Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

ajabu ipo kwako kidogo, komenti zako zinakuwaga za kitupaki ni ngumu kujua kama wewe ni ustadhi mzuri tu na una mke na mtoto sasa 😂

kwa jamii forums kupata mke si ajabu kwani naamin jamii forums ni kama kioo kinareflect unachofanya, ukileta mzaha wadau wanareflect kimzaha mzaha, ukiwa serious mambo yatanakuwa serious kweli.

Acha nirudie tena.. Kumbe jf kweli ni kisima cha mafanikio 😂

alafu kumbe mshua na wewe ni wa buza!
Hahaa, kwa kiadi fulani, comments zangu huwa zinareflect maisha yangu ya nyuma, akili zangu na vitu vingi (masihara pia, napemda utani)

Kwani kuna sehemu nimeandika natokea buza 🤔
 
Hongera sana sana Kaveli,
Mungu akawatunze daima..!!

Depal na Darlin mmeamini miracles do still exist eeh'..!? Acheni kunisumbua kwamba hakuna watu...!

Bufa una neno lolote la nyongeza hapa..!??
Mr right wako every whereeee 😍 ngoja nikae vizuri hapa naweza patamo ka HB kamoja 😂

Fungueni PM hizo my zanguu jamani tushonae sareee
Darlin
Lenie
Joanah
Carleen

Mkuu Makaveli, mimi na my zangu tunakutakia kila la Kheri katika familia yako.. anko wetu akuzwe katika kimo na afya njema na ampendeze Mungu na wanadamu.
 
Hongera ndugu, siku zote jitihada hazizidi kudra. Mungu azidi kuwajalia heri na na baraka, kwa namna hiyo hio alivyo wakutanisha ki miujiza.
 
Nashukuru saana, dua zako zipokelewe umenisaidia kuita aunt zake wachache, ngoja niwaongeze wakuje
Mr right wako every whereeee 😍 ngoja nikae vizuri hapa naweza patamo ka HB kamoja 😂

Fungueni PM hizo my zanguu jamani tushonae sareee
Darlin
Lenie
Joanah
Carleen

Mkuu Makaveli, mimi na my zangu tunakutakia kila la Kheri katika familia yako.. anko wetu akuzwe katika kimo na afya njema na ampendeze Mungu na wanadamu.
reymage Maya Angelou
Angel Nylon
 
Mr right wako every whereeee 😍 ngoja nikae vizuri hapa naweza patamo ka HB kamoja 😂

Fungueni PM hizo my zanguu jamani tushonae sareee
Darlin
Lenie
Joanah
Carleen

Mkuu Makaveli, mimi na my zangu tunakutakia kila la Kheri katika familia yako.. anko wetu akuzwe katika kimo na afya njema na ampendeze Mungu na wanadamu.
Weee wacha nifungue pm, Mungu anaweza kunionekania na mie nije kutoa ushuhuda hapa siku za usoni 😅 .

makaveli10 hongera sana mkuu
 
Kwanza namshukuru mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabiisaa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu.

Ndugu zangu, allah ameniruzuku mtoto wa kiume jioni ya leo, mke wangu kazaa kwa njia ya operation, namshukuru mungu mama na mtoto wako salama

Kuna ndugu zangu walinipa support(kunipa moyo) kwenye jambo hili(kusaka mke JF) si vibaya nikiwapa mrejesho, si rahisi kuwakumbuka wote,
AKILI IKO HOVAS😂🤣

Thread 'Natafuta mke' Natafuta mke
Mungu awabariki sana na kuwa jaalia kila yaliyo mema ktk familia yenu.
 
Back
Top Bottom