Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

Sasa uliotukata ulituahidi kuwa utatufikiria, vipi bado tu?
Vuta subira, usivute bangi πŸ˜‚πŸ˜‚, chujio liliharibika, nasubiri litoke Japan tuendelee na mchujo πŸ˜‚
 
Shukrani
Mashaallah,
Furaha yako ya kupata mtoto isiwe kichocheo cha usahaulifu wa majukumu na wajibu kama mkuu wa familia.

Mtunze mwanao, mtunze mke wako, watunze wazazi wako kama bado wapo hai.
Shukrani mzee
 
Weeeh!! Kuna mchujo tena😳😳😳😳
Upo, kwani huyu si ni wa kwanza na dini inaruhusu zaidi ya mmoja, we kama unataka
kwenye foleni, mmoja ndio mpango,
πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Mr right wako every whereeee 😍 ngoja nikae vizuri hapa naweza patamo ka HB kamoja πŸ˜‚

Fungueni PM hizo my zanguu jamani tushonae sareee
Darlin
Lenie
Joanah
Carleen

Mkuu Makaveli, mimi na my zangu tunakutakia kila la Kheri katika familia yako.. anko wetu akuzwe katika kimo na afya njema na ampendeze Mungu na wanadamu.
Kumbe haya mambo yako real namna hii humu

My wetu Depal usipuuze hisia zako,pata kaHB kako kamoja kule lav konekti 🀣

makaveli10 nakuombea baraka zote katika uzao na love life yako,upendo na amani vitawale
Ninong'oneze basi ID ya mama kichanga πŸ™ˆ
 
Kumbe haya mambo yako real namna hii humu

My wetu Depal usipuuze hisia zako,pata kaHB kako kamoja kule lav konekti 🀣

makaveli10 nakuombea baraka zote katika uzao na love life yako,upendo na amani vitawale
Ninong'oneze basi ID ya mama kichanga πŸ™ˆ
AMIN JOANAH
Shukrani kwa dua zako njema

Hana akaunti humu.
 
Back
Top Bottom