Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

Nimeandika kama mara 3 nafuta, nikaona isiwe tabu nikakimbilia polisi kwenye lugha ya mama.

Hebu nijibie mjomba.

Thank you cocochanel akiongeza neno hapo, utachati nae wewe si unajua sisi darasa la 7 C, is the, is the zinatupiga vyenga 😂
Nimjibie mimi kwani ulinilipia ada kwa Ras Simba?

Kama uko siriaz nirushie mzigo nipige bapa moja la konyagi ndio atajuta kunifahamu....

Konyagi inajua kiinglish Malkia anasubiri daadadeki....
 
Nimjibie mimi kwani ulinilipia ada kwa Ras Simba?

Kama uko siriaz nirushie mzigo nipige bapa moja la konyagi ndio atajuta kunifahamu....

Konyagi inajua kiinglish Malkia anasubiri daadadeki....
😂
We mbona umeniambia nimjibu kiinglishi na unajua mie darasa la 7D
 
Jf hii hii mkuu!??

Aisee hongera sana, nadhani waliokufata wengi ni wasomaji na sio wachangiaji, maana wachangiaji wengi wa jinsia pendwa humu wao ni siredi za mwanaume pesa, mikuyenge, ndoa sio kipaumbele, 50/50 nk
Ni msomaji tu.
 
Lakini nilimbadilisha akawa anajistiri na akawa anafanya ibada na tulidumu katika ndoa miaka Saba (7) na tumejaaliwa watoto wawili ingawa nimemuacha hakuna Baya lolote wala hakuwahi kunivunjia heshima Ila sikumpenda kivile nilivyotakiwa kumpenda (hakukuwa na chemistry)
Bro, kila ukiandika hiki kisa nikakisoma huwa nahuzunika sana. Sijui tatizo lilikuwa nini, ila Allah awape mbadala wa kheri zaidi kila mmoja wenu.
 
Kwanza namshukuru Mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabisa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu.

Ndugu zangu, Allah ameniruzuku mtoto wa kiume jioni ya leo, mke wangu kazaa kwa njia ya operation, namshukuru Mungu mama na mtoto wako salama.

Kuna ndugu zangu walinipa support (kunipa moyo) kwenye jambo hili (kusaka mke JF) si vibaya nikiwapa mrejesho, si rahisi kuwakumbuka wote.

AKILI IKO HOVAS!😂🤣

Thread 'Natafuta mke' Natafuta mke
Aisee hongeraa
 
Back
Top Bottom