi kuwakumbuka wote.
AKILI IKO HOVAS![emoji23][emoji1787]
Thread 'Natafuta mke' Natafuta mke
Kwa wewe hata ukitaka ubongo, mie nibaki fuvu(box) nakupa. 😂Aaah mzee mwenzangu naoba ukeamua kunipa moyo sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sitaki.
Yah..Yaah man nakumbuka ile kipindi ulisema umepata mke JF na unafanya mchakato wa kumuoa
Hongera bana