National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
π π π π Ya kuchovyaaa hiii mzeee, aisee karibu maskani tupunge upepoHicho kipete mbona kama cha Gordi Gordi kabisa mzee π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π Ya kuchovyaaa hiii mzeee, aisee karibu maskani tupunge upepoHicho kipete mbona kama cha Gordi Gordi kabisa mzee π
π π π π Ipo siku yangu na mie nitabarikiwa.. Dunia hii haina ma usawaOngea vizuri na watoto wa ARU mwakani na wewe ujiokotee dodo lako mdogo wangu
Nimeandika kama mara 3 nafuta, nikaona isiwe tabu nikakimbilia polisi kwenye lugha ya mama.Jibu kwa kimombo, huyo binti hajasoma shule za kayumba.... Eboh!
Maombi yatafanya kazi kweli mbona hata hamna tumaini kabisaa ππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ndiyo mwaka unaisha hivyo...
Ngoja nianze kufunga usiku nikuombee..
Tatizo husalimiagi watu, huongei vizuri na wakorongwa.. Uta..... Godoro mpaka linukie mafuta na yale maji ya uzima.Kumbe watu mnapata wake jf na hamsemi[emoji28][emoji28]
π π π Ila anakula bata kinomaaaa yani, sema side ya pili akijua naona atakufa hapo hapo π€£π€£π€£..Huh!! Umenishinda tabia. Kumbe kuna mtoto wa mtu alishagalivagaaππππ
Kwanini usikubaliwe mzee?π π π π Humu peke yako ndio ulipata bahati, wengine humu hakuna wakutukubalia
π π π π π Mie kulelewa hapa aisee.. Bora nibaki kama nilivyoHamna bwana, mbona mimi nakukubali sana dogoπ€£π€£π€£
Ngoja tukupe Makiwendo akulee.
Uko sahihi mzeeKama nimemuelewa vizuri mkewe hatoki humu ( siyo member) ila amekutanishwa naye kupitia JF.
Walimwende wa humu wana class za wajuba wanao wataka mkuu. Mie simo kwenye hiyo classKwanini usikubaliwe mzee?
Shukrani kakaHongera sana Mungu awalinde na kuwatunza.
Hata wewe, wanichekaaa πππ
Mie pia mbona sina hizo class!? πWalimwende wa humu wana class za wajuba wanao wataka mkuu. Mie simo kwenye hiyo class
Allah akufanyie wepesiHongera Mkuu
Mimi pia nimeamua kuchukua maamuzi magumu japo njia yangu sio ya mtandaoni.
Sababu zangu za kuamua kufanya hivi zinafanana na zako kwa asilimia kubwa.
Ndio nimeanza mchakato nikifanikiwa nitaleta uzi kabisa.
π π Si ndio una nyota mzee.. Sie acha tuendelee kulipeleka libeneke tuMie pia mbona sina hizo class!? π
π π We hutaki tu.π π Si ndio una nyota mzee.. Sie acha tuendelee kulipeleka libeneke tu
Nataka ile kinoma, ila kila nikigusa naishiwa kutemwa kisomi π ππ π We hutaki tu.
Uko wapi?Hongera Mkuu
Mimi pia nimeamua kuchukua maamuzi magumu japo njia yangu sio ya mtandaoni.
Sababu zangu za kuamua kufanya hivi zinafanana na zako kwa asilimia kubwa.
Ndio nimeanza mchakato nikifanikiwa nitaleta uzi kabisa.