makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
- Thread starter
- #181
Aahh.. Lako ndio kabisaa, porn industry unaijua kama dr. Leakey Abdallah anavyoujua mpira😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aahh.. Lako ndio kabisaa, porn industry unaijua kama dr. Leakey Abdallah anavyoujua mpira😂
Jamaa alileta bandiko lake Serious Sana,Nimepitia bandiko lako, ambalo uliweka kwa ajiri ya kupata mwenza, uandishi wako ulikuwa safi sana..
mzabzab mwanawane fanya ukopi desa la mwana utundike tena danya ku edit vitu kadhaaa.. Lazima upate..
C.c mjumbe Mzee wa kupambania
Tuchukueni huu udesa [emoji28][emoji28]
Natafuta mke
Usimtishe Basi[emoji4]Aaah wewe hata usihangaike. Subiri subiri ufikishe 46 ndio uoe. Kwasasa utamtesa tu mtoto wa watu.
😂😂😂 Umetisha Sana kipenz changu😂😂😂😂....mi napiga wanaume...onhoo! But asante kwa kujali💋
Amin 🙏Amin Amin mkuu
Imekaa poa Sana ukiwa Mshenga pale Kati.
Binafsi natoa ushuhuda nilimpata mke Facebook katika group la Dini,tena hakuwa mtu wa Dini Sana na hata vaa yake hakuwa mtu wa kujistiri na alikuwa hajui mambo ya Dini.
Lakini nilimbadilisha akawa anajistiri na akawa anafanya ibada na tulidumu katika ndoa miaka Saba (7) na tumejaaliwa watoto wawili ingawa nimemuacha hakuna Baya lolote wala hakuwahi kunivunjia heshima Ila sikumpenda kivile nilivyotakiwa kumpenda (hakukuwa na chemistry)
Ninachojaribu kusema humu mitandaoni wapo watu Makini na wema na wenye Imani,ukiwa serious utampata mtu serious na mnaweza kujenga maisha pamoja.
Nawatakia kila la kheri wale wote wenye Nia njema wapate watu sahihi na hatimaye waishi pamoja kama wewe mkuu
Tatizo lako unawachamba Sana Wanaume wa jf[emoji4]Unaona waliokuwa wananipondea humu mtu anapata bwana
Huenda bandiko ali desa sehemu, alifananii kabisa na mwamba hata kidogo 😅😅Jamaa alileta bandiko lake Serious Sana,
Ukilisoma unajua kabisa huyu sio makaveli wa siku zote[emoji4]
Safi sanaaa hahaaaaa nimechekaV
Vijana wwanasema limeisha hilo,
Akikua tu, namfundisha asiseme yanga, yanga maana yake matusi 🤣
Jamaa yake huwa Ni mikeka TU, hanaga baya na mtu[emoji4]Nahofia atakuwa anabeti mnoo [emoji23][emoji1787]
Serious,Aahh.. Mzee mwenzangu, kweli?
Nna wasiwasi aliandikiwa na shehe mmoja pale masjid ya k'koo, kacopy na kupaste[emoji4]Huenda bandiko ali desa sehemu, alifananii kabisa na mwamba hata kidogo [emoji28][emoji28]
Ha ha ha ...[emoji1787]Aahh.. Lako ndio kabisaa, porn industry unaijua kama dr. Leakey Abdallah anavyoujua mpira[emoji23]
Kwa ule uzi manzi yoyote ambae dishi lipo sawa na anataka mume lazima ajae...Nna wasiwasi aliandikiwa na shehe mmoja pale masjid ya k'koo, kacopy na kupaste[emoji4]
Pole babuBasi tu.... wivu sina ila roho inauma....
Sipo kama nilivyo haimaanishi niko tofauti, 😂Jamaa alileta bandiko lake Serious Sana,
Ukilisoma unajua kabisa huyu sio makaveli wa siku zote[emoji4]
Ahsante mkuukaribu chamani na hongereni sana
Ahsante sana bibie.Aisee hongera sana maka