Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Eeh kama akisomeka tunayajengaAnakufaa eeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh kama akisomeka tunayajengaAnakufaa eeh
Sema hela uwe nayo tuuu 😅😅Eeh kama akisomeka tunayajenga
Roho mbaya tu
Karibu lushoto basi 😒😒 au tukihamia mbeya basi
😂😂 Kama ww umeipitisha mie nani nipinge!!!? 😂Mistari iliojaa vina ile ndoano chambo yake inanasa hadi papa 😂😂😂
Kama yeye hana na mimi sinaSema hela uwe nayo tuuu 😅😅
Nilijua tu, na hizo ndo hulka za wake wa ndoa.Ni msomaji tu.
Ebu weka cv yako hapa, naweza nikashawishika nikaweka kitu ndaniHautafuti mke?
Weka kapicha mkuu; haya mambo ya kuambiwa kafanana na mjomba hatutaki kusikiaNa wewe mkuu.
Ye amekosa, we unapataje!? 😂Kama yeye hana na mimi sina
@mpwayungu ni kiazi kibichiHongera mkuu. Napendekeza huyo mtoto aitwe Mpwayungu.
Pole Sana mkuu Kwa kuguswa na hili Jambo.Bro, kila ukiandika hiki kisa nikakisoma huwa nahuzunika sana. Sijui tatizo lilikuwa nini, ila Allah awape mbadala wa kheri zaidi kila mmoja wenu.
Mtaleana😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenyewe nalelewa sa' Itakuwaje?
Mzee mwenzangu shikilia ushikamane haswa 😂😂Saaana 😂🤣
Unaweza sema mpita njia kumbe ndio mimi nilikuja na id yangu nyingine😂😂😂😂Ni mchepuko wako, anasema we una magoma mengi umemshinda tabia 😂
Si member rasmi wa jf, ni mpita njia tu
Shukrani kaka.
Mwe mweeeh! Naomba namba yake tuwe marafiki😂😂😅😅😅 Ila anakula bata kinomaaaa yani, sema side ya pili akijua naona atakufa hapo hapo 🤣🤣🤣..
Na ubakie hivyo hivyo shindikana.😅😅😅😅😅 Mie kulelewa hapa aisee.. Bora nibaki kama nilivyo
Namwambia ukweli simtishi😂😂Usimtishe Basi[emoji4]